Wachaga tupe siri na sisi wengine

Watu wanaenda kutoa shukrani kwa wazee na mizimu yao wewe unataka uende nao amini nakuambia huwa migombani wanaenda wanafamilia tu matambiko na umwagaji damu unafanyika wewe utabaki jikoni ukichochea moto wa kisusio.
Ila wachaga ni watu wakuhastle sana na nidhamu ya pesa huo ndio utafutaji wewe kama unatumia pesa kiholela ndugu mafanikio utayaskia kwa wenzako tu
Na hawa watu ninao wajua wanaumwa vidonda vya tumbo wako radhi wajinyime kula ili afanikishe jambo lake.
Kuna mmoja alianguka chini na kuzimia mida ya saa kumi, tukamwaisha hospital baada ya vipimo nesi anatuambia tutafute mtori tukaleta akapewa na drip za kutosha jamaa akawa fiti, kumbe ni njaa ilimwangusha na mfukoni alikuwa na kama laki nne na chenchi hivi alikuwa mfanyabiashara ya hardware.
 
Ndo maana kuna kitu kinaitwa siri ya mafanikio...
 
Pesa wanakosa walala nyumba za nyasi
Ndugu zako hawana pesa ya matibabu mpaka wanakufa👇👇

 
Akili za wavivu
 
Eckebford sio ya mchaga ni ya mzungu yile mzee anasimamia aliachiwa kama msimamizi
Wewe kumbe hujui kitu
Eckenford ni ya bwana Tarimo Alianza nayo tangu ikiwa daycare Hadi university acha kuongea usivyovijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…