Tutakuomba kesho ufike kusibitisha HiliSirikali imejaa wajinga na wapumbavu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutakuomba kesho ufike kusibitisha HiliSirikali imejaa wajinga na wapumbavu.
We hujasikia yule msemaji wa 'sirikali' mwenye uprof wa kichina akisema vipo viwanda 3000 tayari? Kuorodhesha tu ndo mbinde!Mtaendelea kufukuza mawaziri, hakuna viwanda mwisho ni kununua tu watu, uchumi umadumaa. CCM ni zaidi ya shetani
Umeona eh! Ila mzaha mzaha hutumbua usaha!Hzi tetesi za kuzima issue ya korosho mara teuzi
Kinondoni mkuu..Kwenye uchaguzi wa marudio baada ya maulid kihama CUF kwenda kuunga juhudi za watuKinondoni au Ubungo?
Hapana Mashinji ndiye anayembeba Mbowe.Mboye anaendelea kumbeba Mashinji tu Chama kinazidi kupotea kwenye ramani za kisiasa
Maana ya neno Uzalendo kwa awamu hii ya tano imekuwa ni kinyume chake
Waende tu 2020 to 2025 tunabaki Chama kimoja humo ndani sasa ndo unaibuka upinzani wa wenyewe kwa wenyewe.Umeona eh! Ila mzaha mzaha hutumbua usaha!
Ungeonye barua zao za kuomba na barua ya ccm ya kuwakataa mkuu una njaa kali hapo lumumbaCCM tayari imekataa Maombi ya Lema, Zitto Na Sugu kurudi 'Uzalendoni''
Hivi mwenye akili timamu atashangaa haya,hawa watu ni watanzania,kuhama wanasogea tu,tunachojua kuwa nchi imeshawashinda ccm,wameziona hotuba za nguvu toka chadema za wabunge watatu,ambao hata wakibaki peke yao sisi watoto wa wakulima tunaona poa tuu.Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
Hata Mbowe akihamia ccm upinzani hauwezi kufa,ccm siyo Mungu ni genge la wauaji hatari likiongozwa na mhutu mmoja hivi.Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
Exactly, ujinga na uzalendo kwa awamu hii ya tano ni sifa inayofananaSasa hivi ni ngumu sana kutofautisha uzalendo na ujinga.
Sana nasikia mdee atafunga ndoa na jiwe na kuwa mke wa piliMwita Waitara amewatia hamasa kubwa!
Hahahahahaha....umewasahau Halima Mdee,Mbowe,Msigwa,Tundu Lissu, na Heche wote hao CCM imegoma kuwapokea.CCM tayari imekataa Maombi ya Lema, Zitto Na Sugu kurudi 'Uzalendoni''
Huyu wa Binadamu na wanyama kashapata mpinzaniDaaaa nawasiwasi na mbunge wa Binadamu na wanyama.
Hahahahahah....wewe una wivu mkuu huoni juhudi za serikali tumeshajenga viwonder 100,000 tayari na siye ni Donna KantreSirikali imejaa wajinga na wapumbavu.
Jinga wewe,kwani jina la Baba yako ni ccm au Kitu kingine,chama hata mkeo anaweza anzisha issue ni unafiki umezidi.Hahahahahaha....umewasahau Halima Mdee,Mbowe,Msigwa,Tundu Lissu, na Heche wote hao CCM imegoma kuwapokea.
CCM hoyeeeeeee....
******** hoyeeeee.....
Ni kweli mkuu,watanzania wana imani na CCM,hatuwataki chadema ndo walipitisha miswaada ya Dhahabu,gesi,uranium, na umaskini wa Tanzania umeletwa na Tundu Lissu,Mbowe na wenzao.Mboye anaendelea kumbeba Mashinji tu Chama kinazidi kupotea kwenye ramani za kisiasa