Mh mkuu ulisoma vizuri alichokijibu CHIZI VITABU? Alichokijibu ni dongo kwa mleta hoja. Embu kasome kwa kutuliaUpopoma unakutesa sana, mbona Jamaa kaeleweka vizuri tu hadi CHIZI VITABU kakubali hoja zake?
Unataka kusema ONYANGO, BOKO na KAGERE hawajasonga sana umri zaidi ya miaka 35 kiuhalisia mbali na ule mchezo wa wachezaji wengi wa kiafrika kupunguza umri halisi ili wazidi kucheza miaka mingi wakiwa wanapata kipato?
Tumia akili kupambanua hoja, weka ushabiki maandazi pembeni kwa afya ya akili yako.
Hayo majamaa yanajidanganya sana bila ya kuelewa bado soka letu TZ linahitaji marekebisho mengi sana.Naona Makolo mnaona wivu baada ya bwana wenu Orlando kutinga fainali,endeleeni kutoa mapovu huku mkijisahaulisha na figisu mnazofanyaga kwa Mkapa sirini na hadharani.
Dongo kampiga MAYU ambaye anaendeshwa na mihemuko ya kishabiki maandazi badala ya kutumia akili vyema kudadavua hoja.Mh mkuu ulisoma vizuri alichokijibu CHIZI VITABU? Alichokijibu ni dongo kwa mleta hoja. Embu kasome kwa kutulia
Huyo jamaa ana Sonona.ona huyu punguani! hayo mashindano yana timu ngapi? hiyo idadi yote haivuki kwa sababu ya umri? Mamelod hawakuvuka kwa sababu ya umri?