Wachambuzi wa Moroco na Afrka Kusini hawajakaangia sumu teams zao?

Wachambuzi wa Moroco na Afrka Kusini hawajakaangia sumu teams zao?

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Yaliyotokea yanasikitisha sana, Walibya wamenyimwa penalty ila afadhali kidogo ukilinganisha na vituko vya Berkane , nasubiri kwa hamu manguli ya soka kwenye nchi hizo waanze kuzishukia teams zao kwa hasira zote maana simba hapa kuna team ilipewa escort ya pikipiki moja ikalalamika wachambuzi wakaunga humohumo na kuilaumu simba huku wengine wakifanya interview na media za south africa kuisagia kunguni simba.
 
Waandishi wa Morocco na Afrika Kusini hawawezi kuandika haya mambo, wao wanajua nini wanafanya.

Wachambuzi wa kibogo ni wapuuzi fulani hivi, wasiojielewa.

Simba SC wakiwagusa kidogo tu wageni, wao wanaandaa mjadala kutwa na makala ndefu ya kuilaumu kuwa hawafanyi fair kwenye soka.
 
Wachambuzi wa kibogo ni wapuuzi fulani hivi, wasiojielewa.

Simba SC wakiwagusa kidogo tu wageni wao wanaandaa mjadala kutwa na makala ndefu ya kuilaumu kuwa hawafanyi fair kwenye soka.
yaani hivi unajua kwamba orlando pirates kule libya walizimiwa taa ila kocha hakulalamika sababu walishinda? hapa alidanganya kwamba airport walikwua mistreated kumbe tukaona picha walipokelewa na simba na afisa ubalozi wao...hoja ikawa kwamba walipewa rider mmoja kama escort aisee na ile ya VAR basi wachambuzi wabongo wakatiwa ndimu , kwa kweli tunasikitisha sana
 
Yaliyotokea yanasikitisha sana, wa libya wamenyimwa penalty ila afadhali kidogo ukilinganisha na vituko vya berkane , nasubiri kwa hamu manguli ya soka kwenye nnchi hizo waanze kuzishukia teams zao kwa hasira zote maana simba hapa kuna team ilipewa escort ya pikipiki moja ikalalamika wachambuzi wakaunga humohumo na kuilaumu simba huku wengine wakifanya interview na media za south africa kuisagia kunguni simba
Si ni Geof huyo anajifanya yy ni mshabiki wa PSL, sikia kiongozi wavhambuzi wa Africa wote ovyo kama CAF waliweza ku post holi la Orlando dhidi ya Simba ambalo lilikuwa ni clear offside ...na wavhambuzi wa soka wa Afrika kusin walikuwa kimyaaaa
 
Wachambuzi wa kibogo ni wapuuzi fulani hivi, wasiojielewa.

Simba SC wakiwagusa kidogo tu wageni wao wanaandaa mjadala kutwa na makala ndefu ya kuilaumu kuwa hawafanyi fair kwenye soka.
Nakumbuka zaman shafii alikuwa ana zksifia sana vlub za africa zilizokuwa zikifika robo fainali alikuwa ana neno moja analitumia sana akiwaita wanaume, lkn tangianaone simba sc imecheza robo fainal za Michezo y caf kwa awamu 3 basi jamaa amehamisha mjadala sasa ivi anawasifia wanao fika fainali akidai wamejipanga na nini bla blaaa kibao ..


