Wabunge wote wa CCM wameshindwa kutetea maslahi ya wamachinga nchi nzima. Nini maana yake?

Wabunge wote wa CCM wameshindwa kutetea maslahi ya wamachinga nchi nzima. Nini maana yake?

Ndugu wanaJamiiForums habari za asubuhi.

Ni jambo la kushangaza tena sana, kwamba ktk majiji ya Tanzania hasa Dar es Salaam na Mwanza majiji yanayokuwa kwa kasi sambaba na fursa nyingi za kiuchumi na biashara.

Katika majiji haya hivi karibuni na hata sasa wamekuwa wakibughudhiwa na serikali kwa kuwataka wahamie maeneo mengine na waache kupanga biashara zao kwenye hifadhi za barabara.

Pamoja na taratibu zote ambazo zinaendelea kumeonekana uvunjwahi wa haki za wafanyabiashara hawa ikiwemo kuharibiwa biashara zao na mitaji yao. Huku wamachinga wasijue la kufanya na hakuna aliyeko upande wao.

Ile CCM ya wanyonge iko wapi? Wale wabunge na wapiga kura wao umoja mbona hauonekani?

Je, ndio kusema urafiki wa wabunge hawa na wananchi wao upo tu wakati wa kupiga kura?

Dar es Salaam pekee kuna wabunge wasiopungua 8. Mwanza na maeneo mwngine wahunge woote ni wa CCM.

Hiki kigugumizi cha kutoishauri Serikali namna bora ya kuwahamisha huku tukipunguza madhara makubwa kwa wajasirianali hawa kinatokana na nini?

Ndio kusema wao hayawahusu as long as account zao zinasoma kila mwezi?

CCM kalaghabaho. Waliingia bila kuchaguliwa na wananchi kwa hiyo msitarajie msaada wowote wenye maana kutoka kwao.

Jamaa kareem
Kwani kuna wabunge?
 
Ndugu wanaJamiiForums habari za asubuhi.

Ni jambo la kushangaza tena sana, kwamba ktk majiji ya Tanzania hasa Dar es Salaam na Mwanza majiji yanayokuwa kwa kasi sambaba na fursa nyingi za kiuchumi na biashara.

Katika majiji haya hivi karibuni na hata sasa wamekuwa wakibughudhiwa na serikali kwa kuwataka wahamie maeneo mengine na waache kupanga biashara zao kwenye hifadhi za barabara.

Pamoja na taratibu zote ambazo zinaendelea kumeonekana uvunjwahi wa haki za wafanyabiashara hawa ikiwemo kuharibiwa biashara zao na mitaji yao. Huku wamachinga wasijue la kufanya na hakuna aliyeko upande wao.

Ile CCM ya wanyonge iko wapi? Wale wabunge na wapiga kura wao umoja mbona hauonekani?

Je, ndio kusema urafiki wa wabunge hawa na wananchi wao upo tu wakati wa kupiga kura?

Dar es Salaam pekee kuna wabunge wasiopungua 8. Mwanza na maeneo mwngine wahunge woote ni wa CCM.

Hiki kigugumizi cha kutoishauri Serikali namna bora ya kuwahamisha huku tukipunguza madhara makubwa kwa wajasirianali hawa kinatokana na nini?

Ndio kusema wao hayawahusu as long as account zao zinasoma kila mwezi?

CCM kalaghabaho. Waliingia bila kuchaguliwa na wananchi kwa hiyo msitarajie msaada wowote wenye maana kutoka kwao.

Jamaa kareem
nani kakuambia wabunge ni watetezi wa wanyonge?mbona mmepitishiwa matozo ya ajabu ajabu na hao hao unaosema ni watetezi wa wanyonge.ki msingi wamachinga walikuwa ni bugdha kwa miji yetu hivyo kwa maoni yangu mm naona ni sasa tu wapangwe maeneo sahihi na ss tutawafuata huko.maeneo kama barabara ya uhuru,msimbazi pamoja sehemu nyingine kwa kweli ilikuwa kero si tu kwa watembea kwa miguu bali hata vyombo vya moto.kuhusu kuharibiwa biashara zao nadhani ni watendaji ambao hawana maadili ya kazi yao.wanatakiwa kutekeleza jambo hili kiustaarabu ili kwa kweli mitaa yetu iwe vzr na pia iwe safi kama wenzetu kwingineko.
 
Bata wanalopewa na Serikali kweli wakusilize wewe kajamba nani?.

Wapiga kura jukumu huishia kwenye uchaguzi, wakishaanza kumtumikia mlipa posho na marupurupu nyie wekeni tu mikono kichwani msubiri uchaguzi ujao.
 
Kweli unaamini tuna Wabunge
Wabunge wa KUTEULIWA hawaezi kumtetea MWANANCHI, wanazitetea MAMLAKA zilizowateua tu.

2925143_download_3.jpeg
 
Usijali tutakuna nao 2025 tunaandaa takrima zao, watapozwa tu machungu haya usiwe na wasi mtoja hoja - tupo pamoja nao hatuwezi kuwaacha.
Na reserve hii comment 2025. Watadanganywa kweli na kura watapiga
 
Polepole na Msukuma walijaribu wakazodolewa kila Kona na wale viongozi wa chama.

Wengi wanaogopa panga la Hangaya uchaguzi ukifika.
Hivyo wanalinda ugali wa familia na siyo maslahi ya wapinga Kura.
 
Ndugu wanaJamiiForums habari za asubuhi.

Ni jambo la kushangaza tena sana, kwamba ktk majiji ya Tanzania hasa Dar es Salaam na Mwanza majiji yanayokuwa kwa kasi sambaba na fursa nyingi za kiuchumi na biashara.

