Wachaga tupe siri na sisi wengine

Wachaga tupe siri na sisi wengine

Wewe chuki zako kwa wachaga zinazidi kukufanya uendelee kuwa fukara. Utatumia muda mwingi kuomba waanguke lakini kama ujuavyo dua la kuku.... Kipindi cha Magufuli kuna watu walikuwa wanajitapa kuwa wachaga wanakomeshwa... kiko wapi? Tatuta na wewe upate acha kuishi kwa kijiba cha roho....
Hawa ni malofa Massalia ya mwendazake,mkoa WA mwendazake ni miongoni mwá mikoa maskini as now we speak
 
Chuki zip jamani tukisema mnasema ni chuki?

Eti Magufuli awachukie nn wakati wakina Manji wasemeje ? huwaga sipendi kubishana na washamba hamna hoja eti mnachukiwa kwa lip na hayo mafaniko ni yapi ?

Hata waarabu sina shobo nao kama hujui na ndo matajiri nyie wachuuzi kelele kibao[emoji23][emoji23]
Mwendazake alikuwa na chuki kali,akiona idara inaongozwa na mchaga Alkuwa anachukia sana, kule kaakazini ma bureau de change mengi ya wachaga aliyafilisi Ila mama Samia karudisha Hela zote hataki dhuluma,vibwengo WA mwenda mmebaki wakiwa
 
Ukisema eti unawachukia[emoji23][emoji23][emoji23]Wapo hapa wanagongea pesa za mkopo
Hâta USA,Índia Kuna maskin, tofauti ni kuwa umaskini WA Kilimanjaro ni 10% tu 90 mambo Safi tumeelewana nyie vilaza?
Mwámbie Aku postie mahekalu Huko migombni
Kilimanjaro hayupo MTU anaelala nyumba ya nyasi hâta maskini halali nyumba ya nyasi kama kwenu udengerekoni
 
Tapeli majizi hata serikalini yapo ndo utajiri wengine hatuwezi kufanya maana riziki ya halali tunapata
Umeishia memkwa unataka Uwe serikalin? Wale wamepiga kitabu tangia enzi za mkoloni Hadi Sasa kwahyo utazd kupata kihoro tu
 
Mwendazake alikuwa na chuki kali,akiona idara inaongozwa na mchaga Alkuwa anachukia sana, kule kaakazini ma bureau de change mengi ya wachaga aliyafilisi Ila mama Samia karudisha Hela zote hataki dhuluma,vibwengo WA mwenda mmebaki wakiwa
😂😂😂Wewe hauna hela
 
Maskini mkubwa punguza shobo hakuna tajiri anayejitetea sana hukawii kuja kuomba msaada humu..

Uliambiwa wapi maneno yanaua kama sip shobo hakuna tajiri humu anabishana kweny nyuzi epuka matapeli tangu wakuonge ndo unasifia[emoji23][emoji23]
Kajengeni makwenu udengerekoni kwanza ndio uje hapa,hatubishan na watu wanaolala nyumba za nyasi
 
Nifuatilia maisha ya nan ebu niambie nimfuatilia nan kutoka huko kwenu ?

Jamii nyingine kabisa sina time wala siwajui watu wa huko
Kajengeni makwenu udengerekoni kwanza ndio uje hapa hatubishan na watu wanaolala nyumba za nyasi
 
Hâta USA,Índia Kuna maskin, tofauti ni kuwa umaskini WA Kilimanjaro ni 10% tu 90 mambo Safi tumeelewana nyie vilaza?
Mwámbie Aku postie mahekalu Huko migombni
Kilimanjaro hayupo MTU anaelala nyumba ya nyasi hâta maskini halali nyumba ya nyasi kama kwenu udengerekoni
Unaongezeka jumlisha hizi kesi za mtu kufa kisa kakosa pesa ya matibabu na watu kuunguza nyumba kwa kibatali😂😂
 
Back
Top Bottom