Wabunge/wawakilishi wote wa baraza la mapinduzi Zanzibar wanakuwa wabunge wa Bunge la JMT?

Wabunge/wawakilishi wote wa baraza la mapinduzi Zanzibar wanakuwa wabunge wa Bunge la JMT?

Ninachojiuliza yakianza kujadiliwa mambo yasio ya muungano kwenye Bunge la JMT wao wanatoka nnje au wanafanya nini?
Bajeti za wizara zisizo za muungano wao pia wanachangia hoja na kupitisha bajeti??
 
Back
Top Bottom