Pre GE2025 Wabunge waliojiongezea mshahara hawajamchangia Rais Samia fomu. Walimu wanao lipwa pesa ya pipi wanamchangia fomu

Pre GE2025 Wabunge waliojiongezea mshahara hawajamchangia Rais Samia fomu. Walimu wanao lipwa pesa ya pipi wanamchangia fomu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Niliwahi kusikia mtu mmoja anaimba ninamnukuu " WAJINGA NDIO WALIWAO....."
 
Mimi mwalimu niko huku namanyele kumbe nimemchangia Rais kuchukua fomu.... Nilikua sujui km nimemchangia hela rais! Km nimemchangia rais bila mm kujua basi haya ni maajabu ya dunia...
Umewakilishwa mkuu
 
Hili taifa linaangamia kwa ujinga, na ina hitajika uwe na akili ya ukichaaa kuamini kwamba Walimu wanao ishi life gumu sana, mishahara haitoshi,...
Sasa si ndio mda wa Machadema ku take advantage au? Mnadani mkitukana walimu ndio mta wa win?

Nyie ni wajinga sana,hata Mbowe juzi alikuwa anatukana Mapolisi 😁😁

Zero strategy na Dalili ya kukata tamaa
 
Mnawalaumu waalimu kama vile na nyie hamna akili ndio maana hata nyie wenye kujifanya mnaakili mnaishia kwenye keyboard. Zile ni drama either za waalimu walio kwenye nafasi zenye riziki au sio waalimu kabisa.
 
Hili taifa linaangamia kwa ujinga, na ina hitajika uwe na akili ya ukichaaa kuamini kwamba Walimu wanao ishi life gumu sana, mishahara haitoshi, hawana posho...
Hakuna waalimu ni wajinga watupu.
 
Hili taifa linaangamia kwa ujinga, na ina hitajika uwe na akili ya ukichaaa kuamini kwamba Walimu wanao ishi life gumu sana, mishahara haitoshi, hawana posho, ila wao ndio wako mstari wa mbele eti kumchangia Raisi Fomu ya Uraisu na zike taasisi za umma zinazo lipwa vyema hawana hio time. Na walimu wanafanya hivyo wakiamini kwamba atawaongezea mishahara wawe sawa na wabunge.

Wabunge wa CCM walio jiongezea mishahara plus Posho hawamchangii Samia pesa ya fomu ya Uraisi. Hii lazima uwe na akili za ukichaaa kuamini jambo kama hili. kwa normal brain ni vigumu sana kuamini.Hii kwenye hii sayaru ya Dunia liko Tanzanua pekee na ni vigumu kulikuta kokote kule Duniani.

Walimu wanafanya hivyo katika misingi ya kuamini ndio njia pekee ya wao kupata masilahi zaidi, Kugoma hawawezi kabisa na haiwezi tokea kamwe. Wanachangishana fomu wakiamini hivyo kitu ambacho hakipo na wala hakitatokea sana sana wangoje pesa zao za kustafu watakazo lipwa.

Wenzao Kenya daily wanagoma na Walimu wa Kenya huwezi sikia huu ujinga kwao, yaani haiweze tokea wajipendekeze kwa wakina Ruto kisa waongezewe mishahara, wao wakitaka nyongeza ni kugoma tu basi.

Taifa kinaangamia kwa upumbavu kama wa hawa walimu wetu.
Madam zingine huwa mnaanzisha ili mradi tu muwe mmeanzisha


Hao waliomchangia sio wlaimu bali ni makada wa CCM

Wao wamepewa zaidi ya hizo walizotoa,


Hoja ya msingi ni kuwa wana wahujumu wenzao ila kusema wao wamepoteza sio kweli



Halafu hukumbuki PM Majaliwa alichqngisha somewhere akapata milioni 100+


Hilo jambo limekaa kisiasa zaidi
 
Hakuna Walimu waliochangia Fomu. Zile ni maigizo tu pesa za serikali
Watu wanashindwa hata kujiongeza, Hiyo ni michezo ya kisiasa tu


Sawa sawa na kulazimisha wanafunzi wahudhurie mikutano ili ionekane Mh anakubalika
 
Mnaoaminigi hizi habari akili zenu huwa hazipo sawa, wanasiasa ni watu wa kuwaamini???

Unakumbuka wale wamasai wa mchongo ngorongoro??
Wauza madafu ikulu?
Kinachofanya uamini waliochanga ni walimu ni kipi hasa?
Walimu tatizo wana nyota ya kunguni


Kila kitu kibaya wanashupaliwa wao
 
Back
Top Bottom