Tetesi: Wabunge wanne, kuhama vyama vyao

Tetesi: Wabunge wanne, kuhama vyama vyao

Tume ya utumishi wa umma na ile ya utawala bora watuambie kama alichokifanya Kitila Mkumbo ni sahihi kwa mtumishi wa umma kuvaa sare za chama na kujitangaza hadharani kujihusisha na siasa za chama hicho huku bado ni Katibu Mkuu wa wizara. Hii nchi tuliikuta ikiwa na kanuni na taratibu na miiko ya utumishi wa umma, tusiharibu.
Mtumishi wa umma hazuiliwi kuwa mwanacha wa chama cha siasa, ila anazuiliwa kuwa kiongozi katika chama cha siasa lakini pia hatakiwi kufanya siasa katika sehemu yake ya kazi!.
 
Kuna tetesi kuwa "Kigogo" mmoja ndiye atakayetufungia mwaka kwa kuhama chama chake. Tumwombee uzima na kheri maana akishahama huyo, basi 2018 itaanzwa vizuri sana kwa kutokuwa na ushindani wa kupigana vijembe. Waliomchafua, walimshafisha hivyo ni msafi (ndani ya chama chake) na nje ya chama chake. Kweli huyu jamaa alijipanga.

Mungu ibariki Tanzania.
 
[HASHTAG]#DARMPYABLOGNEWS[/HASHTAG]
Aliyekuwa mwenyekiti wa Baraza la Vijana wa Chadema (BAVICHA) Patrobasi Katambi amesema hivi leo kwamba kuna vigogo wa ngazi za juu wa chadema Zaidi ya watano watajiunga na Ccm siku yoyote kuanzia sasa.Amesema viongozi hao wako mbioni kutimka Chadema kwa sababu wamejiridhisha kuwa hamna agenda inayopiganiwa na Chadema kwa sasa badala yake viongozi wenzao wanapigania maslahi binafsi
 
kigogo gani mbona huja specify mkuu maana kuna vigogo Aina nyingi Sana mfano kigogo cha mninga, saiplus, mlingoti, mkuyu, miembe japo kuwa mbao zake sio nzuri
 
Hata Fred Mpendazoe alitoswa na Samwel Sitta, Mwakyembe na Nape Nnauye wakati wa kuanzishwaji wa CCJ.

Ametoswa huyo na kama hajatoswa, awataje majina
 
Hata Fred Mpendazoe alitoswa na Samwel Sitta, Mwakyembe na Nape Nnauye wakati wa kuanzishwaji wa CCJ.

Ametoswa huyo na kama hajatoswa, awataje majina
Kuwa mpole tunaratibu hizi harakati kwa kufuata protocols sio kukurupuka tu lipo wimbi zito la viongozi waandamizi kutoka chadema wataanza kuingia ccm kwa utaratibu maalum hatutaki shughuli ipoe ni kampa kampa kampa tena
 
Ukitaka kujua Super Power ya CCM ionyeshe ww ni mhuni au unajua zaidi ya CCM.. I tell you, CCM will square and triple what you did..!!
 
Mwandwanga Hata Kama amekosea, usimtaje Mzazi wake, Mama ni wa thamani kubwa Sana aiseee. Mabishano ya jamvini yasihusishe Wazazi, nashauri tu Kaka Mjumbe ila huenda Invisible akakushauri vizuri zaidi
 
Professor Safari ni mmoja wapo kati ya wengi wengine watakaoingia ccm
Ma proffessor na ma Dr wetu, siasa zinawasubua sana there too bookish hawajui kujenga vyama na kutoa mifano kwa wengine most of them are "political opportunists"
 
Hata Kama amekosea, usimtaje Mzazi wake, Mama ni wa thamani kubwa Sana aiseee. Mabishano ya jamvini yasihusishe Wazazi, nashauri tu Kaka Mjumbe ila huenda Invisible akakushauri vizuri zaidi
Kuna Mwanamke asiye wa THAMANI?
naona una bembeleza nipewe Ban..[emoji2][emoji2][emoji2]
Acheni dharau kwa Mwanamke, huyo anayedhani ni mbea na anastahili kuitwa hivyo ni mama wa Mtu
 
Back
Top Bottom