Katika majiji haya hivi karibuni na hata sasa wamekuwa wakibughudhiwa na serikali kwa kuwataka wahamie maeneo mengine na waache kupanga biashara zao kwenye hifadhi za barabara.

Pamoja na taratibu zote ambazo zinaendelea kumeonekana uvunjwahi wa haki za wafanyabiashara hawa ikiwemo kuharibiwa biashara zao na mitaji yao. Huku wamachinga wasijue la kufanya na hakuna aliyeko upande wao.

Ile CCM ya wanyonge iko wapi? Wale wabunge na wapiga kura wao umoja mbona hauonekani?

Je, ndio kusema urafiki wa wabunge hawa na wananchi wao upo tu wakati wa kupiga kura?

Dar es Salaam pekee kuna wabunge wasiopungua 8. Mwanza na maeneo mwngine wahunge woote ni wa CCM.

Hiki kigugumizi cha kutoishauri Serikali namna bora ya kuwahamisha huku tukipunguza madhara makubwa kwa wajasirianali hawa kinatokana na nini?

Ndio kusema wao hayawahusu as long as account zao zinasoma kila mwezi?

CCM kalaghabaho. Waliingia bila kuchaguliwa na wananchi kwa hiyo msitarajie msaada wowote wenye maana kutoka kwao.

Jamaa kareem

Wapo kwa ajili ya kutetea masrahi ya watawala
 
Ndugu wanaJamiiForums habari za asubuhi.

Ni jambo la kushangaza tena sana, kwamba ktk majiji ya Tanzania hasa Dar es Salaam na Mwanza majiji yanayokuwa kwa kasi sambaba na fursa nyingi za kiuchumi na biashara.

Katika majiji haya hivi karibuni na hata sasa wamekuwa wakibughudhiwa na serikali kwa kuwataka wahamie maeneo mengine na waache kupanga biashara zao kwenye hifadhi za barabara.

Pamoja na taratibu zote ambazo zinaendelea kumeonekana uvunjwahi wa haki za wafanyabiashara hawa ikiwemo kuharibiwa biashara zao na mitaji yao. Huku wamachinga wasijue la kufanya na hakuna aliyeko upande wao.

Ile CCM ya wanyonge iko wapi? Wale wabunge na wapiga kura wao umoja mbona hauonekani?

Je, ndio kusema urafiki wa wabunge hawa na wananchi wao upo tu wakati wa kupiga kura?

Dar es Salaam pekee kuna wabunge wasiopungua 8. Mwanza na maeneo mwngine wahunge woote ni wa CCM.

Hiki kigugumizi cha kutoishauri Serikali namna bora ya kuwahamisha huku tukipunguza madhara makubwa kwa wajasirianali hawa kinatokana na nini?

Ndio kusema wao hayawahusu as long as account zao zinasoma kila mwezi?

CCM kalaghabaho. Waliingia bila kuchaguliwa na wananchi kwa hiyo msitarajie msaada wowote wenye maana kutoka kwao.

Jamaa kareem
Nani atatetea uchafu na kutolipa kodi, nusababisha miji kunuka , na yote kwa ajili ya kupata sifa za kisiasa!
 
Ndugu wanaJamiiForums habari za asubuhi.

Ni jambo la kushangaza tena sana, kwamba ktk majiji ya Tanzania hasa Dar es Salaam na Mwanza majiji yanayokuwa kwa kasi sambaba na fursa nyingi za kiuchumi na biashara.

Katika majiji haya hivi karibuni na hata sasa wamekuwa wakibughudhiwa na serikali kwa kuwataka wahamie maeneo mengine na waache kupanga biashara zao kwenye hifadhi za barabara.

Pamoja na taratibu zote ambazo zinaendelea kumeonekana uvunjwahi wa haki za wafanyabiashara hawa ikiwemo kuharibiwa biashara zao na mitaji yao. Huku wamachinga wasijue la kufanya na hakuna aliyeko upande wao.

Ile CCM ya wanyonge iko wapi? Wale wabunge na wapiga kura wao umoja mbona hauonekani?

Je, ndio kusema urafiki wa wabunge hawa na wananchi wao upo tu wakati wa kupiga kura?

Dar es Salaam pekee kuna wabunge wasiopungua 8. Mwanza na maeneo mwngine wahunge woote ni wa CCM.

Hiki kigugumizi cha kutoishauri Serikali namna bora ya kuwahamisha huku tukipunguza madhara makubwa kwa wajasirianali hawa kinatokana na nini?

Ndio kusema wao hayawahusu as long as account zao zinasoma kila mwezi?

CCM kalaghabaho. Waliingia bila kuchaguliwa na wananchi kwa hiyo msitarajie msaada wowote wenye maana kutoka kwao.

Jamaa kareem
WABUNGE wenyewe Hawajitambui kwani Waliwekwa tu
 
nani kakuambia wabunge ni watetezi wa wanyonge?mbona mmepitishiwa matozo ya ajabu ajabu na hao hao unaosema ni watetezi wa wanyonge.ki msingi wamachinga walikuwa ni bugdha kwa miji yetu hivyo kwa maoni yangu mm naona ni sasa tu wapangwe maeneo sahihi na ss tutawafuata huko.maeneo kama barabara ya uhuru,msimbazi pamoja sehemu nyingine kwa kweli ilikuwa kero si tu kwa watembea kwa miguu bali hata vyombo vya moto.kuhusu kuharibiwa biashara zao nadhani ni watendaji ambao hawana maadili ya kazi yao.wanatakiwa kutekeleza jambo hili kiustaarabu ili kwa kweli mitaa yetu iwe vzr na pia iwe safi kama wenzetu kwingineko.
bunge la mwendazake na Samia
 
Back
Top Bottom