Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Januari imefika taarifa iliyoko ni kuwa watoto wetu wengi wanaoanza kidato cha kwanza hawana madarasa ya kusomea. Hili ni swala la kila mzazi na mwananchi. Hatujui nani katika hawa watoto atakuja kuboresha sera za nchi sisi tukiwa ni wazee.
Watanzania walioko Ughaibuni wangetumika kusaidia tatizo hili. Kila mtu awasiliane na mbunge wa jimbo lake kuona jinsi watakavyochanga. Hata kama kila mtu akileta €20 mbona watu 20 wanamaliza madarasa mawili.
Tatizo hapa ni kuwa, hata wale waliofuatilia uchaguzi mitandaoni. Wale viongozi walioonyesha uwezo wa kuleta mabadiliko siyo walioko madarakani. Hata wale walipita kura za maoni pia si walio rudi. Wabunge tulionao ni wale waliopendwa na NEC CCM.
Tutaletaje umoja wa kitaifa hapa ili watoto wetu wasome na ndugu zetu wasio na 5,000 ya mchango wasiwekwe ndani.
Watanzania walioko Ughaibuni wangetumika kusaidia tatizo hili. Kila mtu awasiliane na mbunge wa jimbo lake kuona jinsi watakavyochanga. Hata kama kila mtu akileta €20 mbona watu 20 wanamaliza madarasa mawili.
Tatizo hapa ni kuwa, hata wale waliofuatilia uchaguzi mitandaoni. Wale viongozi walioonyesha uwezo wa kuleta mabadiliko siyo walioko madarakani. Hata wale walipita kura za maoni pia si walio rudi. Wabunge tulionao ni wale waliopendwa na NEC CCM.
Tutaletaje umoja wa kitaifa hapa ili watoto wetu wasome na ndugu zetu wasio na 5,000 ya mchango wasiwekwe ndani.