Binafsi naamin Simba sc ndani ya misimu 2 ijayo lzm atacheza fainali za CAF club competition
 
Si ni Geof huyo anajifanya yy ni mshabiki wa PSL, sikia kiongozi wavhambuzi wa Africa wote ovyo kama CAF waliweza ku post holi la Orlando dhidi ya Simba ambalo lilikuwa ni clear offside ...na wavhambuzi wa soka wa Afrika kusin walikuwa kimyaaaa
kuna mambo ukiyatafakari ni bora kujinyamazia kimya tu kama Barbra...simba walipigwa na chupa za maji CAF wakawapiga fine berkane usd 8000 na kuzuia mashabiki kwa mechi za makundi zilizobaki wachambuzi kimya..simba kule kinshasa walipompiga as vita 1-0 hotel yao usiku

hawakulala kwa makelele ya bodaboda zilizokuwa zimekusanyika nje ya hotel zinapiga ma honi hadi morisson akatoka kutaka kupigana nao
Hukohuko kinshasa wachezaji 6 wa simba walishikiliwa karantini wakidaiwa wana corona na walikaa huko week nzima..wachambuzi wansubiri kocha wa pirates alalamike kwamba wamepewa escort ya pikipiki moja nao wanaunga humohumo
 
Nakumbuka zaman shafii alikuwa ana zksifia sana vlub za africa zilizokuwa zikifika robo fainali alikuwa ana neno moja analitumia sana akiwaita wanaume, lkn tangianaone simba sc imecheza robo fainal za Michezo y caf kwa awamu 3 basi jamaa amehamisha mjadala sasa ivi anawasifia wanao fika fainali akidai wamejipanga na nini bla blaaa kibao ..


Binafsi naamin Simba sc ndani ya misimu 2 ijayo lzm atacheza fainali za CAF club competition
hilo liko wazi kabisa simba in 2 years anaenda fainali...,simba akienda ugenini akila 5 wanalalamika inakosa heshima kwa mpinzani kwa kufunguka, waki defend kama gemu la orlando malalamiko tena na kebehi
 
Kinacho ikwamisha Simba ni kuamini katika ushirikina kuliko uwekezaji, uwezi kuvuka robo fainali kwenda nusu fainal ikiwa wachezaji wako wa kikosi Cha kwanza asilimia kubwa umri unasoma 37/45 izo ni ndoto.
Tu endelee kudanganyana wakati wenzetu Wana wekeza kisayansi.
 
Kinacho ikwamisha Simba ni kuamini katika ushirikina kuliko uwekezaji, uwezi kuvuka robo fainali kwenda nusu fainal ikiwa wachezaji wako wa kikosi Cha kwanza asilimia kubwa umri unasoma 37/45 izo ni ndoto.
Tu endelee kudanganyana wakati wenzetu Wana wekeza kisayansi.
kweli kabisa kinachofanya teams nyingine za Tanzania kufanya maajabu Africa ni kutoamini katika ushirikina na kufanya mambo yao kisayansi
 
Yaliyotokea yanasikitisha sana, wa libya wamenyimwa penalty ila afadhali kidogo ukilinganisha na vituko vya berkane , nasubiri kwa hamu manguli ya soka kwenye nnchi hizo waanze kuzishukia teams zao kwa hasira zote maana simba hapa kuna team ilipewa escort ya pikipiki moja ikalalamika wachambuzi wakaunga humohumo na kuilaumu simba huku wengine wakifanya interview na media za south africa kuisagia kunguni simba
Binafs niliangaliwa mechi ya RS Bekarne vs To mazembe kiukweli ile mechi ilikuwa inatia kinyaa sana, Yale matochi nategemea fifa watoe tamko, pia refa naye anapaswa kuchunguzwa maana sio kwa uchezeshaji ule
 
Kinacho ikwamisha Simba ni kuamini katika ushirikina kuliko uwekezaji, uwezi kuvuka robo fainali kwenda nusu fainal ikiwa wachezaji wako wa kikosi Cha kwanza asilimia kubwa umri unasoma 37/45 izo ni ndoto.
Tu endelee kudanganyana wakati wenzetu Wana wekeza kisayansi.

