moi wa kitaa
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 931
- 940
Wanenda kuloga au kuwanga kwanza tuanzie hapo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahi mapema kwa mganga wa kienyeji. Ukizubaa siku watakapochukuwa makalio yako waende kuburudisha wachawi mabasha usije ukasema hukuambiwa!Wachawi wanachukua sura yangu wakati wa Usiku kwenda kuwanga.
Nashangaa naambiwa mi mchawi wakati sijawahi kuwa mchawi nilipofatilia nikaambiwa wachawi ndo wanatumia sura yangu na kunishikisha uchawi bila Mimi kujua.
Wakuu akina Mshana jr na wengineo nisaidieni nitumie mbinu gani kujikinga!?
Mchungaji wa mchongo huyo 😂😂Wapi ndio kwanza nimezidisha ulevi.
Mkuu! Unathibitisha jinsi gani waamini uchawi na ushirikina ni "hamnazo".uchawi upo ingawaje siamin upo kama unavyosimuliwa humu , mwaka 2004 december nlienda moro sehem inaitwa mlimba kumsalim mama , nlipokuwa narud kutoka kwa bibi sehem inaitwa Chisano hiari ya moyo tulipitia sehem ilikuwa inaitwa Uga ndipo tukakuta msiba mwenye nyumba kafa na nlimuona kuku hana hata nyoya hata moja na alikuwa na mwiba wa nungunungu umeingia ndan ya shingo yake nusu na nusu imebakia nje , kila mtu alikuwa anashangaa sana , toka hapo mpk kesho naamin uchawi upo
Hahahahahaaa!Hana upanga chumbani kwake,kama kuna anaekuja ghetto kwake kuleta injili ya kurogwa amchinjilie mbali aache uoga uoga wa kijinga
Kwamba anayepinga hakuna uchawi ndiye konki masta wa uchawi au? [emoji1787]Tupa kwanza hirizi na hizo shanga na bangili mkononi.
Kwani kuna tofauti gani kati ya kuwanga na kuroga? Tumalizie hapo kwanza.Wanenda kuloga au kuwanga kwanza tuanzie hapo
Left groupWachawi wanachukua sura yangu wakati wa Usiku kwenda kuwanga.
Nashangaa naambiwa mi mchawi wakati sijawahi kuwa mchawi nilipofatilia nikaambiwa wachawi ndo wanatumia sura yangu na kunishikisha uchawi bila Mimi kujua.
Wakuu akina Mshana jr na wengineo nisaidieni nitumie mbinu gani kujikinga!?
ChaiWachawi wanachukua sura yangu wakati wa Usiku kwenda kuwanga.
Nashangaa naambiwa mi mchawi wakati sijawahi kuwa mchawi nilipofatilia nikaambiwa wachawi ndo wanatumia sura yangu na kunishikisha uchawi bila Mimi kujua.
Wakuu akina Mshana jr na wengineo nisaidieni nitumie mbinu gani kujikinga!?
Hebu tuwekee sura yako tuione mkuuWachawi wanachukua sura yangu wakati wa Usiku kwenda kuwanga.
Nashangaa naambiwa mi mchawi wakati sijawahi kuwa mchawi nilipofatilia nikaambiwa wachawi ndo wanatumia sura yangu na kunishikisha uchawi bila Mimi kujua.
Wakuu akina Mshana jr na wengineo nisaidieni nitumie mbinu gani kujikinga!?
Umejuaje kuwa wachawi wanatumia sura Yako? Uliambiwa na mganga?Wachawi wanachukua sura yangu wakati wa Usiku kwenda kuwanga.
Nashangaa naambiwa mi mchawi wakati sijawahi kuwa mchawi nilipofatilia nikaambiwa wachawi ndo wanatumia sura yangu na kunishikisha uchawi bila Mimi kujua.
Wakuu akina Mshana jr na wengineo nisaidieni nitumie mbinu gani kujikinga!?
Pole sana!Wachawi wanachukua sura yangu wakati wa Usiku kwenda kuwanga.
Nashangaa naambiwa mi mchawi wakati sijawahi kuwa mchawi nilipofatilia nikaambiwa wachawi ndo wanatumia sura yangu na kunishikisha uchawi bila Mimi kujua.
Wakuu akina Mshana jr na wengineo nisaidieni nitumie mbinu gani kujikinga!?
Akimaanisha nini?Pole sana.Mimi mchungaji kaniambia mimi nilioko huku duniani ni nakala/copy.Mimi halisi niko kuzimu siku nyingi sana.Kazi ipo.