Wachagga, watoto wakizaliwa mnapeleka wapi vitovu?

Wachagga, watoto wakizaliwa mnapeleka wapi vitovu?

Naomba mniambie wachagga watoto wanavyozaliwagwa mnapelekaga wapi vitovu?

Eti dada yangu kajifungua wakaja mama mkwe na mawifi kwa resi wanasuburia siku mtoto adondoshe kitovu wachukue mnapeleka wapi hicho kitovu? Naumuhimu wakukichukua nini naomba mnijuze kwa maana kuwa na mazoea nawachagga sintoweza.

Haya tunaomba mtuelezee mnafanyia nini vitovu vya watoto?
Inaonekana ndugu yangu suala la Mila limekupita kushoto. Mila za makabila yote Africa kuhusu suala uliloleta hapa zinafanana. Uliza wazee sehemu unapotoka
 
Naomba mniambie wachagga watoto wanavyozaliwagwa mnapelekaga wapi vitovu?

Eti dada yangu kajifungua wakaja mama mkwe na mawifi kwa resi wanasuburia siku mtoto adondoshe kitovu wachukue mnapeleka wapi hicho kitovu? Naumuhimu wakukichukua nini naomba mnijuze kwa maana kuwa na mazoea nawachagga sintoweza.

Haya tunaomba mtuelezee mnafanyia nini vitovu vya watoto?
Kwa uelewa wangu kila ukoo au kabila lina desturi zake. Kwa mfano kwetu kitovu kinatupwa kwenye zizi
Naomba mniambie wachagga watoto wanavyozaliwagwa mnapelekaga wapi vitovu?

Eti dada yangu kajifungua wakaja mama mkwe na mawifi kwa resi wanasuburia siku mtoto adondoshe kitovu wachukue mnapeleka wapi hicho kitovu? Naumuhimu wakukichukua nini naomba mnijuze kwa maana kuwa na mazoea nawachagga sintoweza.

Haya tunaomba mtuelezee mnafanyia nini vitovu vya watoto?
Kila ukoo una taratibu zake, kwa mfano kwetu kitovu kikidondoka shangazi au bibi hukichukua na kukitupa katika zizi la mbuzi, kisha baada ya siku 3 kama ni wa kiume na siku 4 kama ni wa kike, ile mbolea hufagiliwa na kwenda kutandikwa kwenye mgomba, ndizi yake ikikomaa hupikwa tambiko hufuata.
 
Takwimu zinaonyesha ukizaa na mwanamke wa kichaga mtoto anakua wa kilimanjaro!!Ndio hata kama wewe ni Mgogo wa dom inakua hivyo!!!!Watu wa imani wanajua uhalisia wa kitovu na Chimbuko la mtu!!!Kama kikienda kuzikwa huko Kwao migombani na tambiko la ukoo wao!ujue nertwork ya mtoto itasomea huko Mlimani na sio kwenu!!!
 
Takwimu zinaonyesha ukizaa na mwanamke wa kichaga mtoto anakua wa kilimanjaro!!Ndio hata kama wewe ni Mgogo wa dom inakua hivyo!!!!Watu wa imani wanajua uhalisia wa kitovu na Chimbuko la mtu!!!Kama kikienda kuzikwa huko Kwao migombani na tambiko la ukoo wao!ujue nertwork ya mtoto itasomea huko Mlimani na sio kwenu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dah

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
We manzi unama-problem yanakusumbua waliokifata uliwaona swali unaleta kwetu?
unakatwa si bure
 
Naomba mniambie wachagga watoto wanavyozaliwagwa mnapelekaga wapi vitovu?

Eti dada yangu kajifungua wakaja mama mkwe na mawifi kwa resi wanasuburia siku mtoto adondoshe kitovu wachukue mnapeleka wapi hicho kitovu? Naumuhimu wakukichukua nini naomba mnijuze kwa maana kuwa na mazoea nawachagga sintoweza.

