Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
Ahaahaha ahaha usimfanyie hivyo mwezio huyoNoeli Mushi asitoe mbinu, mbinu zake akae nazo mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahaahaha ahaha usimfanyie hivyo mwezio huyoNoeli Mushi asitoe mbinu, mbinu zake akae nazo mwenyewe
Utajiri ni siri ya mtu, kama hujui kutunza siri huwezi kuwa tajiri.Hapa hapa ili tujue tunajikwamuaje kwenda uchumi wa blue
Noeli ndio nan?Ngoja tusubiri Noel Mushi atoke Muhimbili kupimwa marinda kisha atuambie siri ya utajiri wa wachaga.
Acha kumuonea wivu Noeli MushiNoeli Mushi asitoe mbinu, mbinu zake akae nazo mwenyewe
Huyu hapaNoeli ndio nan?
1.kufoji vyeti vya elimuHellow africa
Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄
Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
Noeli Mushi nayemjua mimi ni Flateri. Huyu sio mchaga na hana sura ya kichaga. Baba yake alisakiziwa huyu
In every great fortune there's crime.
Kafanyaje tena?
Duh mbona mtihani sasa hapo1.kufoji vyeti vya elimu
2.Ushirikina, Kafara na matambiko
3. Mali za dhuluma, uwizi
Leo unamkataa binammu yakoNoeli Mushi nayemjua mimi ni Flateri. Huyu sio mchaga na hana sura ya kichaga. Baba yake akisakiziwa huyuView attachment 2595165
Mwanaume ukifikia hatua hii jitafakari sanaukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani
ukiendekeza kuwaza ujinga kwa kila kitu ni ngumu sana kuwa mtu wakawaidaMwanaume ukifikia hatua hii jitafakari sana
Huyo ana Sura ya kipare sio kila anayetokea kilimanjaro ni mchaga. .Leo unamkataa binammu yako
unajitekenya mwenyewe siyo? Zumbukuku kweli haya kacheke mwenyewe. Mji gania huo kweli washamba wanajitokeza kila siku.Hellow africa
Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄
Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi