Wachaga: Tamaduni zao 10 zinafanana na Wana wa Israel

Hata hivyo umejitahidi kuandika.

Dini pia zilifanya hilo kabila liwe na ustaarabu ambao unawalinganisha na wana wa Israel.

Ukute lile sanduku la agano liko kweli hapo mlimani.
 
Hapo mwanzo 6:18-19 umetupeleka pori chaka kabisa. Badala yake kesome 1 Mambo ya Nyakati 23: 12. inataja hayo majina lakini Mushi halipo pia. Labda sijui unatumia biblia ya wachaga. Acha kutia chumvi.
Kutoka 6:16-19
 
Wanyamwezi ni pure ISRAEL.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakia Mungu nacheka hadi nazimia Mchagga amekuwa Myahudi looh. Hata mimi nafanana na Wazulu je? hii unaleta tofauti gani inaongeza nini haswa. Sisi ni wamatumbi tu hizo historical issues tu, it does not matter now.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…