Mpiga Paspoti
JF-Expert Member
- Dec 29, 2022
- 309
- 1,273
Pole sana.Mimi mchungaji kaniambia mimi nilioko huku duniani ni nakala/copy.Mimi halisi niko kuzimu siku nyingi sana.Kazi ipo.
Duuuh! Hii mupya?? Huko kuzimu kakwambia unafanya nini?? Wewe mwenyewe ulishawahi kuhisi kuwepo kwako huko kuzimu??