Wagumu Tunadumu
JF-Expert Member
- Dec 10, 2022
- 5,276
- 17,354
Kumbe ajari ilikuwa kubwa eee,au wengine ni mishituko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙌🙌🙌Nasikia kila mbunge alipewa posho ya milioni 15 kwenda huko Kenya kushiriki michezo.
Walitakiwa wafe WOTE KWA KUPITISHA MISWADA BATALI NA KULA MALI ZA UMMA OVYO NYOKOWabunge wanne kati ya 17 waliolazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) wameruhusiwa baada ya afya zao kuimarika, huku wengine wakiendelea na matibabu.
View attachment 3171993
Majeruhi hao walipata ajali juzi eneo la Mbande wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma wakienda Mombasa, Kenya kwenye mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki.
View attachment 3171991
Akizungumza na Nipashe jana, Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Dharura wa BMH, Dk. Winnie Msangi, alisema wabunge hao waliruhusiwa baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari bingwa hospitalini hapo na afya zao kuonekana kuimarika.
View attachment 3171992
Dk. Msangi alisema majeruhi wengine waliosalia wanaendelea kupatiwa matibabu chini ya uangalizi wa madaktari, ili kuhakikisha afya zao zinaimarika na kuendelea na shughuli zao za kila siku.
Pia, Soma: Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23
Acha tisubirie yakoNasubiri komenti moja ya hovyo hapa....
🤗🤗
mnataka kuwaombea kifo au kupona ?😏Majina yao ni akina nani ili tuwa ombee
Nlijua tunazika hawa machawaWabunge wanne kati ya 17 waliolazwa katika Hospitali ya Benjamini Mkapa (BMH) wameruhusiwa baada ya afya zao kuimarika, huku wengine wakiendelea na matibabu.
View attachment 3171993
Majeruhi hao walipata ajali juzi eneo la Mbande wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma wakienda Mombasa, Kenya kwenye mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki.
View attachment 3171991
Akizungumza na Nipashe jana, Mkuu wa Idara ya Magonjwa ya Dharura wa BMH, Dk. Winnie Msangi, alisema wabunge hao waliruhusiwa baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari bingwa hospitalini hapo na afya zao kuonekana kuimarika.
View attachment 3171992
Dk. Msangi alisema majeruhi wengine waliosalia wanaendelea kupatiwa matibabu chini ya uangalizi wa madaktari, ili kuhakikisha afya zao zinaimarika na kuendelea na shughuli zao za kila siku.
Pia, Soma: Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23