Wabunge Wote Wasiotaka Kura za Wazi are Cowards ni wakati Muafaka Wakajitoa huko Dodoma Haraka Sana!

Wabunge Wote Wasiotaka Kura za Wazi are Cowards ni wakati Muafaka Wakajitoa huko Dodoma Haraka Sana!

Ukweli kuna wabunge wengi wa CCM wanataka Tanganyika irudi lakini huo si msimamo wa CCM, hivyo wanataka kupiga kura ya siri. Kwa mtazamo wangu nilikuwa naona ni hekima kupiga kura ya wazi ili kuwapa nafasi watanzania kuwajua wabunge wao wanasimamia nini. Wabunge wa CCM wanaotaka Tanganyika irudi simamieni msimamo wenu ili muonekane. Ni unafiki wa hali juu kuficha kile ukitakacho eti kwa sababu ni msimamo wa chama chako.

Katiba si mali ya chama, ni mali ya watanzania na ndiyo waliokutuma huko Bungeni kwa lengo la kupata katiba mpya na bora. Ombi langu kwa wabunge wanafiki, Chama kisikupelekeshe wala kisikufanye ushindwe kusimamia kile unachokiamini na kile watakacho wananchi wa jimbo lako. Taifa kwanza na chama baadaye.
 
What Is wrong with secret ballot. Alafu lazima ujue sio kina mtu kule ni mwanaume.

- Kiongozi Mwanaume anasimama na kusema wazi amepigaje kura yake na sababu anazisema mbele ya wananchi bila uoga, sio kwenda huko kupokea posho na kuanza kulia lia kama watoto kama hawawezi kupiga kura za wazi wananchi tukajua wamepigaje waondoke huko haraka sana wawaachie wanaoweza wanaume wasio na uoga wa kupiga kura ya wazi!!

Le Mutuz
 
Tuambie madhara ya kura ya siri. Nijiavyo mm cowards ni wale watu wanaotaka kujificha nyuma ya mtu au kitu na kufanya au kusema kitu ambacho hata hakiamini. Mnachotaka hapo ni wanaCCM Kufosiwa kujificha nyuma ya chama na kushabikia kila upuuzi mtakaouleta hapo DODOMA. Tha is not acceptable and kura ya siri is the way forward.

- Coward ni mwanaume yoyote anayeogopa kufanya mambo kwa wazi analilia kuficha ficha eti kwa siri, simama wewe uhesabiwe!!

le mutuz
 
- Katiba ya Taifa haiwezi kuandikwa kwa kura za siri wale wote wanaolilia kura za siri waondoke huko now hawafai ni cowards, waondoke now!!

Le Mutuz

I salute you mkuu. Hakuna bunge la kura ya siri as long as umechaguliwa kuwakilisha wananchi
 
- Na wewe unatetea waoga waoga wanaolilia kupiga kura kwa siri? duh waondoke huko Dodoma tunataka Viongozi wanaoweza kusimama na kuhesabiwa sio magoi goi wa kulia lia kama watoto wadogo!~1

Le big Show[/QUOTE
We puto bora nitee waoga nikapata katiba ya kitaifa kuliko nitetee hao unaowaita wanaume nikapata katiba ya waganga njaa kama wewe na chama kimoja. Jitahidi basi akili zako zijae mwili wako sio umejaa maushuzi kama puto.
 
- Kiongozi Mwanaume anasimama na kusema wazi amepigaje kura yake na sababu anazisema mbele ya wananchi bila uoga, sio kwenda huko kupokea posho na kuanza kulia lia kama watoto kama hawawezi kupiga kura za wazi wananchi tukajua wamepigaje waondoke huko haraka sana wawaachie wanaoweza wanaume wasio na uoga wa kupiga kura ya wazi!!

Le Mutuz

yani we jamaa ni mbulula sijapata kuona. kwahiyo we point yak kubwa hapo ni uoga? ebu kuwa na akili basi inayoendana na umbo lako.
watu wanakupa advantages na disadvantages za kura ya siri na wazi we unabaki tu oooh wanaume cowards!!!!
halafu narudia tena waheshimu mama zetu na dada zetu walioko bungeni including mama ako wa kambo kwa kuondoa huo upuuzi wako wa MWANAUME.
sisi ndio wananchi na ukitaka kujua wananchi kiasi gani wanasupport kura ya siri hesabu watu humu kwenye thread wanaokuunga mkono na wanaokupinga.
 
