Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mama yako je?????Magufuli ni Rais mpumbavu kuliko kuwahi kutokea
Subirini mnyooshwe kwanzaPato la Taifa linatumika kwa mambo ya hovyo hovyo hakuna viwanda wala maendeleo pesa zotee zinatumika kudumaza demokrasia kudhoofisha chadema na kuua upinzani, pesa inayotumika kwa mambo yasiyo na Tija kwa Taifa ni kubwa sana na endapo ingekuwa inatumika kuleta maendeleo Leo hii Tanzania ingekuwa ni Nchi tajiri kiliko South Africa.
Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
Mkakati wake nini?
Uje mwenyewe polis kesho, ukifika wambie polis umefuat maagizo ya ibesa mau aliyoyaachaMagufuli ni Rais mpumbavu kuliko kuwahi kutokea
Baki na mimacho yako mfyuuuuKuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
Mkuu Salary slip, kwa kweli wacha waende tu wakachukue nafasi huku mataahira ya ccm yakiwekwa kapuni! Hii inadhihirisha kuna uhaba Mkubwa wa vichwa huko ccm maana vichwa vingi viko UKAWA! Lakini kichaa gywe ajue kabisa mioyoni mwa hao anaowanunua hatafuta viinilishe vya upinzani! Tuyazomee mataahira ya ccm yanayojidai kupigania chama, hhhhaayyyyoooooo!!Kwa hizi movie za JPM, watu watabaki kuwashangaa tu maana kila siku ni afadhali ya jana.
Huu upuuzi mnaoufanya leo kuna siku mtaulipia.Mboye anaendelea kumbeba Mashinji tu Chama kinazidi kupotea kwenye ramani za kisiasa
Hamna jeuri hiyooCCM tayari imekataa Maombi ya Lema, Zitto Na Sugu kurudi 'Uzalendoni''
Paukwa Pakawa, mwanangu Mwansiti bikini kama tikitiCCM tayari imekataa Maombi ya Lema, Zitto Na Sugu kurudi 'Uzalendoni''
Bado hawatafaulu kwa karne hiziKuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
Viwanda wanavyoweza ni kununua wapinzani.Mtaendelea kufukuza mawaziri, hakuna viwanda mwisho ni kununua tu watu, uchumi umadumaa. CCM ni zaidi ya shetani
Mmepagawa uchumi unaporomokaCCM tayari imekataa Maombi ya Lema, Zitto Na Sugu kurudi 'Uzalendoni''
Hata mimi nilikuwa nadhani chadema inapotea..lakini of recent nimegundua kuwa ccm inatapatapa..haikubaliki kabisa inatumia nguvu kubwa mnooo ya dola na fedha..na rushwa ya vyeo kwa watu toka opposition..Mboye anaendelea kumbeba Mashinji tu Chama kinazidi kupotea kwenye ramani za kisiasa