Wachagga, watoto wakizaliwa mnapeleka wapi vitovu?

Wachagga, watoto wakizaliwa mnapeleka wapi vitovu?

Unajua sisi sio matahira kuongelea hili suala ni kwamba limezidi kuwa kero watu hata hawezi kufuata maisha yao wanakuja kufuata kituti cha watoto maana huyu ni wapili mnakera bwana.
Huu ujinga uishe vituti vinapelekwa wapi?
Lakin wahusika umewauliza?? Maana usipowauliza hata utukane hapa na watatu watakijia pia
Itakuw bado hujapata suluhisho la tatizo hasira inabidi ukamalizie kw hao wanaovichukua
 
Lakin wahusika umewauliza?? Maana usipowauliza hata utukane hapa na watatu watakijia pia
Itakuw bado hujapata suluhisho la tatizo hasira inabidi ukamalizie kw hao wanaovichukua
Sina hasira mimi ni nyie ndio mnayo hiyo hasira kabisaa watu wanitukane ni nyamaze kwani wao au wewe ninani andikeni vizuri mjibiwe vizuri hasira nani anahasira na watoto ni wakichaga sisi ni wameru hatunaga shida kama zenu matambiko, mara kuag kwenu , mara kuhesabiwa mara vitovu mara hili mara lile shida nini?

Nyie tu makabila mengine hawana shida kama zenu.
 
Chumvi zinazozidi zinaharibu mantiki nzima.

Kwamba hao mawifi na wakwe hawana kazi za kufanya, wametoka huko walipotoka, wamelipa nauli, wamepoteza siku za kutosha. Waje kukaa kwenye nyumba ya dada ako ya kupanga wasubiri kitovu cha mtoto?

Kama wana biashara zao, au ajira zao wazisimamishe kisa wakae usiku na mchana wakisubiri kitovu cha mtoto wa dada ako?
[emoji1][emoji1][emoji1] mkuu kuna watu hawana kazi za kufanya, wanaweza fanya huo ujinga .
 
[emoji1][emoji1][emoji1] mkuu kuna watu hawana kazi za kufanya, wanaweza fanya huo ujinga .
Sio hawana kazi ila ni mila zao wanahairisha kila kitu wanakuja juu kuhusu kitovu kikowapi??
Mtu kaja hadi kwetu wanafoka kitovu tumeshatupa walichukia hadi basi waleo ndio wanaongelea nawataongelea sana .
 
Unajua sisi sio matahira kuongelea hili suala ni kwamba limezidi kuwa kero watu hata hawezi kufuata maisha yao wanakuja kufuata kituti cha watoto maana huyu ni wapili mnakera bwana.
Huu ujinga uishe vituti vinapelekwa wapi??
Unakerwaje na Mila zisizokuhusu why in the first place ilikubali ndugu yenu aolewe na hao watu?
 
Sio wachaga tu ndugu mimi mama yangu kwao ni wa kwanza amekua bila mama(mama alishafariki wakiwa wadogo)ameolewa akiwa mkwe wa kwanza unaambiwa vitovu vyote mama mkwe anachukua kuanzia cha mtoto wa kwanza mpaka wa mwisho na kwakuwa hakuwa na wa kumwelekeza mama yetu hakuoji chochote

Sasa kanisani wanasema vile vitovu ndo kama remote yaani kila anayemtaka anaweza kumuaccess popote,ndo mama akasema mi sikuuliza na wala hata akili hiyo sikuwa nayo
 
Chumvi zinazozidi zinaharibu mantiki nzima.

Kwamba hao mawifi na wakwe hawana kazi za kufanya, wametoka huko walipotoka, wamelipa nauli, wamepoteza siku za kutosha. Waje kukaa kwenye nyumba ya dada ako ya kupanga wasubiri kitovu cha mtoto?

Kama wana biashara zao, au ajira zao wazisimamishe kisa wakae usiku na mchana wakisubiri kitovu cha mtoto wa dada ako?
Kwao kitovu ni muhimu kuliko uliyoyasema
 
Ni mambo ya ushirikina tu hamna lolote, wanajificha kwenye mila za mababu, tamaduni sijui mizimu ya ukoo na matakataka kama hayo. Kama unamwamini Mungu usithubutu kuwapa vitovu vya watoto wako, wataenda kuwafunga kwenye maagano yao ya kichawi wanayoita mizimu, nafikiri hii ipo kwenye kila kabila hapa bongolala, maana bongolala haikosekani kwenye top ten ya ulozi duniani....​
 
Ni mambo ya ushirikina tu hamna lolote, wanajificha kwenye mila za mababu, tamaduni sijui mizimu ya ukoo na matakataka kama hayo. Kama unamwamini Mungu usithubutu kuwapa vitovu vya watoto wako, wataenda kuwafunga kwenye maagano yao ya kichawi wanayoita mizimu, nafikiri hii ipo kwenye kila kabila hapa bongolala, maana bongolala haikosekani kwenye top ten ya ulozi duniani....​
Wewe mzungu yesu unamuona mtakatifu sana na kumuabudu HALAFU BABU YAKO WA DAMU YAKO UNAMUONA MZIMU....... shituka wewe .....
 
Back
Top Bottom