Nimekuelewa mkuu Paskali wa JFNi uwakilishi tuu, sio kila posti ina tija!, mfano ma DC wana tija gani?.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa mkuu Paskali wa JFNi uwakilishi tuu, sio kila posti ina tija!, mfano ma DC wana tija gani?.
P
Huu muungano siulew kiukwel kama wao wana baraza la wawakilishi lakin pia wanakuja kwenye bunge letu la JMTsisi wa bara la kwetu ni lipi?Mkuu DALALI MKUU , Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye pande mbili, Tanzania Bara, na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Bunge la JMT lina wabunge kutoka Bara na wa kutoka Zanzibar.
p
Itolewe elimu kuhusu muungano!.Huu muungano siulew kiukwel kama wao wana baraza la wawakilishi lakin pia wanakuja kwenye bunge letu la JMTsisi wa bara la kwetu ni lipi?