Hivi kuna timu imewekeza EA kama Simba? na ndio maana hakuna timu ina mafanikio kama Simba ukanda huu kwa sababu imewekeza kisayansi na sio blah blah zako

Ni lazima ifike mahali tukubali kwamba Simba inajitahidi sana inashindwa na akina Pirates Barkane Al ahly nk kwa maana ya uchumi
Simba haina uchumi wa kushindana na ma giant wa Afrika kugombea wachezaji wakali na wa gharama, lakini angalau kimpira uwanjani juhudi tuna ziona na wote wakija wanakufa kwa mkapa, kutinga robo imekua ni JADI sasa wakati kuna maelfu ya timu kubwa tu afrika hata kuingia makundi tu ni issue mfano Yanga

Kwa bahati mbaya sana tuna pima mafanikio kwa muktadha wa the end should justify that means........ kwamba kwa sababu Simba hajafika fainali za CAF basi haina mafanikio yoyote
 
Naona Makolo mnaona wivu baada ya bwana wenu Orlando kutinga fainali,endeleeni kutoa mapovu huku mkijisahaulisha na figisu mnazofanyaga kwa Mkapa sirini na hadharani.
 
Nakumbuka zaman shafii alikuwa ana zksifia sana vlub za africa zilizokuwa zikifika robo fainali alikuwa ana neno moja analitumia sana akiwaita wanaume, lkn tangianaone simba sc imecheza robo fainal za Michezo y caf kwa awamu 3 basi jamaa amehamisha mjadala sasa ivi anawasifia wanao fika fainali akidai wamejipanga na nini bla blaaa kibao ..


Binafsi naamin Simba sc ndani ya misimu 2 ijayo lzm atacheza fainali za CAF club competition
Msimu huu si mmeingia nusu fainali baada ya kuifunga Cotton SC ya Rock City?
 
Hivi kuna timu imewekeza EA kama Simba? na ndio maana hakuna timu ina mafanikio kama Simba ukanda huu kwa sababu imewekeza kisayansi na sio blah blah zako...
simba kafika nusu fainali klabu bingwa 1974...kafika fainali 1993 na kombe lilikuwepo pale shamba la bibi
 
Nakumbuka zaman shafii alikuwa ana zksifia sana vlub za africa zilizokuwa zikifika robo fainali alikuwa ana neno moja analitumia sana akiwaita wanaume, lkn tangianaone simba...
Ukiwa na mshambuliaji wako hatari KIBU DENNIS??
 
Hivi kuna timu imewekeza EA kama Simba? na ndio maana hakuna timu ina mafanikio kama Simba ukanda huu kwa sababu imewekeza kisayansi na sio blah blah zako...
Simba imewekeza wapi mkuu?? Au una maana MOTISHA??
 
Kinacho ikwamisha Simba ni kuamini katika ushirikina kuliko uwekezaji, uwezi kuvuka robo fainali kwenda nusu fainal ikiwa wachezaji wako wa kikosi Cha kwanza asilimia kubwa umri unasoma 37/45 izo ni ndoto.
Tu endelee kudanganyana wakati wenzetu Wana wekeza kisayansi.
ona huyu punguani! hayo mashindano yana timu ngapi? hiyo idadi yote haivuki kwa sababu ya umri? Mamelod hawakuvuka kwa sababu ya umri?
 
Hivi kuna timu imewekeza EA kama Simba? na ndio maana hakuna timu ina mafanikio kama Simba ukanda huu kwa sababu imewekeza kisayansi na sio blah blah zako...
Upopoma unakutesa sana, mbona Jamaa kaeleweka vizuri tu hadi CHIZI VITABU kakubali hoja zake?

Unataka kusema ONYANGO, BOKO na KAGERE hawajasonga sana umri zaidi ya miaka 35 kiuhalisia mbali na ule mchezo wa wachezaji wengi wa kiafrika kupunguza umri halisi ili wazidi kucheza miaka mingi wakiwa wanapata kipato?

Tumia akili kupambanua hoja, weka ushabiki maandazi pembeni kwa afya ya akili yako.
 
Back
Top Bottom