Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Moyo wa mtu kichakaYule kamanda hawezi kupuyanga mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Moyo wa mtu kichakaYule kamanda hawezi kupuyanga mzee
Mwisho wanakufa.....Mtaendelea kufukuza mawaziri, hakuna viwanda mwisho ni kununua tu watu, uchumi umadumaa. CCM ni zaidi ya shetani
Waende tu hao makinikia, dhahabu safi itabaki.Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
Mtama kwa watoto huo, wenye akili zao hamuwapati ng'o, hangaikeni na makahaba tu.Mwita Waitara amewatia hamasa kubwa!
True walahiMwita Waitara amewatia hamasa kubwa!
Kundi La Ukawa Ndio Kundi Gani?Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
Huyo ni ambaruti kabisaUmekalia kipande cha nyama wewe utakuwa
Kuna aliyekuwa na akili kama Dr Slaa hapo Ufipa?Mtama kwa watoto huo, wenye akili zao hamuwapati ng'o, hangaikeni na makahaba tu.
Hivi huyu Mbowe alikumegea mkeo ?Hapana Mashinji ndiye anayembeba Mbowe.
Mbowe ndio anaua chama.
Mashinji ile ni akili kubwa inaongozwa na akili kisoda.
Mashinji anastahili kujuzulu na kumwachia Mbowe Chama Chake.
Wanahangaika kukamatwa na makesi kibao kwa sababu ya kumjemgea Mbowe Chama chake binafsi.
Kama mtu sio wa Kabila na ukoo wa Mbowe ni Bora akahamia hata ACT kuliko kuumia kwa ajali ya mtu asiye na Shukurani.
Makamanda wanapigania Chama usiku na Mchaka wakati Mbowe akiwa anakuala starehe Dubai ,Marekani,Ujerumani na Afrika kusini,Chama kikipata mafanikio, Mbowe bila aibu anakuja na kuwakejeli makamanda kwa kuwa waambia kuwa ,'MIMI PEKEE NDIYE ROHO YA CHAMA ,HAKUNA WA KUWEZA KUONGOZA CHAMA HIKI NILICHOKIASISI'.
Kwa dharau hiyo ya Mbowe hakuna Mtu Mwenye Akili atakayeweza kubaki Chadema Chini uongozi wa Huyo mtu. Bora watu wakale Bata huko CCM kuliko kupakana Mafuta kwa mgongo wa Chupa ,eti tupiganie Chama makamanda wakati ,yeye bila Uenyekiti anarudi kesho asubuhi CCM.
Kuna aliyekuwa na akili kama Dr Slaa hapo Ufipa?
Dikteta Mbowe Amebaka Demokrasia ndani ya Chama .Hivi huyu Mbowe alikumegea mkeo ?
Kwa taarifa yako hakuna kudhoofika kitu. Itikadi hukaa moyoni na kwa taarifa yako zaidi ya wabunge 60% wa ccm hawaiungi mkono ccm ya sasa lakini wanalinda kazi zao tuuKuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
Tupo kwenye.korosho kwa sasa tunaomba Mungu tupate pesa yetu angalau tu-break-evenMboye anaendelea kumbeba Mashinji tu Chama kinazidi kupotea kwenye ramani za kisiasa
Unaota labdaCCM tayari imekataa Maombi ya Lema, Zitto Na Sugu kurudi 'Uzalendoni''
Dikteta Mbowe Amebaka Demokrasia ndani ya Chama .
Anastahili kufungwa kifungo cha maisha ili iwe funzo kwa madikteta wengine kwenye vyama vya upinzani.
Mbowe ameamua kurudi CCM Kimya kimya ndio maana humsikii akizungumza chochote.
Anaunga mkono 100/100 .
Anawarubuni wenzake waropoke hovyo na kujifanya wanapinga pinga lakini Yeye anaunga mkono juhudi za Serikali ya Chama Cha Mapinduzi.