Wachagga, watoto wakizaliwa mnapeleka wapi vitovu?

Wachagga, watoto wakizaliwa mnapeleka wapi vitovu?

Naomba mniambie wachagga watoto wanavyozaliwagwa mnapelekaga wapi vitovu?

Eti dada yangu kajifungua wakaja mama mkwe na mawifi kwa resi wanasuburia siku mtoto adondoshe kitovu wachukue mnapeleka wapi hicho kitovu? Naumuhimu wakukichukua nini naomba mnijuze kwa maana kuwa na mazoea nawachagga sintoweza.

Haya tunaomba mtuelezee mnafanyia nini vitovu vya watoto?
kinaenda fukiwa migomban, kwan nyie mnatupa tupa tu vtov vyenu?? Au mna utaratbu wa kuvitupa sehem!? Nn kimekufanya upatwe na mshtuko hvyo?
 
Kwakifupi hao ni wachawi na maajenti wa nguvu za giza lengo lao kuu ni kumuunganisha mtoto na mizimu ya huko kwao.Haya mambo ya kipumbavu yana changia kiasi kikubwa watu kuwa controlled spiritually maisha yao yote.Utakuta kuna trend ya majanga au tabia fulani mbaya au magonjwa fulani yana recycle generation after generation kwasababu ya kujiunganisha na hizo madhabahu za ukoo
 
Unajua sisi sio matahira kuongelea hili suala ni kwamba limezidi kuwa kero watu hata hawezi kufuata maisha yao wanakuja kufuata kituti cha watoto maana huyu ni wapili mnakera bwana.
Huu ujinga uishe vituti vinapelekwa wapi??
n vyema kuzoea tamadun na mala za pahali huska, kila tamadun na mila za sehem hukwaza maana n tofaut na za kwenu.

muhimu n kuwauliza kwa hekima wanavpeleka wapi, sdhan kama kutakua na ubaya wowot wanaoenda kutendea vtovu hivyo. Lkn was na woga wenu ndyo madhara ynywe, ukipenda ua penda na boga. Umekubali(amekubali) kuwa mwl mmoja na mchaga bas apende na kufuata taratbu.
 
Point hapo ni mtoto kupata madhara, ni moja ya maombi yao?
Mbona mila nyingine ni za kipumbavu na kichawi kabisa? Umuombee mtu mabaya adhuhurike!
Msituzingue acheni ushirikiana
 
Ungewauliza wahusika waliofanya hivyo wakuelemishe,ila kama hukuelewa vizuri ndio uje JF uombe msaada zaidi

Wewe kuja directly JF ni kama bangi na kuendekeza ujinga uliojaa ubongoni mwako

Halafu umejipa ujaji wa kujaji mila za watu wengine sijui umepatia wapi huo ujaji wakati na wewe ni mwafrika yule yule mwenye utamaduni same au close to?

Halafu upo hapa kupitisha hukumu?
Yaani jinsi ulivyojijibu basi no comment.
Mila zenu zinasikitisha sana hakuna mila kama za kwenu nyie mmevunja rekodi hadi kituti aisee kiru mpo juu.
 
Yaani umekaa hapa kujifanya kupitisha hukumu kwa mila zisizokuhusu?

Haya wewe una mila nzuri sana zaidi ya jamii zote,kwahiyo waache mila zao wakufate wewe kwa kipimo kipi hasa cha morality?
Acheni ushirikina mmrudieni Mungu
 
Wewe mila zako ni bora sana?

Unajua hakuna mwanadamu mwenye authority ya kutoa verdict ya mila za nani ni bora zaidi ya mwingine,wewe hii authority umetoa wapi?

Kama wanadamu tunaamini mila yeyote yenye kuumiza mwanadamu kimwili au kiakili ni mila ya kuacha au kuiangalia kwa makini ili kupunguza maumivi kwa wanadamu na kuleta maximum comfort to them long term

Sasa hii mila aliyotaja huyu bwana hapa inaumiza mwanadamu gani na kivipi?

Hakuna....
Ukitaka kuishi uje kiheshima sio kifala hata home mtu ukisikia umesemwa jaribu kutumia hilo libichwa lako ambalo lipo fuvu tu na akili yote imepelekwa kwa mizimu yenu ufikirie cha kujibu kuropoka haisaidii na vitovu vyenu vipo kwa mizimu .
 
Back
Top Bottom