Per Diem
JF-Expert Member
- Mar 28, 2018
- 2,189
- 3,724
Slaa?Hao walishawahi umizwa hivo hawawezi shirikiana na aliyewahi kukuumiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Slaa?Hao walishawahi umizwa hivo hawawezi shirikiana na aliyewahi kukuumiza
Kwan deadline day bado??????Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
Tutajie vigezo unavyotumia kudai uchumi unadumaa?Mtaendelea kufukuza mawaziri, hakuna viwanda mwisho ni kununua tu watu, uchumi umadumaa. CCM ni zaidi ya shetani
Ndio imejaa wajinga na wapumbavu wakiongozwa na kichaa mkuu mfalme juha wa chattle.Tutakuomba kesho ufike kusibitisha Hili
[emoji23][emoji23][emoji23] wivu? Basi ngoja nitembee kifua mberee mkuuHahahahahah....wewe una wivu mkuu huoni juhudi za serikali tumeshajenga viwonder 100,000 tayari na siye ni Donna Kantre
Na hakuna taasisi bila watuHakuna mbunge mwenye ushawishi zaidi ya taasisi
Lowasa ameingiaje tena kwenye hilo duh! Cha Arusha nouma kweliyeah....amehongwa cheo na fisadi namba 1 Tanzania!
Angetaka kweli apige kiki la kuzima korosho angemtengua DAB.... Hapo nchi nzima ingezizima.Hzi tetesi za kuzima issue ya korosho mara teuzi
Na "watu siyo viongozi"...Na hakuna taasisi bila watu
Ni Bora kubaki na kumi strong kuliko kuwa na milioni weak!Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe unajuaNa "watu siyo viongozi"...
Sawa mkuu hapo sina Nemo[emoji106][emoji106][emoji2936]Na "watu siyo viongozi"...
enzi za Lowasa kuitwa fisadi kwa tubilioni zishapitwa na wakati.Lowasa ameingiaje tena kwenye hilo duh! Cha Arusha nouma kweli