Wabunge/wawakilishi wote wa baraza la mapinduzi Zanzibar wanakuwa wabunge wa Bunge la JMT?

Ninachojiuliza yakianza kujadiliwa mambo yasio ya muungano kwenye Bunge la JMT wao wanatoka nnje au wanafanya nini?
Bajeti za wizara zisizo za muungano wao pia wanachangia hoja na kupitisha bajeti??
 
Mkuu DALALI MKUU , Tanzania ni nchi moja ya JMT, yenye pande mbili, Tanzania Bara, na Tanzania Visiwani au Tanzania Zanzibar. Bunge la JMT lina wabunge kutoka Bara na wa kutoka Zanzibar.
p
Huu muungano siulew kiukwel kama wao wana baraza la wawakilishi lakin pia wanakuja kwenye bunge letu la JMTsisi wa bara la kwetu ni lipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…