Mimi binafsi sijawahi kuuona huo mkataba. Haina maana JPM akiukataa ndio final. Ila as a precaution, lazima tujue nini kilichomo. Kuukata ni suala moja...na kilichomo ni kitu kingine kabisa.
We should not try sale our souls to the devils. Hawana huruma. Watatutesa sana