Wachagga, watoto wakizaliwa mnapeleka wapi vitovu?

Wachagga, watoto wakizaliwa mnapeleka wapi vitovu?

Speaking from experience kabisa...mama yangu mdogo alizaa na kijana wa kichaga (Marangu) mama mkwe wwke akasema kitovu kitumwe hata kwa Bus kutoka Dar kwenda Kilimanjaro na kweli alifanya hivyo! Waliishi na yule baba kwa muda wa miaka3 then wakaja kushindwana,wakatengana...yule mzazi mwenzie akadai apewe mtoto mamdogo alikataa kwa kihezo kua yule mtoto bado ni mdogo hata miaka 4 hajafikisha...mvutano ulikua mkubwa na kibaya zaidi mamdogo kipato kilikua kikubwa kulinganisha na yule mzazi mwenzie...walimtolea kauli kali kua "unagombana na ndugu yetu na kumringia kisa una kazi nzuri hivyo una unamdharau na mtoto umemchukua,tutaona km huyo mtoto utamfaidi" baada km ya mwaka mtoto aliumwa umwa magonjwa yasiyoeleweka tu ila hakuja aliehidi ni imani za kishirikina mpk hali ilivyokua serious ndio mtu akamshtua,kwenda kwa hawa wataalamu wa jadi cha kwanza alimuuliza kitovu cha huyu mtoto ulimkabidhi nani? Au ulikitupa wapi? Kbl hajajibu akamwambia ntaweza kumtibu huyu mtoto kupona huu ugonjwa anaoumwa ila ufahamuwake siwezi kuurudisha sababu kitovu chake ndicho kimetumika kumfunga...basi mtoto yule kiafya sasa hv ni mzima ila mpk leo hii ana miaka 10 hajui kusoma wala kuandika kabadilisha shule mpk kachoka na ukikaa kwa makini na yule mtoto utagundua km alitaka kupata utaira flan hv hata kwa maongezi na jinsi anavyorespond while at the age of two years kalikua katoto sharp na kajanja sana!

Mtu yoyote asikurubuni umpe kitovu cha mtoto wako...kitupe unapopajua mwenyewe tu..nchi ina ujinga mwingi sana hii na washirikina si watu wazuri.
Duuuuh maskini wee lol
 
Speaking from experience kabisa...mama yangu mdogo alizaa na kijana wa kichaga (Marangu) mama mkwe wwke akasema kitovu kitumwe hata kwa Bus kutoka Dar kwenda Kilimanjaro na kweli alifanya hivyo! Waliishi na yule baba kwa muda wa miaka3 then wakaja kushindwana,wakatengana...yule mzazi mwenzie akadai apewe mtoto mamdogo alikataa kwa kihezo kua yule mtoto bado ni mdogo hata miaka 4 hajafikisha...mvutano ulikua mkubwa na kibaya zaidi mamdogo kipato kilikua kikubwa kulinganisha na yule mzazi mwenzie...walimtolea kauli kali kua "unagombana na ndugu yetu na kumringia kisa una kazi nzuri hivyo una unamdharau na mtoto umemchukua,tutaona km huyo mtoto utamfaidi" baada km ya mwaka mtoto aliumwa umwa magonjwa yasiyoeleweka tu ila hakuja aliehidi ni imani za kishirikina mpk hali ilivyokua serious ndio mtu akamshtua,kwenda kwa hawa wataalamu wa jadi cha kwanza alimuuliza kitovu cha huyu mtoto ulimkabidhi nani? Au ulikitupa wapi? Kbl hajajibu akamwambia ntaweza kumtibu huyu mtoto kupona huu ugonjwa anaoumwa ila ufahamuwake siwezi kuurudisha sababu kitovu chake ndicho kimetumika kumfunga...basi mtoto yule kiafya sasa hv ni mzima ila mpk leo hii ana miaka 10 hajui kusoma wala kuandika kabadilisha shule mpk kachoka na ukikaa kwa makini na yule mtoto utagundua km alitaka kupata utaira flan hv hata kwa maongezi na jinsi anavyorespond while at the age of two years kalikua katoto sharp na kajanja sana!

Mtu yoyote asikurubuni umpe kitovu cha mtoto wako...kitupe unapopajua mwenyewe tu..nchi ina ujinga mwingi sana hii na washirikina si watu wazuri.
Umeona eh ! Pole sana
 
Weweeeee...... nakueleza sasa kwamba hata huyo myahudi yesu ni MZIMU ..... sema tu namna ya kuelewa mimi na wewe ni tofauti.... LAKINI KILA ALIYEKWISHA KUFA NI MZIMU TU..
Unavuka mipaka Sasa...ni Bora ukae kimya Kama hujui kitu
 
Nyie sasa ndo hamjuagu. Damu ya mchagga haipoteagi. Mrudisheni huyo mtoto akapate tamaduni zake husika. Marangu ndo kwao. Yes, ni sahihi alikua mdogo. Lakini siyo kuwanyima mtoto wao mazima. Hakuna cha ushirikina hapo. Hapo wamelia na mababu wa hilo boma damu yao imechukuliwa. Kama ni mtoto wetu tunaomba atutafute. Muwe munaulizaa. Kitovu ni asili tu. Na mara nyingi hutupwa hata zizini. Ni tamaduni za miaka na miaka. Mboma wengine wanakuaga vichaa kabisaa kwasababu ya mila. Naonaga wahaya wametukaribiaga dana.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Ulie na mababu ili mtoto adhuhurike?? Unaona izo ni mila nzuri ?
 
Point hapo ni mtoto kupata madhara, ni moja ya maombi yao?
Mbona mila nyingine ni za kipumbavu na kichawi kabisa? Umuombee mtu mabaya adhuhurike!
Upumbavu ni wako. Aliyekuambia anadhurika nani. Ulisikia wapi? Or else uulize ndugu yako kama mtoto si wa huyo jamaa. Koma kabisa na tamaduni za watu. Unawashwaaa. Nyie ukeketajo hamuuoni? Kulogana? Bastard

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Upumbavu ni wako. Aliyekuambia anadhurika nani. Ulisikia wapi? Or else uulize ndugu yako kama mtoto si wa huyo jamaa. Koma kabisa na tamaduni za watu. Unawashwaaa. Nyie ukeketajo hamuuoni? Kulogana? Bastard

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
Mbona umeandika maneno mengi sana kwa jazba?

Mtu mwenye furaha na amani ya moyo hawezi kurespond kiasi hiki.. ! Nikuombee mzigo wa stress ulizonazo uutue!
 
Naomba mniambie wachagga watoto wanavyozaliwagwa mnapelekaga wapi vitovu?

Eti dada yangu kajifungua wakaja mama mkwe na mawifi kwa resi wanasuburia siku mtoto adondoshe kitovu wachukue mnapeleka wapi hicho kitovu? Naumuhimu wakukichukua nini naomba mnijuze kwa maana kuwa na mazoea nawachagga sintoweza.

Haya tunaomba mtuelezee mnafanyia nini vitovu vya watoto?
Kuna wanga na waganga kutwa kucha wanahaha tutafuta vitovu vya watoto vina Kazi kubwa Sana katika ishu za anga.
Kwahio ni rahisi mtu kucheza na future ya mtoto wako Pindi akikipata kitovu chake
 
Back
Top Bottom