puritygirly
Member
- Mar 28, 2018
- 38
- 121
Lakin wahusika umewauliza?? Maana usipowauliza hata utukane hapa na watatu watakijia piaUnajua sisi sio matahira kuongelea hili suala ni kwamba limezidi kuwa kero watu hata hawezi kufuata maisha yao wanakuja kufuata kituti cha watoto maana huyu ni wapili mnakera bwana.
Huu ujinga uishe vituti vinapelekwa wapi?
Itakuw bado hujapata suluhisho la tatizo hasira inabidi ukamalizie kw hao wanaovichukua