Kutakuwa na shida mahali.
Hicho kitu niliwahi kukisikia miaka ya nyuma sana.
Mama mmoja alipokuwa anaenda kuroga nyumba fulani alikuwa anatoka kwake anapita njia inayotoka nyumba nyingine ili ionekane mlozi ni mwenye kutokea njia hiyo.
Alipobanwa sana yule mchawi alikiri, ni hadith ndefu.
Upande wako yawezekana kuwa hivyo pia..
Unaweza pata hata madhara kwa hilo.
Sisi tunamwamini Mungu, tafuta watumishi wa kweli ili mfanye maombi.
Pole