Wachaga acheni pombe

Wachaga acheni pombe

[mention]Gily [/mention] leo umechukia embu tetea wachaga wenzio kwa nguvu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ukumbuke kuna John walker za marathon ukinywa unanza kuwataka wachaga

[emoji23][emoji23][emoji23] dah wachaga msinywe pombe mchana

Mwazoni mlikuwa mna sifika kwa wizi

Uku wachaga wa machame wakisifika kuua wanaume zao
 
Mleta mada kama unajiamini nakusubiri hapa sinza kijiweni[emoji2959]

Unachati huko ghetto kwako unalala chini hata kitanda huna alafu unasema wachaga walevi

Hivi tunalewa kwa hela zako? ulishawahi kutununulia pombe?
Anawashwa huyu mleta madaaa c bureee.,.
 
Back
Top Bottom