likandambwasada
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,402
- 6,081
Tume ya utumishi wa umma na ile ya utawala bora watuambie kama alichokifanya Kitila Mkumbo ni sahihi kwa mtumishi wa umma kuvaa sare za chama na kujitangaza hadharani kujihusisha na siasa za chama hicho huku bado ni Katibu Mkuu wa wizara. Hii nchi tuliikuta ikiwa na kanuni na taratibu na miiko ya utumishi wa umma, tusiharibu.
Political death sio physical death Magufuli anawapa wananchi hamasa kwamba hakuna mantiki ya upinzani he conquer opposition by political progress and accountability sio vinginevyo.Ndio kazi aliyoomba?baada ya hapo tutapata viwanda na umeme wa uhakika?
Hii ni shida.Tume ya utumishi wa umma na ile ya utawala bora watuambie kama alichokifanya Kitila Mkumbo ni sahihi kwa mtumishi wa umma kuvaa sare za chama na kujitangaza hadharani kujihusisha na siasa za chama hicho huku bado ni Katibu Mkuu wa wizara. Hii nchi tuliikuta ikiwa na kanuni na taratibu na miiko ya utumishi wa umma, tusiharibu.
Mkuu sio kawaida yako kuandika kwa busara hivi naona nyie kwenye hili ni wahanga mkuu!! Na nadhani unajua ni kina nani wanataka kubwaga manyanga.wale wanaohama wakusanyane woote, tuwe na press moja, halafu tunapokezana tu, wa upande huu wanakwenda upende mwingine wanapokelewa, and viseversa, hizi mambo zinakula muda wa wavuja jasho jamani kuwajadili wanasiasa tuu.
Airport anayojenga tija yake ipi mkuu? au unafikiri kujenga tu ndio tija?Political death sio physical death Magufuli anawapa wananchi hamasa kwamba hakuna mantiki ya upinzani he conquer opposition by political progress and accountability sio vinginevyo.
Upinzani unampinga Magufuli kwa kujenga Airport, ununuzi wa ndege, ujenzi wa Hospital na upanuzi wa barabara kitu ambacho ni tofauti na zamani hoja ya upinzani ilikua ufisadi, rushwa, ubadhitifu
Janaume zima tena linajiita Nelson kumbe limejaa umbea kuliko hata mkoa wa Mbeya mkuu.Tumekalia umbea kama wanawake,tufanye kazi hali ni ngumu.
Political death sio physical death Magufuli anawapa wananchi hamasa kwamba hakuna mantiki ya upinzani he conquer opposition by political progress and accountability sio vinginevyo.
Upinzani unampinga Magufuli kwa kujenga Airport, ununuzi wa ndege, ujenzi wa Hospital na upanuzi wa barabara kitu ambacho ni tofauti na zamani hoja ya upinzani ilikua ufisadi, rushwa, ubadhitifu
Awamu hii ikimaliza muda wake (kama itakubali kuondoka kwa mujibu wa Katiba) itabidi nchi ianze kurudishwa katika misingi na taratibu zake!Tume ya utumishi wa umma na ile ya utawala bora watuambie kama alichokifanya Kitila Mkumbo ni sahihi kwa mtumishi wa umma kuvaa sare za chama na kujitangaza hadharani kujihusisha na siasa za chama hicho huku bado ni Katibu Mkuu wa wizara. Hii nchi tuliikuta ikiwa na kanuni na taratibu na miiko ya utumishi wa umma, tusiharibu.
Upinzani unakufa Tanzania sababu ya kukosa hoja na cha kuwaeleza watanzania,Unaamini wananchi watahamasika mnapoua upinzani badala ya kutatua kero zao?
Je hoja ya upinzani kutokuwa ufisadi tena inazuia seriali ya ccm kuwashtaki hao mafisadi?
Wewe unafanya nini humu mkuu, kafanye kazi kama unahisi humu wote bado wamelala kama.Tumekalia umbea kama wanawake,tufanye kazi hali ni ngumu.
Kwahiyo unamaanisha na matatizo yote ya watanzania yamekwisha?umeme,maji,elimu huduma za afya n.k?Upinzani unakufa Tanzania sababu ya kukosa hoja na cha kuwaeleza watanzania,
Hoja zao Magufuli anazimaliza zote hivyo watanzania hawaoni haja ya kuwaunga mkono upinzani kama unavyoona sasa wapinzani wanahamia chama tawala kwa maelfu.
Je hoja ya upinzani kutokuwa ufisadi tena inazuia seriali ya ccm kuwashtaki hao mafisadi?Upinzani unakufa Tanzania sababu ya kukosa hoja na cha kuwaeleza watanzania,
Hoja zao Magufuli anazimaliza zote hivyo watanzania hawaoni haja ya kuwaunga mkono upinzani kama unavyoona sasa wapinzani wanahamia chama tawala kwa maelfu.
Hahahhaahhahahaahahahahah daaaa hatari mkuu.Hali ni ngumu kweli mkuu na kaz inategemea umeme saa hiz wamekata nikiwasha jenereta inakomba faida yote nlikuwa nategemea kuipata, hebu nishaur nifanyeje
Nimenunua luku elfu 40 nifanye kaz nipate faida hata elfu kumi wamekata umeme.nikichek kwenye hii karatasi ya luku serikali imelamba chao hapa tayari,siku inaisha nashindwa fanya kazi yangu napata hasira kweliHahahhaahhahahaahahahahah daaaa hatari mkuu.