Doctor Ngariba
JF-Expert Member
- Jan 28, 2020
- 588
- 951
Hawa watangazaji wetu hawa ni tabu sana kwa kweli.Haha, wanapatwa majeruhi. Mwingine utamsikia mshambuliaji tegemezi wa Mtibwa Sugar.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa watangazaji wetu hawa ni tabu sana kwa kweli.Haha, wanapatwa majeruhi. Mwingine utamsikia mshambuliaji tegemezi wa Mtibwa Sugar.
Kuna ulazima gani wa kutumia kigeni. Si aseme tu kulinda?Matumizi ya neno defence badala ya defend yanawashinda asilimia 90 ya wachambuzi
Hii ni Kiingereza cha kawaida kabisa, wala hakihitaji mtaalamu wa lugha.Ni mtaalamu wa linguistics tu ndie anaweza kutofautisha hayo maneno. Wewe wa literature umejiingiza tu huko.
Wapo sahihi wanaposema wameamua kudefence wana maanisha wamepanga ulinzi vinzuri,wanaelezea jambo likiwa linachukua nafasi kwa wingi.Mimi kama mtaalamu wa literature naumia sana kuona wachambuzi wasomi wenzangu akina Ally Mayayi na wenzake.
Hawajui tofauti ya neno defend na neno defence.
Defend ni verb
Defence ni noun
Verb ni kitendo
Noun ni nomino au jina
Hivyo basi defend ni kulinda
Defence ni ulinzi
Msikie huyu mchambuzi "wachezaji wa timu hii wameamua kudefence'
This is not correct
Usahihi ni kusema timu fulani imeamua kudefend
Ongeeni tu kiswahili sio dhambi
Hawako sahihi .hii tulinadili na rafiki yangu ambaye English ni first language.ni either wamedefend au defence line imerudi nyumaWapo sahihi wanaposema wameamua kudefence wana maanisha wamepanga ulinzi vinzuri,wanaelezea jambo likiwa linachukua nafasi kwa wingi.
Kudefend ipo ndani ya defence,mbona wapo sahihi ni wewe umeelewaje
Umesahau double pivot[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Bongo ukishajua kubwabwaja kuhusu mambo kama vile kukabia juu/high line, kukabia chini, wing back, double three, low block, kukaba nafasi wewe tayari ni mchambuzi!!
ndo' na mimi mpaka nikamuwekea screenshot ya english yenyewe.Huyu mtaalam anapata taabu na kiingereza-kiswahili.Wapo sahihi wanaposema wameamua kudefence wana maanisha wamepanga ulinzi vinzuri,wanaelezea jambo likiwa linachukua nafasi kwa wingi.
Kudefend ipo ndani ya defence,mbona wapo sahihi ni wewe umeelewaje
kuwa first lang.sio kwamba anajua kila kitu.Hawako sahihi .hii tulinadili na rafiki yangu ambaye English ni first language.ni either wamedefend au defence line imerudi nyuma
Wewe ndo huwaelewi, hao hawaongei kiingereza wanaongea kiswahili ila wanatia vineno vya kiingereza humoMimi kama mtaalamu wa literature naumia sana kuona wachambuzi wasomi wenzangu akina Ally Mayayi na wenzake.
Hawajui tofauti ya neno defend na neno defence.
Defend ni verb
Defence ni noun
Verb ni kitendo
Noun ni nomino au jina
Hivyo basi defend ni kulinda
Defence ni ulinzi
Msikie huyu mchambuzi "wachezaji wa timu hii wameamua kudefence'
This is not correct
Usahihi ni kusema timu fulani imeamua kudefend
Ongeeni tu kiswahili sio dhambi
This team has good and solid defensewewe umesoma literature na sio English language hujui grammar ndo' maana unatafsiri kiswahili kiingereza.
View attachment 2429068
hahahaha. umenichekesha sana. halafu wanajifanya kama walikuwa uwanjani vileMimi kama mtaalamu wa literature naumia sana kuona wachambuzi wasomi wenzangu akina Ally Mayayi na wenzake.
Hawajui tofauti ya neno defend na neno defence.
Defend ni verb
Defence ni noun
Verb ni kitendo
Noun ni nomino au jina
Hivyo basi defend ni kulinda
Defence ni ulinzi
Msikie huyu mchambuzi "wachezaji wa timu hii wameamua kudefence'
This is not correct
Usahihi ni kusema timu fulani imeamua kudefend
Ongeeni tu kiswahili sio dhambi