KIMSINGI WEWE NDO UNATAKIWA KUSHTUKA.....Wewe mzungu yesu unamuona mtakatifu sana na kumuabudu HALAFU BABU YAKO WA DAMU YAKO UNAMUONA MZIMU....... shituka wewe .....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIMSINGI WEWE NDO UNATAKIWA KUSHTUKA.....Wewe mzungu yesu unamuona mtakatifu sana na kumuabudu HALAFU BABU YAKO WA DAMU YAKO UNAMUONA MZIMU....... shituka wewe .....
Mzungu yesu hawezi kunishitua hata siku moja.....KIMSINGI WEWE NDO UNATAKIWA KUSHTUKA.....
Naomba mniambie wachagga watoto wanavyozaliwagwa mnapelekaga wapi vitovu?
Eti dada yangu kajifungua wakaja mama mkwe na mawifi kwa resi wanasuburia siku mtoto adondoshe kitovu wachukue mnapeleka wapi hicho kitovu? Naumuhimu wakukichukua nini naomba mnijuze kwa maana kuwa na mazoea nawachagga sintoweza.
Haya tunaomba mtuelezee mnafanyia nini vitovu vya watoto?
Sawa, endelea kushtuliwa na wafu.....au ni hayo maroho mnayoita mizimu ambayo basically ni mapepo yanayotafuta kuabudiwa.Mzungu yesu hawezi kunishitua hata siku moja.....
Jibu murua kabisa! 👏👏Ungewauliza specifically hao waliofanya hivyo. Usipende ku generalize mambo.
Ni sawa na umuone Mmasai mlevi halafu uanze kuuliza kwanini Wamasai ni walevi.
Siyo kila mchaga au kila ukoo unataka vitovu..... ni familia ya shemegi wa mleta mada wana utaratibu huo..... SASA NGOJA AHARIBU NDOA YA DADA YAKE HALAFU AWE MDANGAJIMimi ata waje ukoo mzima siwezi kumpa yeyote kitovu cha mwanangu! Ova[emoji2292].
Weweeeee...... nakueleza sasa kwamba hata huyo myahudi yesu ni MZIMU ..... sema tu namna ya kuelewa mimi na wewe ni tofauti.... LAKINI KILA ALIYEKWISHA KUFA NI MZIMU TU..Sawa, endelea kushtuliwa na wafu.....au ni hayo maroho mnayoita mizimu ambayo basically ni mapepo yanayotafuta kuabudiwa.
Kwa wale wasiojielewa wanaweza kuingia huu mkenge na kusababishia watoto shida huko mbeleni.....Mimi ata waje ukoo mzima siwezi kumpa yeyote kitovu cha mwanangu! Ova[emoji2292].
Pumbavu mkubwa wewe laiyoni mvunja chunguSijandika vibaya wala nini nauliza tena vituti vya watoto mnavipelekaga wapi??
Semeni basi chapu ...
Kabla mi mmeru sijavunja chungu
We laiyoni tangu lini ukawa mmeru??Sina hasira mimi ni nyie ndio mnayo hiyo hasira kabisaa watu wanitukane ni nyamaze kwani wao au wewe ninani andikeni vizuri mjibiwe vizuri hasira nani anahasira na watoto ni wakichaga sisi ni wameru hatunaga shida kama zenu matambiko, mara kuag kwenu , mara kuhesabiwa mara vitovu mara hili mara lile shida nini?
Nyie tu makabila mengine hawana shida kama zenu.
Weweeeee...... nakueleza sasa kwamba hata huyo myahudi yesu ni MZIMU ..... sema tu namna ya kuelewa mimi na wewe ni tofauti.... LAKINI KILA ALIYEKWISHA KUFA NI MZIMU TU..
Sasa si mpaka uolewe hukoMimi ata waje ukoo mzima siwezi kumpa yeyote kitovu cha mwanangu! Ova[emoji2292].
Wakwe zako ni jobless kwamba wanakuja kujifutika kwa dada ako wasubiri kitovu cha mtoto ambaye mtoto wao anaweza kubambikiwa.Unajua sisi sio matahira kuongelea hili suala ni kwamba limezidi kuwa kero watu hata hawezi kufuata maisha yao wanakuja kufuata kituti cha watoto maana huyu ni wapili mnakera bwana.
Huu ujinga uishe vituti vinapelekwa wapi??
Huwezi kunidanganya aisee...... yesu na muhamad ni mababu tu kama mababu wengine..... SASA WEWE ABUDU MIBABU YA KIYAHUDI NA KIARABU HALAFU MIJI MGUMU NAISHI NA MABABU ZANGU.....😀😀😀😀Aliyekueleza YESU yupo kwa wafu kakudanganya labda huyo yesu wa herufi ndogo, jaribu kutafiti mambo kabla ya kuja kuropoka.......usiongelee jambo usilokuwa na ufahamu nalo, unaweza kujikuta unakufuru hasa kama jambo hilo linahusu IMANI KWA MUNGU MKUU. Kumbuka unapolinganisha IMANI KWA MUNGU MKUU na imani kwa mizimu unakuwa unakufuru, nafikri niishie hapa.
Kinajitutumuaaaa... kama mtu wa maana vile[emoji706][emoji706]Wakwe zako ni jobless kwamba wanakuja kujifutika kwa dada ako wasubiri kitovu cha mtoto ambaye mtoto wao anaweza kubambikiwa.
Ficha ujinga wako.
Wewe ni taahira,Unajua sisi sio matahira kuongelea hili suala ni kwamba limezidi kuwa kero watu hata hawezi kufuata maisha yao wanakuja kufuata kituti cha watoto maana huyu ni wapili mnakera bwana.
Huu ujinga uishe vituti vinapelekwa wapi??
kumbe we ni kichaa, jibu unalo halafu unauliza.Najua changu kiko wapi kimetupwa sehemu moja hivi naijua sio nyie mnaenda kuvibandika kwa mizimu .
Hivi mf. Wewe ni mkenya ukaolewa uheheni suddenly uote hawa watu wanakula mbwa ??Unakerwaje na Mila zisizokuhusu why in the first place ilikubali ndugu yenu aolewe na hao watu?
Hadi hapo inaonyesha ni jinsi gani umetambikiwa mpaka umechanganyikiwaWewe ni taahira,
kwanza kwa taarifa wachaga siyo watu wa kuhemea kwa wakwe ie hawawezi kwenda kukaa kwa wakwe. Tabia za wazazi, kaka,dada kwenda kukaa kwa wakwe na mashemeji ni tabia za watu wajinga na mataahira kama ulivyo.
OVER
Kweli kabisa nawaliwaka kitovu kiko wapi??Ni mambo ya ushirikina tu hamna lolote, wanajificha kwenye mila za mababu, tamaduni sijui mizimu ya ukoo na matakataka kama hayo. Kama unamwamini Mungu usithubutu kuwapa vitovu vya watoto wako, wataenda kuwafunga kwenye maagano yao ya kichawi wanayoita mizimu, nafikiri hii ipo kwenye kila kabila hapa bongolala, maana bongolala haikosekani kwenye top ten ya ulozi duniani....