kudot2020
Senior Member
- Jan 8, 2020
- 122
- 161
Kivipi mkuu tupe darasaKitu kingine kizuri kujifunza baada ya hizo nyota ni kufahamu kuhusu MALAIKA, LUGHA WANAYOTUMIA MALAIKA NA ISHARA ZAO WANAPOKUJIBU AU KUKUELEKEZA JAMBO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi mkuu tupe darasaKitu kingine kizuri kujifunza baada ya hizo nyota ni kufahamu kuhusu MALAIKA, LUGHA WANAYOTUMIA MALAIKA NA ISHARA ZAO WANAPOKUJIBU AU KUKUELEKEZA JAMBO
Wanaibaje mkuuBaadhi ya Walimu, manesi na madaktari wanatajwa sana kwenye wizi huu wa ufahamu wa wanafunzi na wagonjwa.
Tutapataje kupona namna hii?
Ole wako Korazini Ole wako Bethsaida kwa kuwa mambo haya yangelifanyika Tiro na Sidoni wangelitubu siku nyingi!
Na kama mnaongea alafu ghafla kwa kasi kubwa mtu akapangusa uso wako kwa kiganja chake maana yake nini? Natamani kujuwa hili.Asante sana mkuu, umemaliza Kila kitu. Kuna watu hawaamini uwepo wa mambo ya roho mchafu kwa sababu tu hawajawahi kukutana na changamoto za kiroho. Ipo pia mtu kumtazama mtu mwingine kwenye utosi. Ogopa sana mtu mkiwa mnaongoea halafu akawa anakuangalia kwenye utosi Kama Kuna kitu vile
21/6 niangalizieUnapenda sana vitu hivi vifuatavyo
Usawa , upole, ukarimu, kula bata na watu wengine (marafiki) na shughuli za nje ya nyumba
Nakuandikia mengine zaidi, ngoja nilipe bill
Wanaiba kichawi mkuu.Wanaibaje mkuu
Hahahaha si ungemtaja hata masanjawewe ni Capricon (mbuzi)
uko very ambitious na ni mfanyajikazi mzuri
ni mtu unaependa mpangilio mzuri wa mambo yako na pia ni mtu wa kuaminika na kutegemewa (vey reliable)
but ur too serious bro (a little fun)
ur' fellow Capricon folk ni Mwijaku[emoji2]
Naomba niangalizie 20/7 mkuuFanya Sanaa na utakuja kunishukuru
Wewe ni msanii wa kuzaliwa, Angalia hata jina lako hapa JF
UNA Nyota kubwa ya kuwa mtu maarufu mkubwa
Una nyota kama ya SIMBA
Pia una tabia ya ubishi na unaweza kumbishia mtu yoyote
Kuna wengi wanaokuloga na mkuu wa hao wachawi kwako anaitwa EGOISM
Hamna mtu mwenye akili timamua anaweza amini mambo ya zodiac sijui nani anawadanganyanyie mnaojkutaga n waelewa sana et sayans na tcnlogia ndio ua mko empty box hata ao wazungu unao waamn kwa kutofatilia hayo mambo uwez kufanya nao kaz kama awajachek astronolgy yako kujua ww n mtu wa aina gan ndio mana kama unanyota kubwa sahau kula shavu na wazungu utaskia yule jamaa alkua housboy tu leo yuko mbele na wale wazungu wa kanisa flan, Weka akil yako katika mapokeo ya kujfunza vtu vipya sio kile unachokijua tu jfunze na usvyo vjua dunia n zaid ya uijuavyo
Wanatumia Majinni.Ni mara kadhaa sasa nimekuwa nikisikia kuhusu habari za nyota.
Hii nyota ni kitu gani haswa? Kwa mfano ukienda kwa mganga anaweza kuiona? Kwa namna gani?
Wengine husema nyota ni vipaji? Hivi vipaji vinaweza kuonekana kwa namna gani na wachawi?
Ni kitu kinachoweza kuonekana umbo lake?
Wachawi wanaibaje nyota? Wanaifanyaje fanyaje mpaka itoke kwako iende kwao?
Wakishaiiba wanaiweka wapi? Wanaipeleka wapi? Kwa ajili ya nini? Wanaweza kuitunza mahali labda? Ni kitu kinachoweza kuhamishika?
Wewe unalo jinni pia.Hayo majini yanaichukua na kuipeleka wapi?
Au majini yanakuja kuketi ndani mwako?
Wewe unalo jinni pia.
Jinni akusaidie nini kama mwenyewe hujisaidii? Jinni wako ni ni wewe mwenyewe, kila binaadam ameumbwa na mwenza wake (pair, mwenza wako ni huyo jinni wako.Mbona majin hayawasaidii kimaisha
dah hizi imani za kuchanganya Mungu na majini, hivi mtafumbuka akili lini jamani? kweli unaamini Mungu na wakati huohuo unaamini majini? na bado mtu akisema umepotea huelewi?Jinni akusaidie nini kama mwenyewe hujisaidii? Jinni wako ni ni wewe mwenyewe, kila binaadam ameumbwa na mwenza wake (pair, mwenza wako ni huyo jinni wako.
Hata wewe kwa sasa hivi ni Jinni.dah hizi imani za kuchanganya Mungu na majini, hivi mtafumbuka akili lini jamani? kweli unaamini Mungu na wakati huohuo unaamini majini? na bado mtu akisema umepotea huelewi?
faiza, majini ni mashetani, Mungu hachangamani na mashetani, ukiona upo kwenye imani inayoruhusu kufuga majini au inayofundisha kuwa majini ni mazuri tu, kimbia, hapo umepotea, umeingia imani ya mashetwani.Hata wewe kwa sasa hivi ni Jinni.
ungeelewa maana ya neno Jinni ungeelewa nilichokiandika. huwa mnakurupuka na mambo msiyoyaelewa.
Hiyo yakufuga majinni labda ni imani yako. Maana "mungu" wako alishatembea na mapepo siku 40, yanamrubuni. Itakua wewe?faiza, majini ni mashetani, Mungu hachangamani na mashetani, ukiona upo kwenye imani inayoruhusu kufuga majini au inayofundisha kuwa majini ni mazuri tu, kimbia, hapo umepotea, umeingia imani ya mashetwani.