Wabunge watatu waliopata ajali wahamishiwa kitengo cha mifupa MOI.

Wabunge watatu waliopata ajali wahamishiwa kitengo cha mifupa MOI.

Kweli chuki inazaa chuki....hatujui kesho yetu ila hata chembe ya huruma siisikii.
 
Mkuu viongozi wengi ni kama broilers, hata kishindo cha mtoto wa miaka 5 inawaua.
Na ndiyo maana wananunua silaha nzitonzito ili kujilinda hawana ustrong ni madhaifu sana
 
  • Thanks
Reactions: al1
Wabunge watatu wa ajali ya Dodoma wahamishiwa MOI.

Wabunge hao ni Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni Zanzibar, Mwanakhamis Kassim Said, Mwakilishi wa Jimbo la Amani Zanzibar, Abdul Yusufu Maalim pamoja na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Mwanza, Furaha Matondo.

View attachment 3173927
IMG-20241210-WA0048.jpg
 
Namwona karugumujuli aliyesababisha kifo cha Aqwilina
 
Back
Top Bottom