Wabunge wenye maono ya Magufuli wamenyimwa nafasi kuchangia muswada wa Bandari au Wamepuuza udalali wa rasilimali za nchi?

Wabunge wenye maono ya Magufuli wamenyimwa nafasi kuchangia muswada wa Bandari au Wamepuuza udalali wa rasilimali za nchi?

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Mle bungeni kuna wabunge ambao hawakubaliani na ugawaji holela wa uendeshaji wa bandari yetu. Wabunge hao wamejikuta wanatengwa na Spika kwa kuwanyima fursa ya kuchangia muswada wa bandari ili kutoa nafasi kwa wabunge wenye kuweka mbele masilahi yao binafsi ndani ya chama kuchangia.

Leo hii Unajiuliza iweje Wabunge wote wa CCM waliosimama kuchangia muswada ule wameunga mkono Ugawaji holela ya bandari yetu kwa mwarabu. Ina maana hakuna hata mmoja aliyeona kuna shida katika huo mkataba

Unajiuliza Wabunge wenye kutetea masilahi ya Taifa kama Luhaga mpina kwa nini hawkupewa nafasi na spika kuchangia?

Je, wamenyimwa nafasi ya kuchangia, au wameamua kunawa mikono kwa kukaa kimya wasibaliki udalali huu wa bandari yetu.

Kwa ni Luhaga Mpina hakuongea, Kwa nini Bashiru Ally hakuongea? Kwa nini Mchungaji Gwajima hakuongea?
 
Tunabidi kuyatafuta maarifa sana kuhusu mambo mbali mbali.. Utaribu nikua mbunge mwenyewe ndiye uomba nafasi ya kuchangia nasio kua Spika ndiye umchagua mbunge kuongea.Je,waliomba nafasi ya kuchangia wakanyimwa? Karibu
 
Tunabidi kuyatafuta maarifa sana kuhusu mambo mbali mbali.. Utaribu nikua mbunge mwenyewe ndiye uomba nafasi ya kuchangia nasio kua Spika ndiye umchagua mbunge kuongea.Je,waliomba nafasi ya kuchangia wakanyimwa? Karibu
Waliomba wakanyimwa
 
Mle bungeni kuna wabunge ambao hawakubaliani na ugawaji holela wa uendeshaji wa bandari yetu. Wabunge hao wamejikuta wanatengwa na Spika kwa kuwanyima fursa ya kuchangia muswada wa bandari ili kutoa nafasi kwa wabunge wenye kuweka mbele masilahi yao binafsi ndani ya chama kuchangia.

Leo hii Unajiuliza iweje Wabunge wote wa CCM waliosimama kuchangia muswada ule wameunga mkono Ugawaji holela ya bandari yetu kwa mwarabu. Ina maana hakuna hata mmoja aliyeona kuna shida katika huo mkataba

Unajiuliza Wabunge wenye kutetea masilahi ya Taifa kama Luhaga mpina kwa nini hawkupewa nafasi na spika kuchangia?.

Je wamenyimwa nafasi ya kuchangia, au wameamua kunawa mikono kwa kukaa kimya wasibaliki udalali huu wa bandari yetu.

Kwa ni Luhaga Mpina hakuongea, Kwa nini Bashiru Ally hakuongea?, Kwa nini Mchungaji Gwajima hakuongea?
Kwenye kile kikao chao cha wabunge wa CCM siku moja kabla walionywa na kutishiwa kuwa wale ambao hawaungi mkono wasiseme chochote mle bungeni wakae kimya tu ndiyo itakuwa salama yao na kweli ndivyo alivyokuwa.
 
Mle bungeni kuna wabunge ambao hawakubaliani na ugawaji holela wa uendeshaji wa bandari yetu. Wabunge hao wamejikuta wanatengwa na Spika kwa kuwanyima fursa ya kuchangia muswada wa bandari ili kutoa nafasi kwa wabunge wenye kuweka mbele masilahi yao binafsi ndani ya chama kuchangia.

Leo hii Unajiuliza iweje Wabunge wote wa CCM waliosimama kuchangia muswada ule wameunga mkono Ugawaji holela ya bandari yetu kwa mwarabu. Ina maana hakuna hata mmoja aliyeona kuna shida katika huo mkataba

Unajiuliza Wabunge wenye kutetea masilahi ya Taifa kama Luhaga mpina kwa nini hawkupewa nafasi na spika kuchangia?.

Je wamenyimwa nafasi ya kuchangia, au wameamua kunawa mikono kwa kukaa kimya wasibaliki udalali huu wa bandari yetu.

Kwa ni Luhaga Mpina hakuongea, Kwa nini Bashiru Ally hakuongea?, Kwa nini Mchungaji Gwajima hakuongea?
Vipi upigaji kura? Utaratibu uliotumika uliruhusu nafasi ya kufahamika wangapi waliunga mkono na wangapi walipinga? Kwenye mitandao ya kijamii tulisoma kuwa hoja ilipitishwa kwa 100%!
 
Walipewa maelekezo chamani, wabunge wasioridhishwa na ule mkataba wasiende bungeni kuliko waende wakaupinge, ikihofiwa wangezidi kuwaamsha wabara, watakaokubaliana nao pekee ndio waende, na ndicho kilichotokea.

Bahati nzuri wabara nao wote walishaamka, shetani na mawakala wake wameshindwa.
 
Mle bungeni kuna wabunge ambao hawakubaliani na ugawaji holela wa uendeshaji wa bandari yetu. Wabunge hao wamejikuta wanatengwa na Spika kwa kuwanyima fursa ya kuchangia muswada wa bandari ili kutoa nafasi kwa wabunge wenye kuweka mbele masilahi yao binafsi ndani ya chama kuchangia.

