Wachagga, Wakikuyu na Waigbo

Wachagga, Wakikuyu na Waigbo

Mbona unakuwa mwongo hivyo. Wewe hujui kabila lako? Usidanganyike. Wazungu wana makabila mfano Wa Welsh Uingereza. Wakurd Wayahudi, wahindi wekundu marekani. WaEskimo, wa Irish, waskoti nk. Hawa wote ni makabila. Hata huko marekani wazungu wako kwa makabila ya kifaranza, kijerumani kireno, kiingereza nk. Ukiishi huko ndio utajua. Kuna kabila hata koo haxioani. Mfano kabila gypsies hawaoani na wazungu wengine. Kama walvyo wayahufi ukiwa bava au nama ni kabila hilo wazalwa wao wote ni wayahudi.

You must be slow. Nimesema hakuna mtu mwenye muda na makabila sijasema watu hawana makabila.
 
Mbona unakuwa mwongo hivyo. Wewe hujui kabila lako? Usidanganyike. Wazungu wana makabila mfano Wa Welsh Uingereza. Wakurd Wayahudi, wahindi wekundu marekani. WaEskimo, wa Irish, waskoti nk. Hawa wote ni makabila. Hata huko marekani wazungu wako kwa makabila ya kifaranza, kijerumani kireno, kiingereza nk. Ukiishi huko ndio utajua. Kuna kabila hata koo haxioani. Mfano kabila gypsies hawaoani na wazungu wengine. Kama walvyo wayahufi ukiwa bava au nama ni kabila hilo wazalwa wao wote ni wayahudi.
Acha na hao watu wanajidai eti hawatambui makabila kumbe ni

Uongo. Na by the way kwa nini ukatae identity yako kama sio kuwa brainwashed.
 
You must be slow. Nimesema hakuna mtu mwenye muda na makabila sijasema watu hawana makabila.
What are taking then kama wana makabila sasa wataachaje kujishughulisha

na mambo ya kabila lao, Wanyakiusa wanakutana hapo Makumbusho kucheza ngoma
kula vyakula vya asili na mambo mengine ya kwao hivyo hivyo na makabila
mengine.
 
unaishi miaka 100 nyuma
Karne hii unaishi kwene ukabila?
ivi unajua wazungu nao walikua wana makabila ila saizi wapo kwene nationalism
yaan utakuta mfaransa,mjerumani na mwingereza…. washatoka huko…

Hii ni kusema upo nyuma ya wakat
Acha kuwa brain washed no wonder hata mkisalimiwa kwa

lugha yenu ya asili mnajidai hamfahamu, nyie ndio wale hata mkiulizwa

mmetokea kijijini gani mnakata kusema mnajidai mmezaliwa mjini.

Siku watanzania tutaacha unafiki na unaa ndio hii nchi itaendelea.
 
Wewe unaweza ukawa ni zaidi yake.
Inawezekana, ila sitaweza kuanzisha uzi kusifia kabila langu humu. Huko ni kukaribisha mashambulizi pia. Hutapenda kila kitachochangiwa mtaishia kukwazana tu. Niwaachie mada sasa muendelee mjadala wako.
 
Haya ni makabila yenye akili, utajiri na maendeleo kede kede.

Ni jamii zilizo piga hatua kielimu na kibiashara kwa mbali sana.
Hivyo ni jamii zinazoonewa wivu wa wazi wazi na baadhi jamii nyingine.

Tofauti kidogo kwa Wakikuyu ambao wao walishika dola miaka mingi
ila Wachagga na Waigbo wamepitia hali inayo fanana ya kuwekwa mbali
na dola kwa kipindi kirefu lakini hata hivyo wamekuwa wakipambana zaidi
ki vyao vyao na wana fanikiwa.
Wanawekwa mbali na dola kwasababu ya ukabila!!
Yaan hawa ukimuajiri mmoja ofic nzima anaweka wachaga
 
Haya ni makabila yenye akili, utajiri na maendeleo kede kede.

Ni jamii zilizo piga hatua kielimu na kibiashara kwa mbali sana.
Hivyo ni jamii zinazoonewa wivu wa wazi wazi na baadhi jamii nyingine.

Tofauti kidogo kwa Wakikuyu ambao wao walishika dola miaka mingi
ila Wachagga na Waigbo wamepitia hali inayo fanana ya kuwekwa mbali
na dola kwa kipindi kirefu lakini hata hivyo wamekuwa wakipambana zaidi
ki vyao vyao na wana fanikiwa.
Hili ni lipumbavu na likabila
 
wivuu wann?karne hii unawaza ukabila?? tena tanzania ! au ndo umetoka marangu umeingia mjini?

We n lipumbavu na una Low IQ
Wewe ndio kichwa maji kujiondoa akili kuwa Makabila hayapo. Siwezi kuishi

Kitumwa kama wewe. You Shithole !
 
Back
Top Bottom