Wachagga, Wakikuyu na Waigbo


You must be slow. Nimesema hakuna mtu mwenye muda na makabila sijasema watu hawana makabila.
 
Acha na hao watu wanajidai eti hawatambui makabila kumbe ni

Uongo. Na by the way kwa nini ukatae identity yako kama sio kuwa brainwashed.
 
You must be slow. Nimesema hakuna mtu mwenye muda na makabila sijasema watu hawana makabila.
What are taking then kama wana makabila sasa wataachaje kujishughulisha

na mambo ya kabila lao, Wanyakiusa wanakutana hapo Makumbusho kucheza ngoma
kula vyakula vya asili na mambo mengine ya kwao hivyo hivyo na makabila
mengine.
 
unaishi miaka 100 nyuma
Karne hii unaishi kwene ukabila?
ivi unajua wazungu nao walikua wana makabila ila saizi wapo kwene nationalism
yaan utakuta mfaransa,mjerumani na mwingereza…. washatoka huko…

Hii ni kusema upo nyuma ya wakat
Acha kuwa brain washed no wonder hata mkisalimiwa kwa

lugha yenu ya asili mnajidai hamfahamu, nyie ndio wale hata mkiulizwa

mmetokea kijijini gani mnakata kusema mnajidai mmezaliwa mjini.

Siku watanzania tutaacha unafiki na unaa ndio hii nchi itaendelea.
 
Wewe unaweza ukawa ni zaidi yake.
Inawezekana, ila sitaweza kuanzisha uzi kusifia kabila langu humu. Huko ni kukaribisha mashambulizi pia. Hutapenda kila kitachochangiwa mtaishia kukwazana tu. Niwaachie mada sasa muendelee mjadala wako.
 
Wanawekwa mbali na dola kwasababu ya ukabila!!
Yaan hawa ukimuajiri mmoja ofic nzima anaweka wachaga
 
Hili ni lipumbavu na likabila
 
wivuu wann?karne hii unawaza ukabila?? tena tanzania ! au ndo umetoka marangu umeingia mjini?

We n lipumbavu na una Low IQ
Wewe ndio kichwa maji kujiondoa akili kuwa Makabila hayapo. Siwezi kuishi

Kitumwa kama wewe. You Shithole !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…