Wachaga tupe siri na sisi wengine

Wachaga tupe siri na sisi wengine

kama una rafiki mchaga...muombe,mlilie December akiwa anaenda kwao na ww uende hata kwa gharama zako uone wanapokutana,majadiliano,mazungumzo,Target ktk biashara ndani ya mwaka mzima,ukifanikiwa kusikiliza tu amini nakwambia ukirudi utakua mpya kama upo sirias na maisha kuna kitu utakua umeongeza
 
Noeli Mushi asitoe mbinu, mbinu zake akae nazo mwenyewe
Acha kumuonea wivu Noeli Mushi
maxresdefault.jpg
 
Hellow africa

Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄

Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
1.kufoji vyeti vya elimu
2.Ushirikina, Kafara na matambiko
3. Mali za dhuluma, uwizi
 
Hellow africa

Wachaga mnatutia hasira sana hapa mjini inamaana sisi wengine hatujui kutafuta hela? Hapa mjini wachaga mna mandinga makali sana yaani ukijaribu kuuliza ili ili gari la mdosi gani unaambiwa mchaga huyo wa marangu 🙄🙄🙄

Nilikuwa moshi kipindi mwezi wa kumi na mbili magari yalikuwa mengi sana af magar ya hela nyingi
unajitekenya mwenyewe siyo? Zumbukuku kweli haya kacheke mwenyewe. Mji gania huo kweli washamba wanajitokeza kila siku.
 
Back
Top Bottom