Wachaga tupe siri na sisi wengine

Wachaga tupe siri na sisi wengine

Nidhamu ya ushirikina katika biashara.
Wengi hawana nidhamu ya ushirikina. Wala usiongopewe na mtu eti sijui juhudi sijui kutafuta nini. Ni walozi wazuri mno na wana nidhamu ya juu kwenye hilo
Walimloga mama yako ewe fukara?
 
[emoji23][emoji23]Mi smart nikiwa nipo chuo watu walifikria nipo form four mpaka wananiuliza mbona mdogo sana..

Hao ndugu zako wengi watu wazima ndo wanamaliza chuo kwamba elimu za kuungaunga[emoji23]
Kumbe Wewe ni zwazwaa kabisa,Yani hujui Elimu ndio imeaanzia Kilimanjaro ?hujui Hadi Sasa Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kwa kuwa na shule nyingi za sekondar ? Kilimanjaro watu wamesoma kabla hâta ya uhuru wakati huo kwenu mnakimbizana na kima porini
Bangladesh kabisa wewe
 
Njoo nikuajiri uache kulala nyumba za nyasi
Screenshot_20230502-175812.png




Mdogo wangu nikizungumzia matajiri ni hao sio wa mchongo na wachuuzi
..Dogo hauna pesa ya kunilipa then unajitetea sana😂😂achana na kauli za kimaskini.
 
Kumbe Wewe ni zwazwaa kabisa,Yani hujui Elimu ndio imeaanzia Kilimanjaro ?hujui Hadi Sasa Kilimanjaro ni mkoa unaoongoza kwa kuwa na shule nyingi za sekondar ? Kilimanjaro watu wamesoma kabla hâta ya uhuru wakati huo kwenu mnakimbizana na kima porini
Bangladesh kabisa wewe
😂😂😂jamani wa kwanza kusoma nje alikuwa shaban robert na kina Justian rweyamuma tulete hapa mwaka waliosa ni kwamba nyie mmeanza kuvaa nguo walipokuja wazungu tu.

Ila wenzetu wazungu waliwakuta wastajitambua na kiswahili wanajua hata walimu wa kwanza walikuwa ukanda wa pwani na hata harakati za ukoloni
..Ukiniambia Mangi wenu alisomea kitu gani?
 
Hellow africa

Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄

Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
Waulize huo mwezi wa 12 kwanini wanaenda huiko Moshi,inawezekana ukapata jibu...
 
kama una rafiki mchaga...muombe,mlilie December akiwa anaenda kwao na ww uende hata kwa gharama zako uone wanapokutana,majadiliano,mazungumzo,Target ktk biashara ndani ya mwaka mzima,ukifanikiwa kusikiliza tu amini nakwambia ukirudi utakua mpya kama upo sirias na maisha kuna kitu utakua umeongeza
Hii ni point
 
Hata Kama Wana ushirikina lakini na nidhamu ya pesa pia ipo Kama unabisha karibu ushirikina halafu usiwe na nidhamu ya pesa Kama utatoboa kwenye biashara
Ulishakua na nidhamu ya ushirikina taafsiri yake utafata masharti yanayoendana. Ambayo mengi pia huweka limit ya maisha yako fulani

Utakula bata kila weekend wakati usiku una kazi ya kuwasha udi?
 
[emoji23][emoji23][emoji23]jamani wa kwanza kusoma nje alikuwa shaban robert na kina Justian rweyamuma tulete hapa mwaka waliosa ni kwamba nyie mmeanza kuvaa nguo walipokuja wazungu tu.

Ila wenzetu wazungu waliwakuta wastajitambua na kiswahili wanajua hata walimu wa kwanza walikuwa ukanda wa pwani na hata harakati za ukoloni
..Ukiniambia Mangi wenu alisomea kitu gani?
Mangi mareale mwenyewe alipata masters degree kutoka Cambridge miaka ya 20's
 
Back
Top Bottom