Wachambuzi wa Moroco na Afrka Kusini hawajakaangia sumu teams zao?

Wachambuzi wa Moroco na Afrka Kusini hawajakaangia sumu teams zao?

Upopoma unakutesa sana, mbona Jamaa kaeleweka vizuri tu hadi CHIZI VITABU kakubali hoja zake?

Unataka kusema ONYANGO, BOKO na KAGERE hawajasonga sana umri zaidi ya miaka 35 kiuhalisia mbali na ule mchezo wa wachezaji wengi wa kiafrika kupunguza umri halisi ili wazidi kucheza miaka mingi wakiwa wanapata kipato?

Tumia akili kupambanua hoja, weka ushabiki maandazi pembeni kwa afya ya akili yako.
Mh mkuu ulisoma vizuri alichokijibu CHIZI VITABU? Alichokijibu ni dongo kwa mleta hoja. Embu kasome kwa kutulia
 
Naona Makolo mnaona wivu baada ya bwana wenu Orlando kutinga fainali,endeleeni kutoa mapovu huku mkijisahaulisha na figisu mnazofanyaga kwa Mkapa sirini na hadharani.
Hayo majamaa yanajidanganya sana bila ya kuelewa bado soka letu TZ linahitaji marekebisho mengi sana.

Mwaka jana ule Keizer Chief, ilimtoa huyo huyo MAKOLO robo fainali na kutinga fainali, ingebahatisha si ingekwamia nusu fainali tu baada ya kumtoa MAKOLO?

Halikadhalika mwaka huu Orlando Pirates imefanikiwa 1 kwa 1 kutinga fainali baada ya kuitoa MAKOLO, hawajiulizi tu timu za South Africa zina viwango vya juu sana kiubora kuliko timu zetu za Bongo za kuunga unga kwa fitina zetu za ushirikina na michongo ya kwa uwanja wa Mkapa tu [emoji848][emoji34]
 
Mh mkuu ulisoma vizuri alichokijibu CHIZI VITABU? Alichokijibu ni dongo kwa mleta hoja. Embu kasome kwa kutulia
Dongo kampiga MAYU ambaye anaendeshwa na mihemuko ya kishabiki maandazi badala ya kutumia akili vyema kudadavua hoja.

HIZI HAPA NUKUU ZA CHIZI VITABU [emoji116]

"simba kafika nusu fainali klabu bingwa 1974...kafika fainali 1993 na kombe lilikuwepo pale shamba la bibi"
 
Back
Top Bottom