- Nimeshitushwa sana na habari za mzozo wa Kupiga kura huko Dodoma kwenye bunge la Katiba, siamini kwamba leo 2014 Tanzania tuna viongozi watuwazima na akili timamu wanalia lia kama watoto wadogo eti wanaogopa kupiga kura za wazi are you kidding me or what? Katika kuishi kwangu nje miaka mingi sana sijawahi kusikia Viongozi wanaume wakililia kupiga kura za siri on anything, sasa sisi Tanzania tumemkosea nini Mungu mpaka kuweza kuwa na Viongozi wa Taifa waoga waoga mpaka kuogopa kupiga kura ya wazi?

- Mimi nilidhani Wanasiasa wote Duniani huwa wanalilia kazi zao kuonekana wazi kwa wananchi na hizi kura ndio haswa ilikuwa nafasi za wanasiasa wetu kuonyesha misimamo yao wazi kwenye kura na kuweza kusimama kuitetea kwa nini wamepiga kura kama walizopiga, badala yake naona wanaume watuwazima wakilia lia kila siku kuomba wapige kura za siri kusudi wasijulikane na wananchi wanaowaongoza wamepigaje kura zao, Really?

- Naomba wale Viongozi wote huko bungeni Dodoma wanaolilia kama watoto habari za kupiga kura za siri waondoke huko mara moja, cause hawafai, ni kiongozi gani Duniani leo anayeogopa kupiga kura ya wazi na kusimama mbele ya Taifa kutoa sababu za kwa nini amepiga kura yake kama alivyopiga? Ukweli ni kwamba hawafai kuwa Viongozi na hata kuwa wawakilishi wa wengine, wananchi wa Tanzania hatujawatuma viongozi waoga na cowards huko Dodoma ni simply kwamba hawawezi na hawatufai, waondoke mara moja na wawaachie wananchi wengine nafazi zao, wananchi wasio ogopa kuhesabiwa na umma!!, Wananchi tunataka katiba mpya na inatakiwa kuandikwa na wananchi walio tayari kufa kwa kusimamia misimamo yao, sio waoga waoga kama fisi fukuza wote huko Dodoma waoga waoga!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA

Le Mutuz Big Show

Nakubalia na wewe kabisa Le Mutuz, hata kubadilisha dini kwa siri ili upate support ya kuwa raisi nao ni utoto. Kama wewe ni mwanamme kamili na unataka uraisi wa nchi, huna haja ya kubadili dini na jina kwa siri.
 
- Nimeshitushwa sana na habari za mzozo wa Kupiga kura huko Dodoma kwenye bunge la Katiba, siamini kwamba leo 2014 Tanzania tuna viongozi watuwazima na akili timamu wanalia lia kama watoto wadogo eti wanaogopa kupiga kura za wazi are you kidding me or what? Katika kuishi kwangu nje miaka mingi sana sijawahi kusikia Viongozi wanaume wakililia kupiga kura za siri on anything, sasa sisi Tanzania tumemkosea nini Mungu mpaka kuweza kuwa na Viongozi wa Taifa waoga waoga mpaka kuogopa kupiga kura ya wazi?

- Mimi nilidhani Wanasiasa wote Duniani huwa wanalilia kazi zao kuonekana wazi kwa wananchi na hizi kura ndio haswa ilikuwa nafasi za wanasiasa wetu kuonyesha misimamo yao wazi kwenye kura na kuweza kusimama kuitetea kwa nini wamepiga kura kama walizopiga, badala yake naona wanaume watuwazima wakilia lia kila siku kuomba wapige kura za siri kusudi wasijulikane na wananchi wanaowaongoza wamepigaje kura zao, Really?

- Naomba wale Viongozi wote huko bungeni Dodoma wanaolilia kama watoto habari za kupiga kura za siri waondoke huko mara moja, cause hawafai, ni kiongozi gani Duniani leo anayeogopa kupiga kura ya wazi na kusimama mbele ya Taifa kutoa sababu za kwa nini amepiga kura yake kama alivyopiga? Ukweli ni kwamba hawafai kuwa Viongozi na hata kuwa wawakilishi wa wengine, wananchi wa Tanzania hatujawatuma viongozi waoga na cowards huko Dodoma ni simply kwamba hawawezi na hawatufai, waondoke mara moja na wawaachie wananchi wengine nafazi zao, wananchi wasio ogopa kuhesabiwa na umma!!, Wananchi tunataka katiba mpya na inatakiwa kuandikwa na wananchi walio tayari kufa kwa kusimamia misimamo yao, sio waoga waoga kama fisi fukuza wote huko Dodoma waoga waoga!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA

Le Mutuz Big Show

Wewe umesubiri msimamo wa mama yako ndo na wewe unakuja na hiyo hoja, ccm mkafie mbali
 
Hivi we Malecela na wengine mnaotaka za wazi mnataka muwafanye nini mkishawajua waloenda kinyume na matakwa yenu?

