Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,482
- 3,999
waende tu hayo majanga ya kuishi kwa pressure nani anataka huko ccmWaondoke ikiwezekana sasa hivi..Hivi yule wa kinondoni yupo?? Sijamsikia tangu akwilina apigwe risasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waende tu hayo majanga ya kuishi kwa pressure nani anataka huko ccmWaondoke ikiwezekana sasa hivi..Hivi yule wa kinondoni yupo?? Sijamsikia tangu akwilina apigwe risasi
aaa kwanini iswe hawa wa Mujini DarDaaaa nawasiwasi na mbunge wa Binadamu na wanyama.
Ha ha ha ha haCCM tayari imekataa Maombi ya Lema, Zitto Na Sugu kurudi 'Uzalendoni''
Umekalia kipande cha nyama wewe utakuwaCCM tayari imekataa Maombi ya Lema, Zitto Na Sugu kurudi 'Uzalendoni''
Umesoma uzi vizuriwaende angalau wakapate na vyeo maana huko ccm hakuna kitu
Hahaha ahsante sana Sheikh Pohamba nitakaribia huko uzalendoni kwa akina jpm wauza/wagawa nyumba za serikali kwa hawala zao akina SundiKaribu Uzalendoni Sheikh Gemmanuel
Hakuna jipya wala la kushangaza. Wamepikwa wakapikika; dau limepanda na muda wa mwisho wa kupokea mal aya umekaribia. Itapendeza wakiondoka hata kumi kabla ya hiyo Nov 15. Usafi unaofanyika Chadema unanenepesha mifupa.Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
Kwani mashinji akitoka wabunge watarudi acha ukabila weweMboye anaendelea kumbeba Mashinji tu Chama kinazidi kupotea kwenye ramani za kisiasa
Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
Umekalia kipande cha nyama wewe utakuwa
Kuna mal aya mmoja keshakula shavu kwa hiyo inaonekana jiwe limeona lichukue wengine.Kwa hizi movie za JPM, watu watabaki kuwashangaa tu maana kila siku ni afadhali ya jana.
CCM inakutakia usiku Mwema
Tutakuomba kesho ufike kusibitisha HiliSirikali imejaa wajinga na wapumbavu.
Siyo utani!Mwita Waitara amewatia hamasa kubwa!
Lala ma mumeo wewe
Ni bahati mbaya sana!Sirikali imejaa wajinga na wapumbavu.
Kinondoni au Ubungo?Waondoke ikiwezekana sasa hivi..Hivi yule wa kinondoni yupo?? Sijamsikia tangu akwilina apigwe risasi