Tetesi: Wabunge wengine watatu wa upinzani kuhamia CCM

Tetesi: Wabunge wengine watatu wa upinzani kuhamia CCM

Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.

Yetu macho!
Waende tu hao makinikia, dhahabu safi itabaki.
 
Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.

Yetu macho!
Kundi La Ukawa Ndio Kundi Gani?
 
Hapana Mashinji ndiye anayembeba Mbowe.

Mbowe ndio anaua chama.
Mashinji ile ni akili kubwa inaongozwa na akili kisoda.

Mashinji anastahili kujuzulu na kumwachia Mbowe Chama Chake.
Wanahangaika kukamatwa na makesi kibao kwa sababu ya kumjemgea Mbowe Chama chake binafsi.

Kama mtu sio wa Kabila na ukoo wa Mbowe ni Bora akahamia hata ACT kuliko kuumia kwa ajali ya mtu asiye na Shukurani.

Makamanda wanapigania Chama usiku na Mchaka wakati Mbowe akiwa anakuala starehe Dubai ,Marekani,Ujerumani na Afrika kusini,Chama kikipata mafanikio, Mbowe bila aibu anakuja na kuwakejeli makamanda kwa kuwa waambia kuwa ,'MIMI PEKEE NDIYE ROHO YA CHAMA ,HAKUNA WA KUWEZA KUONGOZA CHAMA HIKI NILICHOKIASISI'.

Kwa dharau hiyo ya Mbowe hakuna Mtu Mwenye Akili atakayeweza kubaki Chadema Chini uongozi wa Huyo mtu. Bora watu wakale Bata huko CCM kuliko kupakana Mafuta kwa mgongo wa Chupa ,eti tupiganie Chama makamanda wakati ,yeye bila Uenyekiti anarudi kesho asubuhi CCM.
Hivi huyu Mbowe alikumegea mkeo ?
 
Hivi huyu Mbowe alikumegea mkeo ?
Dikteta Mbowe Amebaka Demokrasia ndani ya Chama .
Anastahili kufungwa kifungo cha maisha ili iwe funzo kwa madikteta wengine kwenye vyama vya upinzani.

Mbowe ameamua kurudi CCM Kimya kimya ndio maana humsikii akizungumza chochote.
Anaunga mkono 100/100 .
Anawarubuni wenzake waropoke hovyo na kujifanya wanapinga pinga lakini Yeye anaunga mkono juhudi za Serikali ya Chama Cha Mapinduzi.
 
Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.

Yetu macho!
Kwa taarifa yako hakuna kudhoofika kitu. Itikadi hukaa moyoni na kwa taarifa yako zaidi ya wabunge 60% wa ccm hawaiungi mkono ccm ya sasa lakini wanalinda kazi zao tuu
 
Wafanye haraka mwisho wa usajili ni tarehe 15/11/2018.
 
Dikteta Mbowe Amebaka Demokrasia ndani ya Chama .
Anastahili kufungwa kifungo cha maisha ili iwe funzo kwa madikteta wengine kwenye vyama vya upinzani.

Mbowe ameamua kurudi CCM Kimya kimya ndio maana humsikii akizungumza chochote.
Anaunga mkono 100/100 .
Anawarubuni wenzake waropoke hovyo na kujifanya wanapinga pinga lakini Yeye anaunga mkono juhudi za Serikali ya Chama Cha Mapinduzi.

Utahangaika sana na Mbowe badala ya kuhangaikia maisha yako. Mbowe tumemchagua sisi na sisi ndiyo wa kumuondoa wala siyo nyie mafisiem, chama lenu limeshindwa kuongoza nchi kwa mujibu wa sheria mnatumia vitisho na kununua wapinzani uchwara. Ila nina wasiwasi na wewe kuhusu mtazamo wako kwa huyu Mbowe labda alikumegea mkeo si bure huishi kumtaja taja.
 
Ni vizuri wafanye hivyo haraka kabla ya deadline iliyotolewa
 
Back
Top Bottom