Hili sio jambo la kubishana sana, ila mnaposhadadia sana ndo mtu unastuka kwani nikipiga ya siri nyi mnadhurika vipi?

Ni sawa na mtu nakwambia nimeshiba unanilazimisha kula , kula, mwisho nashtuka kumbe umeweka sumu ndo maana unanilazimisha kula!
 
- Kaka wanaume wanaandika katiba mpya kwa kura za siri ulisikia wapi hiyo? Huko dodoma wameenda watu wengi wasiofaaa fukuza wote tuanze upya ibidi na waulizwe mapema wanataka kupiga kura za siri au za wazi, kura inapigwa wazi

Le Mutuz

Umekazana sana na kuandika 'wanaume' wanakuhusu sana nini! Kwani bungeni wanawake hawapo? Au ndio language yako kuwa hata hao wanawake ni wanaume? Sema tu wenzio wanalia lia, kama kilio hakitakugeukia wewe, usije tu ukatafuta njia ya kurudi marekani
 
- Coward ni mwanaume yoyote anayeogopa kufanya mambo kwa wazi analilia kuficha ficha eti kwa siri, simama wewe uhesabiwe!!

le mutuz

Wiliamu na wengine wote
naomba mnisaide hapa mimi sijaelwa hapa mnaposema kula ziwe za wazi ni kuwa wajumbe watasimama na kuhesabiwa au itatumika ile sauti ya Ndiooooo naomba kujuzwa tafadhali
 
- Nimeshitushwa sana na habari za mzozo wa Kupiga kura huko Dodoma kwenye bunge la Katiba, siamini kwamba leo 2014 Tanzania tuna viongozi watuwazima na akili timamu wanalia lia kama watoto wadogo eti wanaogopa kupiga kura za wazi are you kidding me or what? Katika kuishi kwangu nje miaka mingi sana sijawahi kusikia Viongozi wanaume wakililia kupiga kura za siri on anything, sasa sisi Tanzania tumemkosea nini Mungu mpaka kuweza kuwa na Viongozi wa Taifa waoga waoga mpaka kuogopa kupiga kura ya wazi?

- Mimi nilidhani Wanasiasa wote Duniani huwa wanalilia kazi zao kuonekana wazi kwa wananchi na hizi kura ndio haswa ilikuwa nafasi za wanasiasa wetu kuonyesha misimamo yao wazi kwenye kura na kuweza kusimama kuitetea kwa nini wamepiga kura kama walizopiga, badala yake naona wanaume watuwazima wakilia lia kila siku kuomba wapige kura za siri kusudi wasijulikane na wananchi wanaowaongoza wamepigaje kura zao, Really?

- Naomba wale Viongozi wote huko bungeni Dodoma wanaolilia kama watoto habari za kupiga kura za siri waondoke huko mara moja, cause hawafai, ni kiongozi gani Duniani leo anayeogopa kupiga kura ya wazi na kusimama mbele ya Taifa kutoa sababu za kwa nini amepiga kura yake kama alivyopiga? Ukweli ni kwamba hawafai kuwa Viongozi na hata kuwa wawakilishi wa wengine, wananchi wa Tanzania hatujawatuma viongozi waoga na cowards huko Dodoma ni simply kwamba hawawezi na hawatufai, waondoke mara moja na wawaachie wananchi wengine nafazi zao, wananchi wasio ogopa kuhesabiwa na umma!!, Wananchi tunataka katiba mpya na inatakiwa kuandikwa na wananchi walio tayari kufa kwa kusimamia misimamo yao, sio waoga waoga kama fisi fukuza wote huko Dodoma waoga waoga!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA

Le Mutuz Big Show

...wakati we unagombea ubunge wa EAC parliament ulipigiwa kura gani???....mbona hukusikika ukisema kura iwe ya wazi???...who is the coward here??...These are kinds of hypocritical views from ccm dogs.....idiot!!
 
Kura ya wazi ya NDIYOOOOOOOOOOOOOOOOO na SIYOOOOOOOOOOOOOOOOOO?Au kura ya wazi ipi?Wengi wa wajumbe siyo wazalendo na kitisho kidogo tu ameshasamabaratika.Na kura ya SIRI ndiyo pekee itakayowasaidia.Na kwa nini iwe chama chetu cha Majangili tu ndiyo kikatae kura ya siri kuna nini ndani yake?Wanaogopa nini?
 
