Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenu mtaani hakuna vibanda umiza vyenye screen 2+?Daah nasikitika mechi zote zitaonyeshwa muda mmoja, sijui nitaangalia ipi niache ip
But sauti inakua upande mmojaKwenu mtaani hakuna vibanda umiza vyenye screen 2+?
Angalia mechi ya wananchi ili ufaidi uhondo wa mechi! Huko kwingine utakutana tu na kelele za mashabiki wakimzoea kocha wao msaidizi na CEO!Daah nasikitika mechi zote zitaonyeshwa muda mmoja, sijui nitaangalia ipi niache ip
asee tukae tayari kupambana na matokeo baa ya mvuaMapema sana..kama mvua hizi unazozitaja wewe ni Vuli..tungoje zile za masika ndiyo tutajua wapi panavuja.