Haya tunaomba mtuelezee mnafanyia nini vitovu vya watoto?
Kama dada yako alisingizia kijana wa watu mtoto ndio atajua hajui.... Kitovu kije Moshi tuna kazi nacho
 
Unajua sisi sio matahira kuongelea hili suala ni kwamba limezidi kuwa kero watu hata hawezi kufuata maisha yao wanakuja kufuata kituti cha watoto maana huyu ni wapili mnakera bwana.
Huu ujinga uishe vituti vinapelekwa wapi??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uzi umejaa wachaga tupu na mapovu yao. itakua wanaenda kukifanyia matambiko ili mtoto awe upande wao sio wa mama yake
Kitovu ni dawa kuu ya biashara, sio huko tyuuh maeneo yote. Wengine hadi huwa hununua. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo ni mila fulani common sana kwa jamii nyingi za kichaga (japokuwa kwa sasa imepungua kwa sababu ya elimu, utandawazi, imani za kikristo/kiislamu, kuoa na kuolewa kwenye makabila tofauti na watu kukimbilia kuishi zaidi mijini).

Kwa kifupi sana, mila nyingi za kichaga haziruhusu mwili au kiungo cha mwili (kama kitovu, magovi) kutupwa au kuzikwa kiholela holela, wao wanataka vizikwe kwenye ardhi yao na wawe na urahisi wa kufanya matambiko yao sehemu hiyo ili mizimu iwape baraka au kuwalinda dhidi ya majanga.

Matambiko ya kichaga yamejikita kwenye kumwaga pombe ya mbege, kutupia nyama iliyochomwa/kupikwa na kutamkia maneno kwenye eneo ilipozikwa miili au hivyo viungo na kupandwa kwa majani ya sale.

Matambiko=Ushirikina=Uchawi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Takwimu zinaonyesha ukizaa na mwanamke wa kichaga mtoto anakua wa kilimanjaro!!Ndio hata kama wewe ni Mgogo wa dom inakua hivyo!!!!Watu wa imani wanajua uhalisia wa kitovu na Chimbuko la mtu!!!Kama kikienda kuzikwa huko Kwao migombani na tambiko la ukoo wao!ujue nertwork ya mtoto itasomea huko Mlimani na sio kwenu!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huwa anapewa babu yake mtoto akile kama amekufa anakula mzee wa ukoo

Wanakichoma kwenye moto kinanywewa na mbege
 
Speaking from experience kabisa...mama yangu mdogo alizaa na kijana wa kichaga (Marangu) mama mkwe wwke akasema kitovu kitumwe hata kwa Bus kutoka Dar kwenda Kilimanjaro na kweli alifanya hivyo! Waliishi na yule baba kwa muda wa miaka3 then wakaja kushindwana,wakatengana...yule mzazi mwenzie akadai apewe mtoto mamdogo alikataa kwa kihezo kua yule mtoto bado ni mdogo hata miaka 4 hajafikisha...mvutano ulikua mkubwa na kibaya zaidi mamdogo kipato kilikua kikubwa kulinganisha na yule mzazi mwenzie...walimtolea kauli kali kua "unagombana na ndugu yetu na kumringia kisa una kazi nzuri hivyo una unamdharau na mtoto umemchukua,tutaona km huyo mtoto utamfaidi" baada km ya mwaka mtoto aliumwa umwa magonjwa yasiyoeleweka tu ila hakuja aliehidi ni imani za kishirikina mpk hali ilivyokua serious ndio mtu akamshtua,kwenda kwa hawa wataalamu wa jadi cha kwanza alimuuliza kitovu cha huyu mtoto ulimkabidhi nani? Au ulikitupa wapi? Kbl hajajibu akamwambia ntaweza kumtibu huyu mtoto kupona huu ugonjwa anaoumwa ila ufahamuwake siwezi kuurudisha sababu kitovu chake ndicho kimetumika kumfunga...basi mtoto yule kiafya sasa hv ni mzima ila mpk leo hii ana miaka 10 hajui kusoma wala kuandika kabadilisha shule mpk kachoka na ukikaa kwa makini na yule mtoto utagundua km alitaka kupata utaira flan hv hata kwa maongezi na jinsi anavyorespond while at the age of two years kalikua katoto sharp na kajanja sana!

Mtu yoyote asikurubuni umpe kitovu cha mtoto wako...kitupe unapopajua mwenyewe tu..nchi ina ujinga mwingi sana hii na washirikina si watu wazuri.
 
