BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Walimu ni kada imejaa wapumbavu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu nasikia ndiyo walikuwa ma Headmasters& ma Headmistress🤣🤣Wale walimu wana tatizo la mtindio wa ubongo.
Ngoja waje sasaWale walimu wana tatizo la mtindio wa ubongo.
Kwanini wasitafute madaktari na polisi au wanajeshi wa mchongo? Wasimamizi wa kura wananyolewa na kura zaoAchana na propaganda za kitoto!
Hakuna mwalim aliefanya hivyo!!
Walikusanya walimu wao wa mchongo Ili kuwakilisha walimu halisi Kwa mtaji wa kisiasa!!
Nadhani ieleweke hivyo!!
Madaktari wachache Sana kuliko walimu,polisi na jeshi hakuna kujihusisha na siasa !!Kwanini wasitafute madaktari na polisi au wanajeshi wa mchongo? Wasimamizi wa kura wananyolewa na kura zao
Kwahiyo polisi hawajihusishi na siasa?Madaktari wachache Sana kuliko walimu,polisi na jeshi hakuna kujihusisha na siasa !!
Umewakilishwa mkuuMimi mwalimu niko huku namanyele kumbe nimemchangia Rais kuchukua fomu.... Nilikua sujui km nimemchangia hela rais! Km nimemchangia rais bila mm kujua basi haya ni maajabu ya dunia...
Sasa si ndio mda wa Machadema ku take advantage au? Mnadani mkitukana walimu ndio mta wa win?Hili taifa linaangamia kwa ujinga, na ina hitajika uwe na akili ya ukichaaa kuamini kwamba Walimu wanao ishi life gumu sana, mishahara haitoshi,...
Hakuna waalimu ni wajinga watupu.Hili taifa linaangamia kwa ujinga, na ina hitajika uwe na akili ya ukichaaa kuamini kwamba Walimu wanao ishi life gumu sana, mishahara haitoshi, hawana posho...
Madam zingine huwa mnaanzisha ili mradi tu muwe mmeanzishaHili taifa linaangamia kwa ujinga, na ina hitajika uwe na akili ya ukichaaa kuamini kwamba Walimu wanao ishi life gumu sana, mishahara haitoshi, hawana posho, ila wao ndio wako mstari wa mbele eti kumchangia Raisi Fomu ya Uraisu na zike taasisi za umma zinazo lipwa vyema hawana hio time. Na walimu wanafanya hivyo wakiamini kwamba atawaongezea mishahara wawe sawa na wabunge.
Wabunge wa CCM walio jiongezea mishahara plus Posho hawamchangii Samia pesa ya fomu ya Uraisi. Hii lazima uwe na akili za ukichaaa kuamini jambo kama hili. kwa normal brain ni vigumu sana kuamini.Hii kwenye hii sayaru ya Dunia liko Tanzanua pekee na ni vigumu kulikuta kokote kule Duniani.
Walimu wanafanya hivyo katika misingi ya kuamini ndio njia pekee ya wao kupata masilahi zaidi, Kugoma hawawezi kabisa na haiwezi tokea kamwe. Wanachangishana fomu wakiamini hivyo kitu ambacho hakipo na wala hakitatokea sana sana wangoje pesa zao za kustafu watakazo lipwa.
Wenzao Kenya daily wanagoma na Walimu wa Kenya huwezi sikia huu ujinga kwao, yaani haiweze tokea wajipendekeze kwa wakina Ruto kisa waongezewe mishahara, wao wakitaka nyongeza ni kugoma tu basi.
Taifa kinaangamia kwa upumbavu kama wa hawa walimu wetu.
Watu wanashindwa hata kujiongeza, Hiyo ni michezo ya kisiasa tuHakuna Walimu waliochangia Fomu. Zile ni maigizo tu pesa za serikali
Walimu tatizo wana nyota ya kunguniMnaoaminigi hizi habari akili zenu huwa hazipo sawa, wanasiasa ni watu wa kuwaamini???
Unakumbuka wale wamasai wa mchongo ngorongoro??
Wauza madafu ikulu?
Kinachofanya uamini waliochanga ni walimu ni kipi hasa?