Leo hii Unajiuliza iweje Wabunge wote wa CCM waliosimama kuchangia muswada ule wameunga mkono Ugawaji holela ya bandari yetu kwa mwarabu. Ina maana hakuna hata mmoja aliyeona kuna shida katika huo mkataba

Unajiuliza Wabunge wenye kutetea masilahi ya Taifa kama Luhaga mpina kwa nini hawkupewa nafasi na spika kuchangia?

Je, wamenyimwa nafasi ya kuchangia, au wameamua kunawa mikono kwa kukaa kimya wasibaliki udalali huu wa bandari yetu.

Kwa ni Luhaga Mpina hakuongea, Kwa nini Bashiru Ally hakuongea? Kwa nini Mchungaji Gwajima hakuongea?
Kwa katiba iliyopo na mfumo sidhan kama kuna mwenye uzalendo wa kweli nchini!! Wote utashangaa wamepiga jax halafu wametulia tuli!!
 
Kwenye kile kikao chao cha wabunge wa CCM siku moja kabla walionywa na kutishiwa kuwa wale ambao hawaungi mkono wasiseme chochote mle bungeni wakae kimya tu ndiyo itakuwa salama yao na kweli ndivyo alivyokuwa.
Huu ndo ukweli wenyewe
 
Mle bungeni kuna wabunge ambao hawakubaliani na ugawaji holela wa uendeshaji wa bandari yetu. Wabunge hao wamejikuta wanatengwa na Spika kwa kuwanyima fursa ya kuchangia muswada wa bandari ili kutoa nafasi kwa wabunge wenye kuweka mbele masilahi yao binafsi ndani ya chama kuchangia.

Leo hii Unajiuliza iweje Wabunge wote wa CCM waliosimama kuchangia muswada ule wameunga mkono Ugawaji holela ya bandari yetu kwa mwarabu. Ina maana hakuna hata mmoja aliyeona kuna shida katika huo mkataba

Unajiuliza Wabunge wenye kutetea masilahi ya Taifa kama Luhaga mpina kwa nini hawkupewa nafasi na spika kuchangia?

Je, wamenyimwa nafasi ya kuchangia, au wameamua kunawa mikono kwa kukaa kimya wasibaliki udalali huu wa bandari yetu.

Kwa ni Luhaga Mpina hakuongea, Kwa nini Bashiru Ally hakuongea? Kwa nini Mchungaji Gwajima hakuongea?
Si mlisema Sukuma gang wanaona wivu na hawana umuhimu haya pambaneni wenyewe kwa wenyewe tuona hao walamba asali gang kama watawatetea mtashtuka kumbe wao ndo hao wanatakaopata vishea kwenye mradi huu wa bandari na waarabu.
 
Mle bungeni kuna wabunge ambao hawakubaliani na ugawaji holela wa uendeshaji wa bandari yetu. Wabunge hao wamejikuta wanatengwa na Spika kwa kuwanyima fursa ya kuchangia muswada wa bandari ili kutoa nafasi kwa wabunge wenye kuweka mbele masilahi yao binafsi ndani ya chama kuchangia.

Leo hii Unajiuliza iweje Wabunge wote wa CCM waliosimama kuchangia muswada ule wameunga mkono Ugawaji holela ya bandari yetu kwa mwarabu. Ina maana hakuna hata mmoja aliyeona kuna shida katika huo mkataba

Unajiuliza Wabunge wenye kutetea masilahi ya Taifa kama Luhaga mpina kwa nini hawkupewa nafasi na spika kuchangia?

Je, wamenyimwa nafasi ya kuchangia, au wameamua kunawa mikono kwa kukaa kimya wasibaliki udalali huu wa bandari yetu.

Kwa ni Luhaga Mpina hakuongea, Kwa nini Bashiru Ally hakuongea? Kwa nini Mchungaji Gwajima hakuongea?
Tulia wabunge wote walichangia
 
Mle bungeni kuna wabunge ambao hawakubaliani na ugawaji holela wa uendeshaji wa bandari yetu. Wabunge hao wamejikuta wanatengwa na Spika kwa kuwanyima fursa ya kuchangia muswada wa bandari ili kutoa nafasi kwa wabunge wenye kuweka mbele masilahi yao binafsi ndani ya chama kuchangia.

Leo hii Unajiuliza iweje Wabunge wote wa CCM waliosimama kuchangia muswada ule wameunga mkono Ugawaji holela ya bandari yetu kwa mwarabu. Ina maana hakuna hata mmoja aliyeona kuna shida katika huo mkataba

Unajiuliza Wabunge wenye kutetea masilahi ya Taifa kama Luhaga mpina kwa nini hawkupewa nafasi na spika kuchangia?

Je, wamenyimwa nafasi ya kuchangia, au wameamua kunawa mikono kwa kukaa kimya wasibaliki udalali huu wa bandari yetu.

Kwa ni Luhaga Mpina hakuongea, Kwa nini Bashiru Ally hakuongea? Kwa nini Mchungaji Gwajima hakuongea?
Mpina anasumbuliwa na roho mbaya ya asili mpaka anakuja na taarifa za upotoshaji wa kila kinachofanyika serikalini.

Kuna wakati anakuwa na hoja nyepesi sana ambazo raia wa kawaida akimsikia anaongea anadhani jamaa anamwaga hoja za maana, kumbe ni madudu au wakati mwingine alipaswa kwanza kuongea na waziri, naibu au katibu ili wampe mwanga juu ya hayo madukuduku yake.
 
Back
Top Bottom