Wachagga, Wakikuyu na Waigbo

Wachagga, Wakikuyu na Waigbo

Hivi Mkenda ni kabila Gani anakula sana maisha Ulaya.. Sisi kuwacheulia mamother maziwa

1724828581355.png
 

Attachments

  • 1724828298863.png
    1724828298863.png
    2.6 MB · Views: 2
  • 1724828301826.png
    1724828301826.png
    2.6 MB · Views: 2
Zunguka nchi nzima tembea uache ushamba sio kutembelea Kilimanjaro tu
Hii ni sawa na Tanzania kujisifu kuwa inafanya vizuri kwenye Kilimo kuliko Kenya. Bila kujua kuwa
Kenya wapo vizuri kwenye kilimo biashara.
 
Hii ni sawa na Tanzania kujisifu kuwa inafanya vizuri kwenye Kilimo kuliko Kenya. Bila kujua kuwa
Kenya wapo vizuri kwenye kilimo biashara.
Eti kenya wapo vizuri kwenye kilimo na biashara kumbe wewe ni mtoto kabisa hujui hata kama kenya tunawalisha
 
Haya ni makabila yenye akili, utajiri na maendeleo kede kede.

Ni jamii zilizo piga hatua kielimu na kibiashara kwa mbali sana.
Hivyo ni jamii zinazoonewa wivu wa wazi wazi na baadhi jamii nyingine.

Tofauti kidogo kwa Wakikuyu ambao wao walishika dola miaka mingi
ila Wachagga na Waigbo wamepitia hali inayo fanana ya kuwekwa mbali
na dola kwa kipindi kirefu lakini hata hivyo wamekuwa wakipambana zaidi
ki vyao vyao na wana fanikiwa.

Kila mtu ajivunie anakotoka na asili yake bila ku-threaten au kudogosha makundi mengine

Nikiangalia post yako umeelezea elitism ya hayo makundi,which is okay as long as sijaona mahali umekandia makundi mengine

Makundi mengine nayo yaeleze uniqueness na uzuri au ubaya wa makundi yao kama kujifunza maana we are all Africans na haya makundi ni just social constructs

Sioni ubaya wowote hapa

Na hoja za "ukabila" you have to be careful here,mtu kaelezea uzuri wa kundi lake which means na makundi mengine yaelezee ili tujifunze wote,hii mambo ya kuona taboo kuelezea makundi yetu ndio tamaduni zetu zote zinapotea kabisa

Kulikua na lugha zaidi ya 350 za kienyeji TZ,leo lugha zote zimepotea,hazizidi lugha 100,no uhifadhi wala chochote,kila mtu amekua Mswahili as if ni sifa sana kumbe ni upumbavu if you move around it

Kua Mswahili kusifanye uue lugha yako ya asili au tamaduni za kwenu...you can be all of them as a bonus.....

Cha ajabu wamejaa Waswahili humu na Swahili superiority complex wasichojua kumbe na wao wanaleta ujivuni sawa kabisa na hawa wa makabila mengine the same way
 
Eti kenya wapo vizuri kwenye kilimo na biashara kumbe wewe ni mtoto kabisa hujui hata kama kenya tunawalisha
Jifunze kuhusu Kilimo biashara. Wewe kilimo unawaza tumbo tuu. Unalima chai, kahawa na maua kuliko Kenya?
 
Ndio wivu unaosemwa huu? Majizi wapo kila mahali?
Hayo makabila yote umeyataja sifa zao ni kuiba,kudhurumu,kupenda pesa sana mpaka wanauana, kipaumbele chao ni nyumba na biashara sasa wewe ukiona nyumba na biashara unajua wanaongoza kumbe nyumba ya milioni 30 ameijenga miaka 10 na biashara ya milioni 5 jumla 35 huo ndiyo utajiri!
 
Kila mtu ajivunie anakotoka na asili yake bila ku-threaten au kudogosha makundi mengine

Nikiangalia post yako umeelezea elitism ya hayo makundi,which is okay as long as sijaona mahali umekandia makundi mengine

Makundi mengine nayo yaeleze uniqueness na uzuri au ubaya wa makundi yao kama kujifunza maana we are all Africans na haya makundi ni just social constructs

Sioni ubaya wowote hapa

Na hoja za "ukabila" you have to be careful here,mtu kaelezea uzuri wa kundi lake which means na makundi mengine yaelezee ili tujifunze wote,hii mambo ya kuona taboo kuelezea makundi yetu ndio tamaduni zetu zote zinapotea kabisa

Kulikua na lugha zaidi ya 350 za kienyeji TZ,leo lugha zote zimepotea,hazizidi lugha 100,no uhifadhi wala chochote,kila mtu amekua Mswahili as if ni sifa sana kumbe ni upumbavu if you move around it

Kua Mswahili kusifanye uue lugha yako ya asili au tamaduni za kwenu...you can be all of them as a bonus.....

Cha ajabu wamejaa Waswahili humu na Swahili superiority complex wasichojua kumbe na wao wanaleta ujivuni sawa kabisa na hawa wa makabila mengine the same way
Nakutunikia Doctoral Degree yaani Honoris Causa in Philantrophy. Wabongo na Waswahili ni wanafiki sana

Wanajidai na wanajifanya hawana makabila, na kudharau asili yao. Ila wengine hao hao tunawasikia wakiongea
lugha zao mpaka kwenye ofisi za umma na vyombo vya usafiri.
 
Na mkiwa kwenu mnatengana sijui Umarangu, Umachame n.k
Mnasumbuliwa na superiority complex, ndiyo maana mnawekwa mbali na dola.

Na milele itabaki hivyo.
 
Una najiulizaga tu swali iv uko uchagani akunaga maskin wa kichaga akuna wavuta mikokoteni na wabeba mizigo wa kichaga akuna bodaboda wakichaga akuna wale walevu loser ambao wameshindikana ktk familia
Tupunguze kusifu sana haina maana
 
Swahili hardliners are here from the wood works!

Unatetea Uswahili na yeye anatetea Kienyeji,who is better?

Y'all are tribal on the same measure!
For sure. African Traditions, norms and customs should be protected. Tujivunie utofauti wetu.

Tujifunze kwa wenzetu tutafika mbali.
 
Una najiulizaga tu swali iv uko uchagani akunaga maskin wa kichaga akuna wavuta mikokoteni na wabeba mizigo wa kichaga akuna bodaboda wakichaga akuna wale walevu loser ambao wameshindikana ktk familia
Tupunguze kusifu sana haina maana
Ndo hapo sasa hana akili huyo,wachaga kipaumbele chao ni nyumba ndiyo huwa wanajisifia eti wamejenga eti kuna majengo mazuri hawajui utajiri sio nyumba tu,unakuta nyumba ya milioni 15 ameijenga miaka 10 na biashara ya milioni 3 jumla milioni 18 sasa huo ndiyo utajiri!
Na wengine nyumba za tope
 
Back
Top Bottom