Wabunge wetu mnataka mpigwe na mayai viza ndio mjue mnatukosea?

Wabunge wetu mnataka mpigwe na mayai viza ndio mjue mnatukosea?

Mshangai

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2008
Posts
468
Reaction score
1,086
Hili jambo nilishuhudia nchi moja Ulaya na matukio hayo baadhi ya nchi Afrika yamekuwapo. Wananchi wamekuchagua (au wamewekewa) mwakilishi wao kuwasemea Bungeni, lakini badala ya kutimiza wajibu wako kwa waliokutuma unaenda kutumika kupitisha vitu ambavyo unajua kwa uwazi kabisa watu hawataki; mfano ni huu wa Bandari.

Je, unategemea tufanyeje sisi ili uelewe kuwa hatufurahishwi na utendaji huo?

Nadhani sasa tuwapige na mayai viza au nyanya zilizooza tukipishana nanyi ili mkanukiwe huko Bungeni au mkienda kwenye mahoteli na mabaa kula bata.

Tumefika kikomo cha uvumilivu kwa matendo yenu ya hovyo kinyume na ahadi zenu.
 
Australia mbunge mmoja alikuwa na tabia ya kununulika sana siku moja jukwaani alichapwa mayai viza alinuka wiki nzima.
Kila akioga bado anajihisi harufu ipo, hakugombea tena
 
Hili jambo nilishuhudia nchi moja Ulaya na matukio hayo baadhi ya nchi Afrika yamekuwapo. Wananchi wamekuchagua (au wamewekewa) mwakilishi wao kuwasemea Bungeni, lakini badala ya kutimiza wajibu wako kwa waliokutuma unaenda kutumika kupitisha vitu ambavyo unajua kwa uwazi kabisa watu hawataki; mfano ni huu wa Bandari.

Je, unategemea tufanyeje sisi ili uelewe kuwa hatufurahishwi na utendaji huo?

Nadhani sasa tuwapige na mayai viza au nyanya zilizooza tukipishana nanyi ili mkanukiwe huko Bungeni au mkienda kwenye mahoteli na mabaa kula bata.

Tumefika kikomo cha uvumilivu kwa matendo yenu ya hovyo kinyume na ahadi zenu.
+255768300000
 
Hili jambo nilishuhudia nchi moja Ulaya na matukio hayo baadhi ya nchi Afrika yamekuwapo. Wananchi wamekuchagua (au wamewekewa) mwakilishi wao kuwasemea Bungeni, lakini badala ya kutimiza wajibu wako kwa waliokutuma unaenda kutumika kupitisha vitu ambavyo unajua kwa uwazi kabisa watu hawataki; mfano ni huu wa Bandari.

Je, unategemea tufanyeje sisi ili uelewe kuwa hatufurahishwi na utendaji huo?

Nadhani sasa tuwapige na mayai viza au nyanya zilizooza tukipishana nanyi ili mkanukiwe huko Bungeni au mkienda kwenye mahoteli na mabaa kula bata.

Tumefika kikomo cha uvumilivu kwa matendo yenu ya hovyo kinyume na ahadi zenu.
Hoja yako ina mashiko.
Kwenye mtandao tuanzishe ignore campaign.
Kama kuna kabila linamsuta jambaz sugu had anakufa tunashindwa nini kuwaonyesha wabunge flan ni hasara ya Taifa hadi wakwe, wake na watoto wao wajue?
Hatua ifate ya kuwawashia taa ya disposal, waish kama digi digi
Yan tuwa label kama social liability
 
Hili jambo nilishuhudia nchi moja Ulaya na matukio hayo baadhi ya nchi Afrika yamekuwapo. Wananchi wamekuchagua (au wamewekewa) mwakilishi wao kuwasemea Bungeni, lakini badala ya kutimiza wajibu wako kwa waliokutuma unaenda kutumika kupitisha vitu ambavyo unajua kwa uwazi kabisa watu hawataki; mfano ni huu wa Bandari.

Je, unategemea tufanyeje sisi ili uelewe kuwa hatufurahishwi na utendaji huo?

Nadhani sasa tuwapige na mayai viza au nyanya zilizooza tukipishana nanyi ili mkanukiwe huko Bungeni au mkienda kwenye mahoteli na mabaa kula bata.

Tumefika kikomo cha uvumilivu kwa matendo yenu ya hovyo kinyume na ahadi zenu.
Mi nashaur ipigwe dua kali na maombi Nchi nzima kwaajil ya hao wasiolitakia mema Taifa letu!!
 
Kamata haoooo, shika haaaao.....Nasikia wapo wabunge 30 wataka panda majukwaani kugombea ubunge tena .......tayarisha kuku wako vizuri, wakutegee mayai.....
Chagua kwa uangalifu 2025
 
Hoja yako ina mashiko.
Kwenye mtandao tuanzishe ignore campaign.
Kama kuna kabila linamsuta jambaz sugu had anakufa tunashindwa nini kuwaonyesha wabunge flan ni hasara ya Taifa hadi wakwe, wake na watoto wao wajue?
Hatua ifate ya kuwawashia taa ya disposal, waish kama digi digi
Yan tuwa label kama social liability
Bonge la idea, mtu asemwe na kusemangwa mpaka ajione yuko uchi wa mnyama mbele ya familia yake, marafiki, michepuko yote na mitaani hadi akonde na kupata Sonona na kifaduro hadi afe.
Mpaka hapo katiba mpya watakuwa wamenyooka.
 
Back
Top Bottom