Wachagga pekee ndio wanampigania Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama

Wachagga pekee ndio wanampigania Mchungaji Kimaro wa KKKT Kijitonyama

Unaweza kufikiri ni watanzania wote ndio wapo upande wa Mch Kimaro. Ukweli ni kwamba jamaa zetu hawa wa Kilimanjaro ndio wanaoongoza kupiga propaganda kwenye mitandao huko.

Na kwa vile wametapakaa kila sehemu kila kona basi nikueneza tu kuwa Kimaro ni mtu safi na kwamba KKKT inamuonea tu.

Hawa jamaa kila anapoguswa mtu wa kwao hata kama amekosea basi watapiga kelele sana. Nina uhakika Mchungaji Kimaro angekuwa ni Mkara wa kule Ukerewe tusingesikia haya.

Fuatilieni popote kwenye mitandao au WhatsApp utaona wanaomtetea Kimaro asilimia 99 ni kina Mangi.

Hakika Nyerere aliona mbali sana
 

Attachments

  • AE3449D9-5AF4-42EC-B21F-C13754BA6535.gif
    AE3449D9-5AF4-42EC-B21F-C13754BA6535.gif
    69.7 KB · Views: 6
Sema hawa jamaa ni wagumu sana kuishi nao kwenye ndoa.
 
Na mimi nimeliona hilo,huu ni ujinga tu,magufuli akitukanwa watu wanasema umetukana wasukuma,
Huna akili wewe mngetaka kumtukana mngesema direct lkn mlipoanzisha SUKUMA gang mliexpext nn? Already mshawajumuisha halaf mnasema eti lengo ni fulani. That's stupid.
 
Unaweza kufikiri ni watanzania wote ndio wapo upande wa Mch Kimaro. Ukweli ni kwamba jamaa zetu hawa wa Kilimanjaro ndio wanaoongoza kupiga propaganda kwenye mitandao huko.

Na kwa vile wametapakaa kila sehemu kila kona basi nikueneza tu kuwa Kimaro ni mtu safi na kwamba KKKT inamuonea tu.

Hawa jamaa kila anapoguswa mtu wa kwao hata kama amekosea basi watapiga kelele sana. Nina uhakika Mchungaji Kimaro angekuwa ni Mkara wa kule Ukerewe tusingesikia haya.

Fuatilieni popote kwenye mitandao au WhatsApp utaona wanaomtetea Kimaro asilimia 99 ni kina Mangi.

Hakika Nyerere aliona mbali sana
🤣🤣🤣🤣🤣Mmeshaanza kuingiza makabila kwenye ugomvi wenu wa kugombania sadaka za wanyonge
 
Kwa hiyo mangi wanatawaliwa na ukabila hivyo wanakingiana sana vifua?
 
Hujakosea umepata. Jamaa zetu hawa ukabila ni tatizo sana. Akiguswa mtu wao utaona wanatetea makosa na uvunjifu wa sheria au taratibu. Haki na ukweli hauna maana ila kile alichofa mtu wao ndio haki na taratibu.
Msiingize makabila tena kwenye Ugomvi wenu wa kung'ang'ania sadaka za wanyonge
 
Unaweza kufikiri ni watanzania wote ndio wapo upande wa Mch Kimaro. Ukweli ni kwamba jamaa zetu hawa wa Kilimanjaro ndio wanaoongoza kupiga propaganda kwenye mitandao huko.

Na kwa vile wametapakaa kila sehemu kila kona basi nikueneza tu kuwa Kimaro ni mtu safi na kwamba KKKT inamuonea tu.

Hawa jamaa kila anapoguswa mtu wa kwao hata kama amekosea basi watapiga kelele sana. Nina uhakika Mchungaji Kimaro angekuwa ni Mkara wa kule Ukerewe tusingesikia haya.

Fuatilieni popote kwenye mitandao au WhatsApp utaona wanaomtetea Kimaro asilimia 99 ni kina Mangi.

Hakika Nyerere aliona mbali sana
Ulitaka apiganiwe na Wapemba, Waha, wafipa, wasukuma , wajita, Ilihali huko hakuna KKKT?
 
Ni kweli kabisa wanaukabila mweusi mno na wakishamba..hata propaganda za Sabaya ndio walikuwa wawasha moto..ila mama hana uwezo wa kuliona hilo kama Magufuli...Magufuli alikuwa anawazoom kwa mbali alafu unaskia eee..anawafekelea mbali
 
Ni kweli kabisa wanaukabila mweusi mno na wakishamba..hata propaganda za Sabaya ndio walikuwa wawasha moto..ila mama hana uwezo wa kuliona hilo kama Magufuli...Magufuli alikuwa anawazoom kwa mbali alafu unaskia eee..anawafekelea mbali

Wewe una ukichaa cha mbwa walahi
Sijui mchaga alikuchukulia mkeo?
Nenda kafanye kazi acha uwivu wa kike dadadeki, mpuuzi wa kihindi uwiii [emoji13]
 
Wewe una ukichaa cha mbwa walahi
Sijui mchaga alikuchukulia mkeo?
Nenda kafanye kazi acha uwivu wa kike dadadeki, mpuuzi wa kihindi uwiii [emoji13]
Ngoja nicheke kwanza..nina uwezo wa kukuajari..ninazo kazi sio kazi we mshamba wa kirua.
 
Kanisa la kkkt limejaa upigaji sana hasa dayosisi yetu hii ya mashariki na pwani imefika stage kanisa limejikita kweny kuhubiri harambee na michango kuliko kuponya na kujenga watu kiroho
 
Back
Top Bottom