Wachagga, watoto wakizaliwa mnapeleka wapi vitovu?

Wachagga, watoto wakizaliwa mnapeleka wapi vitovu?

Ifike mahali tuheshimiane ..... Kwanza ondoka hapo kwa dada yako haraka tafuta kwako..... HALAFU KUWA NA HESHIMA NA FAMILIA ZA WATU.
Nanukuu Ni mambo ya ushirikina tu hamna lolote, wanajificha kwenye mila za mababu, tamaduni sijui mizimu ya ukoo na matakataka kama hayo. Kama unamwamini Mungu usithubutu kuwapa vitovu vya watoto wako, wataenda kuwafunga kwenye maagano yao ya kichawi wanayoita mizimu, nafikiri hii ipo kwenye kila kabila hapa bongolala, maana bongolala haikosekani kwenye top ten ya ulozi duniani.... kilichoandikwa nanimepata majibu yangu niliyokuwa nataka .

Na kwangu kama hujui napia siwezi ondoka kwa dada kama hajamaliza kunyonyesha nitakaa mpaka kieleweke shindwa na ulegee
 
Kitovu kinafichwa sehemu maalumu ambapo mgomba huoteshwa. Ndizi ya huo mgomba inapokomaa pombe huandaliwa na watu wanakunywa kama sherehe. Huwa ni siri ya mama na baba kujua kitovu kilipowekwa. Mtu mbaya akijua hiyo sehemu ni hatati.
Ila mbona waliokuja kudai sio baba ni bibi , babu na baadhi ya upande wa shemeji.
 
Chuki na wachaga itakuua , wachaga wapo wa koo mbali mbali na kila ukoo una taratibu zake nafikiri ingekuwa busara dada ako angewauliza wanataka kitovu wakipeleke wapi? Au subiri na wewe uolewe na mchaga ili wakitaka kitovu cha mtoto uwahoji vizuri, acha kihere here kwenye ndoa ya dada ako utakuja kuumbuka
 
Hivi mf. Wewe ni mkenya ukaolewa uheheni suddenly uote hawa watu wanakula mbwa ??
Siadi uone kuwa hawa ndio zao kula mbwa au wanyakusa kula paka??
Au wakisii kula fuko ?
Huwezi kudadisi makabila ya watu na mtu hakukeri hadi uishi naye ndio akukeree
Mumeshindwa Mila za mlikoolewa ondokeni full stop
 
Kuolewa na mchagga ni bahati??? Mwanamke gani huyo anaetamani kuolewa na wachagga!! Labda ninyi kwa ninyi hapo sawa. Na siyo wachagga wote makatiri, ila asilimia kubwa wachagga ni makatiri kwa jinsia zote.
Makatiri ndio nini? Rudi shule
 
Nanukuu Ni mambo ya ushirikina tu hamna lolote, wanajificha kwenye mila za mababu, tamaduni sijui mizimu ya ukoo na matakataka kama hayo. Kama unamwamini Mungu usithubutu kuwapa vitovu vya watoto wako, wataenda kuwafunga kwenye maagano yao ya kichawi wanayoita mizimu, nafikiri hii ipo kwenye kila kabila hapa bongolala, maana bongolala haikosekani kwenye top ten ya ulozi duniani.... kilichoandikwa nanimepata majibu yangu niliyokuwa nataka .

Na kwangu kama hujui napia siwezi ondoka kwa dada kama hajamaliza kunyonyesha nitakaa mpaka kieleweke shindwa na ulegee
We Marioo tu.
Unahemea kwa dada na kutumia ka IST kake, iko siku atakutimua
 
Kweli kabisa nawaliwaka kitovu kiko wapi??
Kiko wapi??
Hatuwaelewi tukakaa kimya na mdomo huwa mchafu ila hiyo siku nilikuwa kimya??
Hii ni mbaya sana kama watu huamini maajabu kama hayo hadi vituti vya watoto wadogo mmh!
Kwani kitovu kina kazi ganu
 
Hiyo ni mila fulani common sana kwa jamii nyingi za kichaga (japokuwa kwa sasa imepungua kwa sababu ya elimu, utandawazi, imani za kikristo/kiislamu, kuoa na kuolewa kwenye makabila tofauti na watu kukimbilia kuishi zaidi mijini).

Kwa kifupi sana, mila nyingi za kichaga haziruhusu mwili au kiungo cha mwili (kama kitovu, magovi) kutupwa au kuzikwa kiholela holela, wao wanataka vizikwe kwenye ardhi yao na wawe na urahisi wa kufanya matambiko yao sehemu hiyo ili mizimu iwape baraka au kuwalinda dhidi ya majanga.

Matambiko ya kichaga yamejikita kwenye kumwaga pombe ya mbege, kutupia nyama iliyochomwa/kupikwa na kutamkia maneno kwenye eneo ilipozikwa miili au hivyo viungo na kupandwa kwa majani ya sale.

Matambiko=Ushirikina=Uchawi
 
Wewe ni taahira,
kwanza kwa taarifa wachaga siyo watu wa kuhemea kwa wakwe ie hawawezi kwenda kukaa kwa wakwe. Tabia za wazazi, kaka,dada kwenda kukaa kwa wakwe na mashemeji ni tabia za watu wajinga na mataahira kama ulivyo.

OVER
Usisahau komba kyaru
 
Chuki na wachaga itakuua , wachaga wapo wa koo mbali mbali na kila ukoo una taratibu zake nafikiri ingekuwa busara dada ako angewauliza wanataka kitovu wakipeleke wapi? Au subiri na wewe uolewe na mchaga ili wakitaka kitovu cha mtoto uwahoji vizuri, acha kihere here kwenye ndoa ya dada ako utakuja kuumbuka
Utajuaje ni mimi nasio dada
 
Wakwe zako ni jobless kwamba wanakuja kujifutika kwa dada ako wasubiri kitovu cha mtoto ambaye mtoto wao anaweza kubambikiwa.

Ficha ujinga wako.
Hasira hasara hasira zako zakipuuuzi usinileteee mimi koma sijachukua kitovu mimi mwehu weweee shuwaiini
 
Ikumbukwe kuwa wachaga tupo wa aina nyingi, Machame,meru, rombo, Kirua, Mbokomu, uru, oldmoshi, marangu, mwika, Kibosho, kilema,Sia.

Sasa hatujajua ni wawapi, mimi niko na watoto wawili vitovu vya watoto nilitupa kwenye dust been kama uchafu mwingine.
 
Naomba mniambie wachagga watoto wanavyozaliwagwa mnapelekaga wapi vitovu?

Eti dada yangu kajifungua wakaja mama mkwe na mawifi kwa resi wanasuburia siku mtoto adondoshe kitovu wachukue mnapeleka wapi hicho kitovu? Naumuhimu wakukichukua nini naomba mnijuze kwa maana kuwa na mazoea nawachagga sintoweza.

Haya tunaomba mtuelezee mnafanyia nini vitovu vya watoto?
Hao wamekuja kuangalia kama huyo mtoto ni wao kweli au Kaka Yao amepigwa hakuna cha zaidi hapo!!
 
Aliyekueleza YESU yupo kwa wafu kakudanganya labda huyo yesu wa herufi ndogo, jaribu kutafiti mambo kabla ya kuja kuropoka.......usiongelee jambo usilokuwa na ufahamu nalo, unaweza kujikuta unakufuru hasa kama jambo hilo linahusu IMANI KWA MUNGU MKUU. Kumbuka unapolinganisha IMANI KWA MUNGU MKUU na imani kwa mizimu unakuwa unakufuru, nafikri niishie hapa.​
Nimesema .....
 
Back
Top Bottom