Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Kweli chuki inazaa chuki....hatujui kesho yetu ila hata chembe ya huruma siisikii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna chama fulani, kimegeuza ni uaduni , na vyombo husika viko upande wao. Wao ndio walioanzisha hili, wao ndio watalinywaSiasa siyo Uadui, hujafa hujaumbika
Acha roho ya korosho
Mara paaaap au basiMara paap! Tutaskia wamepelekwa India.
Na ndiyo maana wananunua silaha nzitonzito ili kujilinda hawana ustrong ni madhaifu sanaMkuu viongozi wengi ni kama broilers, hata kishindo cha mtoto wa miaka 5 inawaua.
Wabunge watatu wa ajali ya Dodoma wahamishiwa MOI.
Wabunge hao ni Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Zanzibar, Mwanakhamis Kassim Said, Mwakilishi wa Jimbo la Amani Zanzibar, Abdul Yusufu Maalim pamoja na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mwanza, Furaha Matondo.
View attachment 3173927