Wachawi wanatumia sura yangu kwenda kurogea. Wakuu Nisaidieni

Acha kujitenga,achakukunja Sana sura,jichanganye nawatu ndani na nje ya kitaa chako,

Amini kwamba wewe sio mchawi Kama kweli sio mchawi yata pita
 
Wala hawatunii sura yako, Bali wanakutumia wewe mwenyewe kwa ufupi wewe ni mchawi kipofu au mchawi usiyejitambua msaada tafuta Wacha Mungu wakusaidie.
 
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
πŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈπŸ€¦β€β™€οΈ
 
Hakuna uchawi Wala kuroga. Acheni upotoshaji Kwa mambo ya Imani potofu mpaka Karne hii Bado hamjitambui kifikra
Hiv Ukiwa Unatapika Damu Zenye Kamasi Ukakonda Na Kubak Mbavu Ukatembea Hospital Zote Mkoan Mwako Na Bado Hauponi Nusu Ufe Maombi Nayo Yamedunda Ila Baadae Ukatonywa Nenda Kwa Yule Mzee Utapona Ukaenda Akakupa Dawa Mitishamba Kwa Bei Ya Tsh6000 Unywe Usiku Unapolala Kwa Siku Saba Baadae Kwel Ukapona Hutaamin Uchawi Upo?

Karibu Mbeya.
 
Waambie wawe wanakupq patatu yako mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…