MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,011
- 2,185
Umekuwa mtindo wa kudumu ukisikiliza Bunge unaishia kuambiwa Biblia inasema hivi, Kuruani inasema hivi. Hakuna maneno ya watu mashuhuri au hoja zenye mashiko kisiasa. Hii ni dalili ya kuwa na wanasiasa waliofilisika kisiasa na wanahangika sana na elimu ya dini.
Safari hii Spika kaangukia pua kwa kutoa maneno ambayo hayajawahi kuandikwa ktk Biblia. Amejaribu kunyanyuka kwa kuombewa msamaha na ofisi ya Bunge, bado ameangukia kisogo kwa kukosea maelezo ya Biblia, na hapo ni baada ya kujivunia ushiriki wake ktk kanisa. Tuelewe nini kichwani mwake? Tuna mfumo mbovu na tunapata wabunge wabovu na hatimaye spika mbovu.
Safari hii Spika kaangukia pua kwa kutoa maneno ambayo hayajawahi kuandikwa ktk Biblia. Amejaribu kunyanyuka kwa kuombewa msamaha na ofisi ya Bunge, bado ameangukia kisogo kwa kukosea maelezo ya Biblia, na hapo ni baada ya kujivunia ushiriki wake ktk kanisa. Tuelewe nini kichwani mwake? Tuna mfumo mbovu na tunapata wabunge wabovu na hatimaye spika mbovu.