I salute you mkuu. Hakuna bunge la kura ya siri as long as umechaguliwa kuwakilisha wananchi

Ingeweza tu kuwa ya wazi kama tendo zima lingeachwa kuwa HURU.Lakini kuna wajumbe wameshanunuliwa tayari,kutishwa nk.Kuna wengine hata kuteuliwa kwao tu kumeharibu UHURU wao wakufikiri,hivyo ni vyema kura ya siri ikatumika.
 
unatakiwa ukamuone psychiatric, yaelekea haziko sawa upstairs.
- Nimeshitushwa sana na habari za mzozo wa Kupiga kura huko Dodoma kwenye bunge la Katiba, siamini kwamba leo 2014 Tanzania tuna viongozi watuwazima na akili timamu wanalia lia kama watoto wadogo eti wanaogopa kupiga kura za wazi are you kidding me or what? Katika kuishi kwangu nje miaka mingi sana sijawahi kusikia Viongozi wanaume wakililia kupiga kura za siri on anything, sasa sisi Tanzania tumemkosea nini Mungu mpaka kuweza kuwa na Viongozi wa Taifa waoga waoga mpaka kuogopa kupiga kura ya wazi?

- Mimi nilidhani Wanasiasa wote Duniani huwa wanalilia kazi zao kuonekana wazi kwa wananchi na hizi kura ndio haswa ilikuwa nafasi za wanasiasa wetu kuonyesha misimamo yao wazi kwenye kura na kuweza kusimama kuitetea kwa nini wamepiga kura kama walizopiga, badala yake naona wanaume watuwazima wakilia lia kila siku kuomba wapige kura za siri kusudi wasijulikane na wananchi wanaowaongoza wamepigaje kura zao, Really?

- Naomba wale Viongozi wote huko bungeni Dodoma wanaolilia kama watoto habari za kupiga kura za siri waondoke huko mara moja, cause hawafai, ni kiongozi gani Duniani leo anayeogopa kupiga kura ya wazi na kusimama mbele ya Taifa kutoa sababu za kwa nini amepiga kura yake kama alivyopiga? Ukweli ni kwamba hawafai kuwa Viongozi na hata kuwa wawakilishi wa wengine, wananchi wa Tanzania hatujawatuma viongozi waoga na cowards huko Dodoma ni simply kwamba hawawezi na hawatufai, waondoke mara moja na wawaachie wananchi wengine nafazi zao, wananchi wasio ogopa kuhesabiwa na umma!!, Wananchi tunataka katiba mpya na inatakiwa kuandikwa na wananchi walio tayari kufa kwa kusimamia misimamo yao, sio waoga waoga kama fisi fukuza wote huko Dodoma waoga waoga!!

- MUNGU AIBARIKI TANZANIA

Le Mutuz Big Show
 
Tumekusoma mkuu,nadhani ulitaka kututaarifu kwamba ulikuwa nje ya nchi,tumekupata barabara,
Je huko nje ya nchi mbona hukujifunza kurekebisha uchumi wa taifa lako? Kwenye nchi ulizotembelea ni nchi gani viongozi wake wanahujumu mbuga za wanyama kwa kuua au kuuza kinyemera wanyama nje ya nchi yao? na mengine mengi.
Wabunge wa chama tawala kwa taarifa yako hawaogopi wananchi wanaogopa chama chao.na hili ndo linatufanya wananchi tuunge mkono kura ya siri ili kuwasaidia wabunge wanaoogopa chama chao wawe huru kutoa maamuzi sahihi.
 
  • Thanks
Reactions: prs
Wote wanaotaka kura ya siri ni wanafiki.waongo au waoga.mtu ambaye hataki wananchi tufahahamu alivyopiga kura nimmlaghai.hataki kuwajibishwa kwa maamuzi yake.Wamarikani wameweka rekodi ya jinsi kila mbunge anavyopiga kura bungeni.wengine wanasingizia kutaka kura ya siri kwa kuwa tunamchagua rais kwa kura ya siri.huo nao ni ubabaishaji.kwani bunge hili linachagua mtu.au kuna katiba mbili za kuchagua moja japo himaanishi usiri ungehitajika

Huna hoja pumba tupu!!kura ya wazi ndio mdudu gani.ccm mbona mnataka kujifanya majuha wakati mnaeleawa mfumo.
 
hoja hapa sio kura ya wazi au ya siri,hoja ni,kuna nini nyuma ya kura ya wazi inayoshadadiwa zaidi na ccm?kwa nini waende dodoma wakiwa tayari wamewapa wajumbe wake directives on what to do?why?itawafanya hata wenyewe msimamo tofauti kushindwa kukwenda against the party stand,ndo maana wajumbe wakaona kura za siri zitawaumbua wenye agenda binafsi au za kundi
 
image.jpgHebu le mutuz nifanyie mpango kwa huyu babes mkareez, niko tayari kukupa range rover yangu ukaringishie mitaani japo kwa siku moja
 
Back
Top Bottom