Tetesi: Wabunge wengine watatu wa upinzani kuhamia CCM

Tetesi: Wabunge wengine watatu wa upinzani kuhamia CCM

Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.

Yetu macho!
Huyu jamaa ni mdau muhimu sana wa Tetesi. BADO NANI? ulisema watatu
 
Leo kuna another suprise ....sijui siasa zetu zinaenda wapi. Kuna watu wanapohama inabidi ujiulize maswali mengi sana ....
 
Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.

Yetu macho!
Wawahi deadline. Hii ni dharau kubwa kwa wapiga kura na wananchi kwa ujumla.
 
Back
Top Bottom