Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Wife hajui mwaka wa nne🤓🤓🤓🤓[emoji23][emoji23][emoji23] ila watakuja kujua tu weww jichanganye
Uzi tayari..Ivi wachaga mna nini hasa au mlitupiwa jini vuta picha jua kali kama hili mtu anakunywa k vant na konyagi anatafuta nini
Acheni kujiendekez pombe sio dili walevi wote washamba tu
Wife hajui mwaka wa nne[emoji851][emoji851][emoji851][emoji851]
Uzi tayari..
Ukumbuke kuna John walker za marathon ukinywa unanza kuwataka wachagaMimi nakunywa kwa kiasi sana nikichukua chupa moja jonnie walker kwa wiki taty
Mbona ghafla sana😀😀Mwache anatumia pesa yake
Mbona ukinywa soda hawakusumbui?
Mnajifanya watakatifu kumbe wafiraji wakubwa
Mangi achana na hili chizi wanatuchafua sana.It's a science 🧪🧪 maana mpk ukoo mzima hujui kua unakunywaga sometimes 🤣🤣😃😃😂
Ukumbuke kuna John walker za marathon ukinywa unanza kuwataka wachaga
Inakuuma nini mkuu??
Anawashwa huyu mleta madaaa c bureee.,.Mleta mada kama unajiamini nakusubiri hapa sinza kijiweni[emoji2959]
Unachati huko ghetto kwako unalala chini hata kitanda huna alafu unasema wachaga walevi
Hivi tunalewa kwa hela zako? ulishawahi kutununulia pombe?
Mangi achana na hili chizi wanatuchafua sana.
Wewe usiyechezea hela una kipi cha maana?Mna chezea hela [emoji23][emoji23]
Anawashwa huyu mleta madaaa c bureee.,.
Wewe usiyechezea hela una kipi cha maana?
Tumwachie nanii ss wkt ww mwenyewe c mnywaji ???Sawa wachaga ila acheni pombe bhna
Waachieni wasukuma kidogoTumwachie nanii ss wkt ww mwenyewe c mnywaji ???
Sio kila unachofanya wewe na wenzio wanafanya
Ambazo zimeshindwa kujenga fikra zako na kuanza kufatilia mambo ya watu?!![emoji23][emoji23][emoji23] mimi na kampuni za ujenzi 3