kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,444
- 3,576
Kama ni ujinga /upumbavu ni wa watanzania wote.
Ikiwa walimu ndio sababu ya CCM kuendelea kuwa madarakani, je msiokuwa walimu mmechukua hatua gani??
Ikiwa hata yakiitishwa maandamano Kila Mtu anajifungia kwake anabaki kuia kelele JF tu
Sasa na wewe si kenge tu na upumbavu wako, unakimbia mvua unaingia kwenye dimbwi
Ikiwa walimu ndio sababu ya CCM kuendelea kuwa madarakani, je msiokuwa walimu mmechukua hatua gani??
Ikiwa hata yakiitishwa maandamano Kila Mtu anajifungia kwake anabaki kuia kelele JF tu
Sasa na wewe si kenge tu na upumbavu wako, unakimbia mvua unaingia kwenye dimbwi