Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wameomba kwa mdomo? mbona hatuoni hayo maombi?Maana ya neno Uzalendo kwa awamu hii ya tano imekuwa ni kinyume chake
Aisee usimtukane rais wetu please,Magufuli ni Rais mpumbavu kuliko kuwahi kutokea
Kuna tetesi kuwa wabunge 'wazito' na 'wenye ushawishi' kutoka kundi la UKAWA watahamia CCM muda wowote kuanzia sasa. Hili likifanyika, litadhoofisha sana timu iliyobaki upinzani.
Yetu macho!
mi piaDaaaa nawasiwasi na mbunge wa Binadamu na wanyama.
Mkuu kwani ni jina baya ikiwa litatuvuaha kwa uchumi wa kati watu wapende nchi yao isiwe kama Ethiopia wanaokimbia nchi poa sana tuuCHAGA DEVELOPMENT MANIFESTO = CHADEMA
Kwa kuwakomoa wachaga huwezi labda ukapige Bomu kama LA Hiroshima na Nagasaki utafaulu,tusubiri desembaSubirini mnyooshwe kwanza
Mlijidai mkakamatwa kwenye vyeti feki
Then tukawafuata kwenye EFD ili magendo mliyokuwa mkifanya CHAGA DEVELOPMENT MANIFESTO yakome.
Mmeshasalimu amri ingawa bado tutawashughulikia tu.
Labda mhamie Kenya
Hahaaaaa Makonda issue ya vyeti nakuachwa ilikera wengi wakati maelfu ya wafanyakazi wakifukuzwa kazi, hii issue ya Raisi kumkingia kifua kumemshushia heshima kubwa Raisi aiseeAngetaka kweli apige kiki la kuzima korosho angemtengua DAB.... Hapo nchi nzima ingezizima.
Hata mimi ni rais wangu pia,sijamtukana,hujui kiswahili wewe,mpumbavu ni mtu yeyote asiye na hekima.Aisee usimtukane rais wetu please,
Hiyo nguvu ya umma itatokea ccm?Tumaini letu lipo kwenye nguvu ya umma wala sio upinzani tena.Siku moja nchi itasimama kusema inatosha sasa.
Nakutunukia shahada ya PhD kwenye utafiti uharoCCM tayari imekataa Maombi ya Lema, Zitto Na Sugu kurudi 'Uzalendoni''
Huwa unaonekana uko vizuri juu ya mwiliHapana Mashinji ndiye anayembeba Mbowe.
Mbowe ndio anaua chama.
Mashinji ile ni akili kubwa inaongozwa na akili kisoda.
Mashinji anastahili kujuzulu na kumwachia Mbowe Chama Chake.
Wanahangaika kukamatwa na makesi kibao kwa sababu ya kumjemgea Mbowe Chama chake binafsi.
Kama mtu sio wa Kabila na ukoo wa Mbowe ni Bora akahamia hata ACT kuliko kuumia kwa ajali ya mtu asiye na Shukurani.
Makamanda wanapigania Chama usiku na Mchaka wakati Mbowe akiwa anakuala starehe Dubai ,Marekani,Ujerumani na Afrika kusini,Chama kikipata mafanikio, Mbowe bila aibu anakuja na kuwakejeli makamanda kwa kuwa waambia kuwa ,'MIMI PEKEE NDIYE ROHO YA CHAMA ,HAKUNA WA KUWEZA KUONGOZA CHAMA HIKI NILICHOKIASISI'.
Kwa dharau hiyo ya Mbowe hakuna Mtu Mwenye Akili atakayeweza kubaki Chadema Chini uongozi wa Huyo mtu. Bora watu wakale Bata huko CCM kuliko kupakana Mafuta kwa mgongo wa Chupa ,eti tupiganie Chama makamanda wakati ,yeye bila Uenyekiti anarudi kesho asubuhi CCM.