Speaking from experience kabisa...mama yangu mdogo alizaa na kijana wa kichaga (Marangu) mama mkwe wwke akasema kitovu kitumwe hata kwa Bus kutoka Dar kwenda Kilimanjaro na kweli alifanya hivyo! Waliishi na yule baba kwa muda wa miaka3 then wakaja kushindwana,wakatengana...yule mzazi mwenzie akadai apewe mtoto mamdogo alikataa kwa kihezo kua yule mtoto bado ni mdogo hata miaka 4 hajafikisha...mvutano ulikua mkubwa na kibaya zaidi mamdogo kipato kilikua kikubwa kulinganisha na yule mzazi mwenzie...walimtolea kauli kali kua "unagombana na ndugu yetu na kumringia kisa una kazi nzuri hivyo una unamdharau na mtoto umemchukua,tutaona km huyo mtoto utamfaidi" baada km ya mwaka mtoto aliumwa umwa magonjwa yasiyoeleweka tu ila hakuja aliehidi ni imani za kishirikina mpk hali ilivyokua serious ndio mtu akamshtua,kwenda kwa hawa wataalamu wa jadi cha kwanza alimuuliza kitovu cha huyu mtoto ulimkabidhi nani? Au ulikitupa wapi? Kbl hajajibu akamwambia ntaweza kumtibu huyu mtoto kupona huu ugonjwa anaoumwa ila ufahamuwake siwezi kuurudisha sababu kitovu chake ndicho kimetumika kumfunga...basi mtoto yule kiafya sasa hv ni mzima ila mpk leo hii ana miaka 10 hajui kusoma wala kuandika kabadilisha shule mpk kachoka na ukikaa kwa makini na yule mtoto utagundua km alitaka kupata utaira flan hv hata kwa maongezi na jinsi anavyorespond while at the age of two years kalikua katoto sharp na kajanja sana!

Mtu yoyote asikurubuni umpe kitovu cha mtoto wako...kitupe unapopajua mwenyewe tu..nchi ina ujinga mwingi sana hii na washirikina si watu wazuri.
Nyie sasa ndo hamjuagu. Damu ya mchagga haipoteagi. Mrudisheni huyo mtoto akapate tamaduni zake husika. Marangu ndo kwao. Yes, ni sahihi alikua mdogo. Lakini siyo kuwanyima mtoto wao mazima. Hakuna cha ushirikina hapo. Hapo wamelia na mababu wa hilo boma damu yao imechukuliwa. Kama ni mtoto wetu tunaomba atutafute. Muwe munaulizaa. Kitovu ni asili tu. Na mara nyingi hutupwa hata zizini. Ni tamaduni za miaka na miaka. Mboma wengine wanakuaga vichaa kabisaa kwasababu ya mila. Naonaga wahaya wametukaribiaga dana.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Nyie sasa ndo hamjuagu. Damu ya mchagga haipoteagi. Mrudisheni huyo mtoto akapate tamaduni zake husika. Marangu ndo kwao. Yes, ni sahihi alikua mdogo. Lakini siyo kuwanyima mtoto wao mazima. Hakuna cha ushirikina hapo. Hapo wamelia na mababu wa hilo boma damu yao imechukuliwa. Kama ni mtoto wetu tunaomba atutafute. Muwe munaulizaa. Kitovu ni asili tu. Na mara nyingi hutupwa hata zizini. Ni tamaduni za miaka na miaka. Mboma wengine wanakuaga vichaa kabisaa kwasababu ya mila. Naonaga wahaya wametukaribiaga dana.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app

Hayo ni ya kwao mi hayanihusu kwa kweli...nimeongelea by experience! Na mamdogo hakumkatalia mtoto kwamba asipewe baba yake ila alijustfy kabisa kwamba kwa kipindi kile alikua bado mdogo, well sasa kumfanyia hvy mtoto ndio imesaidia nini sasa? Kuna imani nyingine ni za kipuuzi sana.
 
Hayo ni ya kwao mi hayanihusu kwa kweli...nimeongelea by experience! Na mamdogo hakumkatalia mtoto kwamba asipewe baba yake ila alijustfy kabisa kwamba kwa kipindi kile alikua bado mdogo, well sasa kumfanyia hvy mtoto ndio imesaidia nini sasa? Kuna imani nyingine ni za kipuuzi sana.
Na hayo ni yako pia. Kwani ulisema hivyo ukitegemea nn mkuu. Aliyekuambia huo ni ushirikina ni nani

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom